Tuache unafiki, Utawala Awamu ya 5 ulikuwa hatarishi!

Tuache unafiki, Utawala Awamu ya 5 ulikuwa hatarishi!

Narudia tena, huu uzi ni kumhusu Magu, hao wengine wana nyuzi zao na sio kwamba kutokujadiliwa kwenye uzi huu ni wema. Isitoshe hata kama JK alikuwa na mouvu yake hayajafikia ya kiwango cha Magu.

NB: Hongera kwa kujitahidi kuweka koma na nukta, ila hili limeondoa ile shaka yangu kuwa wewe una tatizo la uandishi. Kwa sasa nimejiridhisha pasi na shaka kuwa ww ni kilaza halisi. Na wengi wa vilaza ndio mlimuelewa Magufuli bila kutumia akili zenu, bali kulingana na propaganda alizowalisha.
Nashukuru kwa matusi yako bila shaka ndo malezi uliyolelewa na wazazi wako
Je? Ukilaza wangu upo kwenye aspect gani? naomba kufahamu, au kwasabau nimeweka refferance ya JK kwenye uzi huu?.mwandishi yoyote lazima awe na refferance za nyuma.nilichogundua kwako hufurahishwi kusema mabaya ya JK ila unafurahishwa kusema mabaya ya JPM.Ubaya ni ubaya tu haupimwi kwa mizani aliyeuwa wa 2 na aliyeuwa mmoja at the same time wote ni wauwaji
 
Nashukuru kwa matusi yako bila shaka ndo malezi uliyolelewa na wazazi wako
Je? Ukilaza wangu upo kwenye aspect gani? naomba kufahamu, au kwasabau nimeweka refferance ya JK kwenye uzi huu?.mwandishi yoyote lazima awe na refferance za nyuma.nilichogundua kwako hufurahishwi kusema mabaya ya JK ila unafurahishwa kusema mabaya ya JPM.Ubaya ni ubaya tu haupimwi kwa mizani aliyeuwa wa 2 na aliyeuwa mmoja at the same time wote ni wauwaji

Nasema hivi, ww ni kilaza, ndio maana unalazimisha tumjadili JK kwenye uzi wa Magufuli. Isitoshe hata uandishi wako unadhihirisha ukilaza wako. Unaweka nukta halafu unaanza na herufi ndogo, mbali ya hapo hujali matumizi ya kuacha nafasi baada na nukta! Tuna uchafu mwingi sana wa JK, ila huu sio uzi kumuhusu yeye. Ukitaka anzisha uzi wa maovu ya JK maana tunao ushahidi wa kumwaga.

Lakini hata kama ukianzisha uzi wa uovu wa JK, bado hautafikia uovu wa Magufuli, huu ndio ukweli, hutaki kunywa sumu. Usitulazimishe tumjadili Yesu msikitini
 
Narudia tena, huu uzi ni kumhusu Magu, hao wengine wana nyuzi zao na sio kwamba kutokujadiliwa kwenye uzi huu ni wema. Isitoshe hata kama JK alikuwa na mouvu yake hayajafikia ya kiwango cha Magu.

NB: Hongera kwa kujitahidi kuweka koma na nukta, ila hili limeondoa ile shaka yangu kuwa wewe una tatizo la uandishi. Kwa sasa nimejiridhisha pasi na shaka kuwa ww ni kilaza halisi. Na wengi wa vilaza ndio mlimuelewa Magufuli bila kutumia akili zenu, bali kulingana na propaganda alizowalisha.
Mzimu wa JPM utawasumbua sanaa kizazi hadi kizazi kwa mengi aliyofanya kuazia awamu ya 3 hadi awamu 5
1.Huwezi kipitia mafaili ya miundo mbinu katika nchi hii,bila kukuta saini ya JPM kwenye mikataba

2.Ni muasisi na mshauri wa kujenga miradi kwa kutegemea mapato ya ndani na aliaza na daraja la Rufiji

3.Ni mtu peke mwenye maamuzi magumu kwenye maslahi ya kitaifa mfano alivyofumua mikataba ya madini bila kujali atawakwaza watangulizi wake na kuwafukuza wenye vyeti feki serikalini

4.Atakumbukwa kwa flyover, SGR na bwawa la Nyerere

5.Atakumbukwa na wakulima kwa kushusha mbolea na pembejeo na zikawa zinapatikana bila shida

6.Atakumbukwa kwa Elimu bure kuazia shule ya msingi hadi sekondari

7.Atakumbukwa kwa kubana mianya ya mafisadi na wahuni na kukomesha miashara ya madawa ya kulevya

8.Atakumbukwa kwa kujenga hospital kubwa za mikoa na wilaya.vituo vya afya na zahanati nchi nzima

9.Atakumbukwa kwa kuitoa nchi kutoka kwenye umasikini hadi uchumi wa kati. Na mengine mengi

N.B kweli hapo utasema uongozi wake ulikuwa hatarishi? Duh tuache chuki basi.wivu ni kidonda ukiendekeza utakonda aiseee
 
Nasema hivi, ww ni kilaza, ndio maana unalazimisha tumjadili JK kwenye uzi wa Magufuli. Isitoshe hata uandishi wako unadhihirisha ukilaza wako. Unaweka nukta halafu unaanza na herufi ndogo, mbali ya hapo hujali matumizi ya kuacha nafasi baada na nukta! Tuna uchafu mwingi sana wa JK, ila huu sio uzi kumuhusu yeye. Ukitaka anzisha uzi wa maovu ya JK maana tunao ushahidi wa kumwaga.

Lakini hata kama ukianzisha uzi wa uovu wa JK, bado hautafikia uovu wa Magufuli, huu ndio ukweli, hutaki kunywa sumu. Usitulazimishe tumjadili Yesu msikitini
Asante mwelevu [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Kuna nyimbo illimbwa Kwa jina la Mwaka wa shetani...
 
Legacy inazidi kuchimbiwa kaburi.

Ule Mpango wa kujenga mnara wa kumbukumbu ya jiwe wenye thamani ya sh bilioni 420 bado upo?
Hamtaweza kuchimbia legacy nyie ndiyo mtapoteana ni suala muda
 
Chama Kiko mikononi mwa wenye chama mbwa washamba wakawndelee na ushamba wao sasa
Chama hakina wenyewe hayo ni maneno yakujimwambafai.kama chama kinawenyewe mbona walishindwa kuwa wenyeviti wa chama.matokeo yake washamba wakaingia ikulu
1.JPM akawa Rais wenye chama wakaachwa kijiweni na kuaza kutengeneza mitandao yakumtukana

2. Sasa Samia kawa Rais wanaojiita wenye chama wanabaki kujipendekeza ili waingie kwe keka ya nchi

Tuache kujifariji wenye chama wakati watoto wa nyerere,karume na akina kawawa na malegend wengi wa ccm wamekaa wametulia hawana makuu hata kidogo ila wasaka tonge wanajimwambafai wenye chama
 
Chama hakina wenyewe hayo ni maneno yakujimwambafai.kama chama kinawenyewe mbona walishindwa kuwa wenyeviti wa chama.matokeo yake washamba wakaingia ikulu
1.JPM akawa Rais wenye chama wakaachwa kijiweni na kuaza kutengeneza mitandao yakumtukana

2. Sasa Samia kawa Rais wanaojiita wenye chama wanabaki kujipendekeza ili waingie kwe keka ya nchi
Jiulize maswali yafuatayo:-
Mama anatoa na kubandika akina nani?

Kwann mshamba hajamaliza mihula miwili?

Usicheze na watu smart! Watoto wa mjini acha kabisa
 
Jiulize maswali yafuatayo:-
Mama anatoa na kubandika akina nani?

Kwann mshamba hajamaliza mihula miwili?

Usicheze na watu smart! Watoto wa mjini acha kabisa
Hayo mawazo yako tu
1.asilimia 90 ni walewale wa JPM
Sijaona mabadiliko yoyote

2.kutokumaliza mihula miwili ni kifo hakuna mwanadamu aliyejuuu ya kifo kila nafsi itaonja mauti ni swala la muda tu kama aliuwawa ametangulizwa tu naye ipo siku from now atakufa tena kwa mateso

3.Hakuna mtoto wa mjini ni ushamba tu husda na uchu wa madaraka kama nyie ndo watoto wa mjini mbona mulisanda enzi za uhai wake
a) wapiga madili walipoteana mjini mpaka wakalalamika vyuma vimekaza

b) wauza unga wote walisepa nje ya nchi na wengine wakawa wananyea ndo

c)aliwachimba beat kuwa hakuna wakunipangia na wote wakanywea
 
Mzimu wa JPM utawasumbua sanaa kizazi hadi kizazi kwa mengi aliyofanya kuazia awamu ya 3 hadi awamu 5
1.Huwezi kipitia mafaili ya miundo mbinu katika nchi hii,bila kukuta saini ya JPM kwenye mikataba

2.Ni muasisi na mshauri wa kujenga miradi kwa kutegemea mapato ya ndani na aliaza na daraja la Rufiji

3.Ni mtu peke mwenye maamuzi magumu kwenye maslahi ya kitaifa mfano alivyofumua mikataba ya madini bila kujali atawakwaza watangulizi wake na kuwafukuza wenye vyeti feki serikalini

4.Atakumbukwa kwa flyover, SGR na bwawa la Nyerere

5.Atakumbukwa na wakulima kwa kushusha mbolea na pembejeo na zikawa zinapatikana bila shida

6.Atakumbukwa kwa Elimu bure kuazia shule ya msingi hadi sekondari

7.Atakumbukwa kwa kubana mianya ya mafisadi na wahuni na kukomesha miashara ya madawa ya kulevya

8.Atakumbukwa kwa kujenga hospital kubwa za mikoa na wilaya.vituo vya afya na zahanati nchi nzima

9.Atakumbukwa kwa kuitoa nchi kutoka kwenye umasikini hadi uchumi wa kati. Na mengine mengi

N.B kweli hapo utasema uongozi wake ulikuwa hatarishi? Duh tuache chuki basi.wivu ni kidonda ukiendekeza utakonda aiseee
Alifanya makubwa mengi.
Tatizo ukiua mtu mmoja tu, sifa zote zinayeyuka.
 
Njoo na facts mkuu. Chongolo, Shaka na Mndeme ni jiwe? Makatibu wa ccm wa mikoa na wilaya 90% wamebadilishwa . Mkuu upo serious na unachokiandika?

Ccm Sasa imerudi kwa wenyewe. Fuatilia.
Sawa fact ni hizi
1. Chongolo alikuwa mkuu wa wilaya wa JPM kapewa ukatibu mkuu ccm

2.shaka alikuwa katibu mwenezi wa mkoa morogoro akichaguliwa JPM na sasa mama kampa ukatibu wenezi

3.Mndeme alikuwa mkuu wa mkoa wa Ruvuma alichaguliwa na JPM na sasa yupo naibu katibu mkuu kama sijakosea

4.Hao makatibu wakuu wengi wao walikuwa kwenye system walikuwa na majukumu mengine enzi za JPM

Halafu ni kawaida sana kila kiongozi anavoingia huwa na safu yake awamu zote ziko ivo ila kuna baadhi ya watu huendelea kutokana na unyeti wao kwenye system
 
Kibinadamu Magu hasemeheki, ni MUNGU tu mwingi wa rehema mwenye uwezo wa kusamehe...
Magu alikuwa jitu katili sana
 
Ili nchi isimame lazma wachache waumie .......... Lazma tuwaondoe wanaozuia jitihada

Magu alipiga kazi sanaaaa......hao waliopotea walikuwa wapinga maendeleo
Miaka 60 nani wamekuwa wakizuia hizo jitihada?
Za Sabaya na Bashite nazo zilikuwa jitihada?
 
Ni kweli maana Albino waliuawa Sana.
Ni kweli majambazi yaliua na kupora.
Ni kweli Mwangosi aliuawa na Polisi.
Ni kweli Ulimboka aling'olewa meno na kucha.
Ni kweli waIslam na Wakristo walichinjana kule Geita.
 
Legacy inazidi kuchimbiwa kaburi.

Ule Mpango wa kujenga mnara wa kumbukumbu ya jiwe wenye thamani ya sh bilioni 420 bado upo?
Aisee mnara wa nduli? Nafikiri yule alikuwa mbaya zaidi ya idd Amin dada
 
Mimi si mpenzi sana wa " Nabii" , "Askofu" Josephat Mwingira kwani mambo yake mengi yana figisu nyingi.
Tuhuma alizozitoa Mwingira si ngeni kusikika, kuwa alinusurika kuuwawa na mali zake kuteketezwa.

Sisi wananchi tunashangazwa na unafiki wa wazi katika matukio hasi , ambayo yaliyiwahi kutokea huko nyuma Awamu ya 5.
Tungeoenda kumshauri Simbachawene aache unafiki wa kuchunguza yale tu wanayopenda na kuacha mengine mazito zaidi, kama ifuatavyo:

1.Tundu Lissu
Serikali ichunguze kupigwa risasi kwa mtu huyu. Mimi si mpenzi wa Lissu wala Chadema lakini ukweli hauna chama.

2. Ben Saanane
Serikali imelifumbia jicho tatizo hili, Simbachawene upo tu.

3. Kifo cha Lwajabe
Alikotwa Mkuranga eti kajinyonga, Serikali itoe majibu ya kuridhisha.

4. Kutekwa Mo, Roma Mkatoliki na wengine.
Ni hii hii serikali yetu pendwa ilikuwepo haya yakitokea, na hakuna maelezo ya kuridhisha.

Sasa Mwingira anapotoa shutuma zinazolingana na haya yaliyotokea, Simbachawene anashituka nini?

Yote yalitikea kipindi cha Awamu ya 5, Magufuli alipokuwa madarakani.

Serikali isisite kukubali kuwa Utawala Awamu ya 5 ulifanya mambo mengi ambayo ni kinyume ya Haki za Binadamu.
Ni kweli kabisa ulikuwa hatarishi kwa kila mwizi, fisadi, mtetea wezi, wala rushwa, vidomodomo na wenye kujilimbikizia mali, wazembe, vyeti feki na watetezi wa mabeberu, walikiona cha moto!

Kwa tulipokuwa tumefikia kuwapokonya tinge mdomoni watu hao, ilibidi aje huyo na si mwingine!!

Na ilivyo ajabu, aliletwa aliyekuwa amebakiza muda mchache tu wa siku za kuishi kwake ili awatengeneze hao ktk nchi ya wapole, mtu anakunyang'anya tonge mdomoni unamsifia?

Mtu unapelekwa jela kwa kosa la mwenye pesa? Pumbavu kabisa

Taifa hiliii !!!!!!/

Mola tuletee tena mtu kama huyo
 
Kibinadamu Magu hasemeheki, ni MUNGU tu mwingi wa rehema mwenye uwezo wa kusamehe...
Magu alikuwa jitu katili sana
JPM alikuwa na maamuzi ya Kimungu
1) Mungu alikuwa kwa moto wale wafilaji wa sodoma na gomora

2) Mungu aliwauwa kwa maji ndugu na jamaa zake Nuhu

3) Mungu alimpoteza Musa pamoja na kuongoza wana wa israel

4) Mwisho akamtoa mwanae wa peke Yesu apigwe kikatili na kuuwawa bila huruma
Mungu ni katili zaidi ya JPM

1) aliyechinja magaidi kule kibinti
2) aliyewafukuza kazi wazembe na wenye vyeti feki
3) aliyewadhibiti wahuni na wapiga dili
4) aliyekomesha ushaga na madawa yakulevya

Aisee JPM ni katili kwelikweli
 
Back
Top Bottom