Tuache upotoshaji Expo 2020 Dubai ilifanyika 2021 mwishoni, Tumuache Hayati Magufuli apumzike hili ni la kwetu

Tuache upotoshaji Expo 2020 Dubai ilifanyika 2021 mwishoni, Tumuache Hayati Magufuli apumzike hili ni la kwetu

RNA

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2013
Posts
1,647
Reaction score
2,803
Habari JF, kuna picha hii ilianza kusambaa siku chache zilizopita baada ya Prof Kitila kuukwaa uwaziri nkajiuliza nini dhumuni, nikagundua moja ilikuwa ni kuonyesha umma kitila alihusika na DPW la pili ambalo sio kweli ni kwamba lilianza kwa JPM 2020 kitu ambacho sio kweli.

Maonesho ya Expo 2020 Dubai ilifanyika 2021 na yalipelekwa mbele sababu ya COVID-19 lakini jina lilibaki 2020 ni ndiko prof kitila kama waziri alishiriki ,sasa JPM katutoka March 2021 mkutano ufanyike December bado tumuhusishe mtu huyu ?

Tundu Lissu alishamaliza hili suala
IMG_20230705_224650_209.jpg~2.jpg
 
Habari jf ,kuna picha hii ilianza kusambaa siku chache zilizopita baada ya prof kitila kuukwaa uwaziri nkajiuliza nini dhumuni ,nkagundua moja ilikuwa ni kuonyesha umma kitila alihusika na DPW la pili ambalo sio kweli ni kwamba lilianza kwa JPM 2020 kitu ambacho sio kweli .

Maonesho ya Expo 2020 Dubai ilifanyika 2021 na yalipelekwa mbele sababu ya COVID-19 lakini jina lilibaki 2020 ni ndiko prof kitila kama waziri alishiriki ,sasa JPM katutoka March 2021 mkutano ufanyike December bado tumuhusishe mtu huyu ?

Tundu lissu alishamaliza hili suala
View attachment 2680629View attachment 2680630
Prof Kabudi tunakuomba uzungumzie jambo hili nawe tukusikie.
 
Habari jf ,kuna picha hii ilianza kusambaa siku chache zilizopita baada ya prof kitila kuukwaa uwaziri nkajiuliza nini dhumuni ,nkagundua moja ilikuwa ni kuonyesha umma kitila alihusika na DPW la pili ambalo sio kweli ni kwamba lilianza kwa JPM 2020 kitu ambacho sio kweli .

Maonesho ya Expo 2020 Dubai ilifanyika 2021 na yalipelekwa mbele sababu ya COVID-19 lakini jina lilibaki 2020 ni ndiko prof kitila kama waziri alishiriki ,sasa JPM katutoka March 2021 mkutano ufanyike December bado tumuhusishe mtu huyu ?

Tundu lissu alishamaliza hili suala
View attachment 2680629View attachment 2680630
Magu hawezi kupumzika bob! anapumzikaje na damu za watu mikononi mwake?
 
Habari jf ,kuna picha hii ilianza kusambaa siku chache zilizopita baada ya prof kitila kuukwaa uwaziri nkajiuliza nini dhumuni ,nkagundua moja ilikuwa ni kuonyesha umma kitila alihusika na DPW la pili ambalo sio kweli ni kwamba lilianza kwa JPM 2020 kitu ambacho sio kweli .

Maonesho ya Expo 2020 Dubai ilifanyika 2021 na yalipelekwa mbele sababu ya COVID-19 lakini jina lilibaki 2020 ni ndiko prof kitila kama waziri alishiriki ,sasa JPM katutoka March 2021 mkutano ufanyike December bado tumuhusishe mtu huyu ?

Tundu lissu alishamaliza hili suala
View attachment 2680629View attachment 2680630
Kiongozi,acha kuongozwa na ushabiki...ukitaka kujua hili fupa la Bandari lilianza siku nyingi ,tangu enzi za Mwnyeheri Jiwe...google ziara za Mawaziri wa Oman kwenda Magogoni ,mm Sina utaapam wa kuleta clip hapa..Ingia YouTube tafuta Magufuli vs Oman ,utatoa tongotongo zako...Jamaa walianza kumvuta polepole! Kuna moja anasema atamtuma VP SAMIA kwenda Oman kuonana na Mfalme,na akachomekea ..Samia ana wajomba zake huko!
Ukimsikiliza utaona kuwa alikuwa anawapeleka pia Bagamoyo kwenye Ule Uwekezaji wakashirikiane na Wachina🤭😁😁.Naunga mkono hoja kuwa suala hili ni Vita ya Kiuchumi baina ya Magharibi dhidi ya China! Sisi ni ulofavwetu na njaa Ndio umetusabisha tusaini upuuzi!
 
Magu hawezi kupumzika bob! anapumzikaje na damu za watu mikononi mwake?
Sio la damu tu...hata hili la mashirikiano na Oman yupo! Angalia hata namna Kitila Mkumbo alivyochangia siku ile ..body language yake..then akapewa nafasi ya ?mbele!
 
Habari JF, kuna picha hii ilianza kusambaa siku chache zilizopita baada ya Prof Kitila kuukwaa uwaziri nkajiuliza nini dhumuni, nikagundua moja ilikuwa ni kuonyesha umma kitila alihusika na DPW la pili ambalo sio kweli ni kwamba lilianza kwa JPM 2020 kitu ambacho sio kweli.

Maonesho ya Expo 2020 Dubai ilifanyika 2021 na yalipelekwa mbele sababu ya COVID-19 lakini jina lilibaki 2020 ni ndiko prof kitila kama waziri alishiriki ,sasa JPM katutoka March 2021 mkutano ufanyike December bado tumuhusishe mtu huyu ?

Tundu Lissu alishamaliza hili suala
View attachment 2680629View attachment 2680630
Yericko Nyerere Njoo hapa. Kuna Uzi wako unatupotosha Kwa kutumia hii picha.

Au na wewe umeshalamba Asali?
 
Back
Top Bottom