Kiongozi,acha kuongozwa na ushabiki...ukitaka kujua hili fupa la Bandari lilianza siku nyingi ,tangu enzi za Mwnyeheri Jiwe...google ziara za Mawaziri wa Oman kwenda Magogoni ,mm Sina utaapam wa kuleta clip hapa..Ingia YouTube tafuta Magufuli vs Oman ,utatoa tongotongo zako...Jamaa walianza kumvuta polepole! Kuna moja anasema atamtuma VP SAMIA kwenda Oman kuonana na Mfalme,na akachomekea ..Samia ana wajomba zake huko!
Ukimsikiliza utaona kuwa alikuwa anawapeleka pia Bagamoyo kwenye Ule Uwekezaji wakashirikiane na Wachina[emoji2960][emoji16][emoji16].Naunga mkono hoja kuwa suala hili ni Vita ya Kiuchumi baina ya Magharibi dhidi ya China! Sisi ni ulofavwetu na njaa Ndio umetusabisha tusaini upuuzi!