#COVID19 Tuache upotoshaji kuhusu chanjo ya Corona

#COVID19 Tuache upotoshaji kuhusu chanjo ya Corona

Hii nini sasa mbona tunadanganywa angalia kwa umakini mpaka jamaa anauliza kama tayari
 

Attachments

  • IMG_3843.MP4
    7.9 MB
Ndiyo!!! (uliuliza "Nasema uongo jamani?"). Chanjo ipi imetumiwa kuleta ugumba??? Wachina walipunguza idadi ya watoto kuliko kila nchi duniani lakini hawakutumia chanjo. Hakuna chanjo ya kuzuia watoto.
Marekani hawana shabaha kupunguza idadi ya watu wao 2.4% (wala %% yoyote). Kinyume wanaendelea kupokea wahamiaji kutoka nchi nyingine ili kujenga uchumi wao.
Kama sasa wameleta chanjo ya Johnson - kwa sababu walibaki nayo baada ya kuchanja watu wengi wengi tayari, na kwa sababu ile chanjo ya JJ ilichelewa kufika sokoni. Hapo sababu ya kufikia watu wachache huko. Lakini wamechanja mamilioni ya watu wao , na bila shaka SI KWA KUSUDI KUWAUA.
Kwa Astra Zeneca kama huko Kenya TZ imechelewa shauri ya kiburi cha mwenda zake. Itarudi baadaye.
kwa nn wamarekani saiv wanashawishi kwa Dola 100 ili kukupa chanjo??
 
me nafikiri matokeo ya chanjo tunazopata tukiwa vichanga ndio matokeo yake haya ya kushindwa kutengeneza hata kasha la kiberiti...
 
Back
Top Bottom