Tuache ushabiki na unazi, benchi la ufundi Simba lijitathmini kabla mambo hayajaribika

B Kipi bora ushindi au magoli? Ligi kuu ya msimu ulioisha tulifunga magoli mengi mkatukejeli kwamba magoli ndo kombe letu.. haya leo leo hatujafunga goli tumebeba ngao mnaleta maneno.. tusimame wapi?
 
Hehehe takwimu zinasema shoot on target ni Yanga 1 Simba 1 sasa hapo Yanga walikuwa wanakwenda golini kuzurura?

Mechi ya Singida Simba walikuwa busy kushambulia ila mashambulizi hayakuzalisha goli bado tulisema Simba haijacheza vizuri.Vipi tukiwapongeza waliocheza na Simba kwamba walikuja na mkakati kabambe dhidi ya Simba na ndiyo maana mechi iliyofuata wamechapwa kirahisi kabisa !?
 
B
Kipi bora ushindi au magoli? Ligi kuu ya msimu ulioisha tulifunga magoli mengi mkatukejeli kwamba magoli ndo kombe letu.. haya leo leo hatujafunga goli tumebeba ngao mnaleta maneno.. tusimame wapi?
B
Kipi bora ushindi au magoli? Ligi kuu ya msimu ulioisha tulifunga magoli mengi mkatukejeli kwamba magoli ndo kombe letu.. haya leo leo hatujafunga goli tumebeba ngao mnaleta maneno.. tusimame wapi?
Wamesahau walitucheka last season wakayaita magoli yetu kuwa ni ya bonanza tu 😂😂😂
 
Bocco
Chama
Saido
Miq

Hawakufaa kuanza
 
Hii timu kwenye kukaba sijui wanafundishwaje huko maźoezini, timu inakabia macho, kupora mpira labda mpinzani akosee au apige cross lakini kuchukua mguuni haiwezi.
 
Yanga waliocheza vizuri na kutuelemea walishinda bao ngapi? Ngao ya jamii?
Sio mara zote timu mtazokutana nazo zitapoteza nafasi za kufunga kama Yanga. Yanga alifanya kila kitu hadi zinapatikana nafasi za one on one na kipa anapoteza. Ushabiki Matokeo usifanyaje ushindwe kuona mapungufu ya timu yako.
 
We jamaa Jana ndo nimekukubali baada ya kuangalia game na kama Mzee Robert ataendelea kukaza fufu kuna balaa zito Sana litawakumba.
 
Utakuja kuelewa baadae sasa hivi upo honeymoon

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Mpira Magoli
Yah.. kinachoibeba simba ni kipa na mabeki, washambuliaji ni butu

Ina maana simba itakuwa na sululu nyingi kama wafungaji hawatabadilika.
 
KOCHA MPYA WA SIMBA ROBETINYO NDO MBABE WA YANGA ANAWAPATIA SANA HAWA ANAJUA JINSI YA KUWAZIBITI WASIFURUKUTE.

KWENYE LIGI KAWAPIGA NA KWENYE NGAO IVOIVO.


MNAOSEMA SIMBA KATIKA DKK 180 HAJAFUNGA INABIDI MJIULIZE JE KATIKA HIZO DAKIKA 180 AMEFUNGWA GOLI LOLOTE??


MNYAMA HANA MPINZANI[emoji881][emoji881][emoji881][emoji881]
 
Shida ya klabu kubwa kuongozwa na makanjanja akina mangungo
Mimi hii mtu tatu,: mangungo, kajura na try again naamini ndiyo wanaiangusha simba. Kama vipi Mo na uongozi wa simba wawafungulie genge la kuuza magimbi kariako, watuachie simba yetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…