Tuache ushabiki na unazi, benchi la ufundi Simba lijitathmini kabla mambo hayajaribika

Sio mara zote timu mtazokutana nazo zitapoteza nafasi za kufunga kama Yanga. Yanga alifanya kila kitu hadi zinapatikana nafasi za one on one na kipa anapoteza. Ushabiki Matokeo usifanyaje ushindwe kuona mapungufu ya timu yako.
Kosa ambalo halina madhara siyo kosa.
 
Kiungo pekee DM mwenye uwezo hua ni Bangala, Ndala na Aucho ndio Natuarl DM za maana kwa hapa
 
Kama huo ndio mpira mlioenda pre season Uturuki [emoji28][emoji28][emoji28] nawaambia kwenye ligi kwa yanga hii mtamlilia Sana GSM anatoa bahasha.
Hao Yanga wenyewe nao butu hawana wafungaji, labda waimorove siku za usoni kidogo.
Ingekua ile Yanga ya mzee wa kutetema hapo sawa.
 
Argentina alishnda mech zote za mtoano kw penat broo??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…