Huwa nachukia sana Mishabiki Mipumbavu kama Wewe na wale Waliokuamini kwa hii Hoja yako ya Kipumbavu.
Yaani hujui kuwa Shindano la Timu Nne ina maana kuwa hiyo ni hatua ya Nusu Fainali?
Hivi katika hatua ya Nusu Fainali muhimu ni Timu Kufunga Goli ndani ya dakika 90 au ni Kushinda kwa namna yoyote ile na Kuingia Fainali ili ibebe Ubingwa?
Kama Hoja yako ni Kuidhihaki Simba SC kwa kuwa Bingwa kwa Mikwaju ya Penati basi idhihaki pia na Argentina ya akina Messi kuwa Bingwa wa Kombe la Dunia kwa Kuwafunga akina Mbappe na Ufaransa yake.
Ushindi wa Penati ni wa Kikanuni FIFA hivyo Kuudhihaki na Kuwadhihaki pia Wanamichezo wote ndani na nje ya Tanzania.
Namalizia kwa Kukuuliza Swali je, Simba SC leo ingefunga Goli ndani ya dakika 90 kama utakavyo kisha Yanga SC nao Wakafunga na kutulazimu kwenda katika Mikwaju ya Penati na Simba SC Kufungwa na Kuukosa huu Ubingwa ungefurahi na ungeridhika?
Kipaumbele Kikuu cha Simba SC kilikuwa ni Kumfunga Singida Big Stars FC kwa Ushindi wowote uwe wa Michezoni dakika 90 au wa Penati na kuingia katika Mikwaju ya Penati kisha tufike Fainali na tubebe Ubingwa wa Ngao ya Jamii na tubebe Ubingwa kama ambavyo tumebeba leo kwa Kuwafunga Yanga SC.