MwananchiOG
JF-Expert Member
- Apr 4, 2023
- 1,970
- 4,037
Mimi ni shabiki lakini lazima ukweli usemwe, Simba tunakwama wapi kwenye kutengeneza jezi kali? Hizi zinatofauto gani na yale matambara ya kwenye mitumba karume? Kwamba designer amelipwa mamilioni kutoa huu uchafu?
Sijui tunakwama wapi.
#UBAYA UBWEGE
Sijui tunakwama wapi.
#UBAYA UBWEGE