Tuache utani Jezi za Simba ni MBAYA

Tuache utani Jezi za Simba ni MBAYA

Huyo mdhamini wa Simba kawauza, naona wanasimba wanajipa moyo huko 😂 😆
 
Tutakukimbia aisee!! Kha!! Yaani unatokea hadharani na sanda 3 kirahisi tu!
Nyie hamtushtui na maneno yenu...mimi hilo jina ni kama punje ya haladari kwny hiyo jezi..nachoona mimi hapo kwny jezi ni uzuri wa jezi yani jezi zimenivutia zimenivutia zimenivutia tenaaa..
##ubaya ubwelaaa##
 
Jezi mbavu sana. Hata hivyo Simba nawavulia kofia mwaka huu kwa slogan ya “Ubaya Ubwera”. Ni slogan matata sana
 
Hii jezi ya msimu huu imewaingia villivyo ndio maana kelele zimekua nyingi endeleeni na taarabu zenu wala hatujali
 
Back
Top Bottom