Copro mtego
JF-Expert Member
- Aug 22, 2022
- 619
- 796
Wangetoa nzuri ungenunua? Chura ww
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi ni shabiki lakini lazima ukweli usemwe, Simba tunakwama wapi kwenye kutengeneza jezi kali? Hizi zinatofauto gani na yale matambara ya kwenye mitumba karume? Kwamba designer amelipwa mamilioni kutoa huu uchafu??
Sijui tunakwama wapi
View attachment 3050938
#UBAYA UBWEGE
Camera Yako Mbaya Ila Ukweli Jersey Ni Nzuri Sana Sana
Usisahau siku ya terehe kuvaa 'sanda' yako..!! Tena ile nyeupe peeee...!!!Hebu tutokeeno huko bwana...jezi kali ninazo zote 3
Ngalikihinja
Nunua simu kelele zitaishaMimi ni shabiki lakini lazima ukweli usemwe, Simba tunakwama wapi kwenye kutengeneza jezi kali? Hizi zinatofauto gani na yale matambara ya kwenye mitumba karume? Kwamba designer amelipwa mamilioni kutoa huu uchafu?
Sijui tunakwama wapi.
View attachment 3050938
#UBAYA UBWEGE
Nakuja nazo zote 3 nabadilisha tuu...Usisahau siku ya terehe kuvaa 'sanda' yako..!! Tena ile nyeupe peeee...!!!
Wewe endelea kuvaa magome ya miti/kijani.Mimi ni shabiki lakini lazima ukweli usemwe, Simba tunakwama wapi kwenye kutengeneza jezi kali? Hizi zinatofauto gani na yale matambara ya kwenye mitumba karume? Kwamba designer amelipwa mamilioni kutoa huu uchafu?
Sijui tunakwama wapi.
View attachment 3050938
#UBAYA UBWEGE
Zile zimepigwa kwenye mwanga mkali Msamvu, angalia kitu originalHapo kitu kizuri ni hao wanawake mkuu
Kuna ubaya wowote?Usisahau siku ya terehe kuvaa 'sanda' yako..!! Tena ile nyeupe peeee...!!!
Ubaya ubwelaZile zimepigwa kwenye mwanga mkali Msamvu, angalia kitu original
Kuna ubaya wowote?
Ubaya ubwelaNakuja nazo zote 3 nabadilisha tuu...
Yltuache utani huna machoMimi ni shabiki lakini lazima ukweli usemwe, Simba tunakwama wapi kwenye kutengeneza jezi kali? Hizi zinatofauto gani na yale matambara ya kwenye mitumba karume? Kwamba designer amelipwa mamilioni kutoa huu uchafu?
Sijui tunakwama wapi.
View attachment 3050938
#UBAYA UBWEGE
Tutakukimbia aisee!! Kha!! Yaani unatokea hadharani na sanda 3 kirahisi tu!Nakuja nazo zote 3 nabadilisha tuu...
😹😹😹 umeuamatangazo sasa
kama summary ya UE
Nyie hamtushtui na maneno yenu...mimi hilo jina ni kama punje ya haladari kwny hiyo jezi..nachoona mimi hapo kwny jezi ni uzuri wa jezi yani jezi zimenivutia zimenivutia zimenivutia tenaaa..Tutakukimbia aisee!! Kha!! Yaani unatokea hadharani na sanda 3 kirahisi tu!