Tuache utani Jezi za Simba ni MBAYA

MwananchiOG

JF-Expert Member
Joined
Apr 4, 2023
Posts
1,970
Reaction score
4,037
Mimi ni shabiki lakini lazima ukweli usemwe, Simba tunakwama wapi kwenye kutengeneza jezi kali? Hizi zinatofauto gani na yale matambara ya kwenye mitumba karume? Kwamba designer amelipwa mamilioni kutoa huu uchafu?

Sijui tunakwama wapi.



#UBAYA UBWEGE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…