MwananchiOG
JF-Expert Member
- Apr 4, 2023
- 1,970
- 4,037
Mimi ni shabiki lakini lazima ukweli usemwe, Simba tunakwama wapi kwenye kutengeneza jezi kali?
ni mbaya sanaaaMimi ni shabiki lakini lazima ukweli usemwe, Simba tunakwama wapi kwenye kutengeneza jezi kali? Hizi zinatofauto gani na yale matambara ya kwenye mitumba karume? Kwamba designer amelipwa mamilioni kutoa huu uchafu??
Sijui tunakwama wapi
View attachment 3050938
#UBAYA UBWEGE
SANDA FChii itanifaa kama dekio hapa kwanguView attachment 3051007
Hapo kitu kizuri ni hao wanawake mkuu
SANDA FC kama kawaida yao kuborongaMbona zimeandikwa sanda πππ simba mnanini lakini
Jezi ni mbaya hasa hilo neno SANDA limenikera kichiziCamera Yako Mbaya Ila Ukweli Jersey Ni Nzuri Sana Sana