Facts kabisaLabda kushinda njaa hiyo Simba wanaweza ila kuifunga Al Ahly tena ni mechi mbili tu za mtoano hilo nasema hapana!
Nawaasa wanayanga tukajaze uwanja wa Mkapa kushuhudia kichapo Cha Simba Ili usemi wa kwenye msafara wa Mamba na kenge pia wamo utimie! Tutaenjoy sana siku hiyo Mnyama akikandwa kwao na kelele kutulia mjini!
CAF ni watu wabad sana kuitumia Simba kama ngazi ya kuipandisha Al Ahly kisoka na kipesa. Wanajua wangeipa Yanga nafasi ingekuwa battle kamili Maana kina Mudathir sio kinyonge wangeikalisha Al Ahly chini!
Kwa hiyo utopolo wataifunga Al Ahly siyo?Kwasisi wachambuzi Kila tukiitazama hii mechi unaona inabend upande mmoja yaani Ayubu fc watakula nyingi. Possibility ya Simba kushinda ni sawa Taifa stars kuchukua Kombe la AFCON
Al ahly Wana Percy Tau a.k.a goal machine huku Ayubu fc Wana Baleke na Kibu (ambaye kwenye chance 6 anakosa zote imagine Simba Haina Bacca, Mwamnyeto, Job, Max na Yao (Ukuta wa Yericko)
NB: Mnyama Ili kupunguza mvua kubwa ya magoli, inabidi waingie na plan ya kupaki basi coz atake atapigwa heavily asitake atapigwa heavily
Pale utopolo yanapojifarijiLabda kushinda njaa hiyo Simba wanaweza ila kuifunga Al Ahly tena ni mechi mbili tu za mtoano hilo nasema hapana!
Nawaasa wanayanga tukajaze uwanja wa Mkapa kushuhudia kichapo Cha Simba Ili usemi wa kwenye msafara wa Mamba na kenge pia wamo utimie! Tutaenjoy sana siku hiyo Mnyama akikandwa kwao na kelele kutulia mjini!
CAF ni watu wabad sana kuitumia Simba kama ngazi ya kuipandisha Al Ahly kisoka na kipesa. Wanajua wangeipa Yanga nafasi ingekuwa battle kamili Maana kina Mudathir sio kinyonge wangeikalisha Al Ahly chini!
Bado hujasemaNgoja tuone
Tanzania mpira umekuwa sana. ajabu yake, al ahly alikuwa anagomboa na mwishoni alizidiwa akawa anachezewa nusu uwanja na analinda goli. simba wangekuwa na beki wazuri, wala wasingefungwa hata yale.Kwasisi wachambuzi Kila tukiitazama hii mechi unaona inabend upande mmoja yaani Ayubu fc watakula nyingi. Possibility ya Simba kushinda ni sawa Taifa stars kuchukua Kombe la AFCON
Al ahly Wana Percy Tau a.k.a goal machine huku Ayubu fc Wana Baleke na Kibu (ambaye kwenye chance 6 anakosa zote imagine Simba Haina Bacca, Mwamnyeto, Job, Max na Yao (Ukuta wa Yericko)
NB: Mnyama Ili kupunguza mvua kubwa ya magoli, inabidi waingie na plan ya kupaki basi coz atake atapigwa heavily asitake atapigwa heavily
Pia Al ahly wangekua makini wangeshinda 5Tanzania mpira umekuwa sana. ajabu yake, al ahly alikuwa anagomboa na mwishoni alizidiwa akawa anachezewa nusu uwanja na analinda goli. simba wangekuwa na beki wazuri, wala wasingefungwa hata yale.
hapana, jana walikamatwa. al ahly tunayoifahamu sio ya kugomboa na kulinda goli kwa simba.Pia Al ahly wangekua makini wangeshinda 5
Sawa Simba atafungwa,haya kamhudumie mumeo sasa naona umekomaa na Simba tu utafikiri Simba ndiyo imekuwowa,mjali mumeo dada.Kwasisi wachambuzi Kila tukiitazama hii mechi unaona inabend upande mmoja yaani Ayubu fc watakula nyingi. Possibility ya Simba kushinda ni sawa Taifa stars kuchukua Kombe la AFCON
Al ahly Wana Percy Tau a.k.a goal machine huku Ayubu fc Wana Baleke na Kibu (ambaye kwenye chance 6 anakosa zote imagine Simba Haina Bacca, Mwamnyeto, Job, Max na Yao (Ukuta wa Yericko)
NB: Mnyama Ili kupunguza mvua kubwa ya magoli, inabidi waingie na plan ya kupaki basi coz atake atapigwa heavily asitake atapigwa heavily
Hawa Al Ahly[emoji1093]siku wakikutana Yanga SC[emoji1241]pale kwa makapa watapasuliwa za kutosha kwa sababu kuna muda wanajisahau kuziba nafasi hasa ukiwashambulia kwa kasiSawa Simba atafungwa,haya kamhudumie mumeo sasa naona umekomaa na Simba tu utafikiri Simba ndiyo imekuwowa,mjali mumeo dada.