Tuache utani Simba kushinda Kwa Al ahly haiwezekani

Tuache utani Simba kushinda Kwa Al ahly haiwezekani

Labda kushinda njaa hiyo Simba wanaweza ila kuifunga Al Ahly tena ni mechi mbili tu za mtoano hilo nasema hapana!

Nawaasa wanayanga tukajaze uwanja wa Mkapa kushuhudia kichapo Cha Simba Ili usemi wa kwenye msafara wa Mamba na kenge pia wamo utimie! Tutaenjoy sana siku hiyo Mnyama akikandwa kwao na kelele kutulia mjini!

CAF ni watu wabad sana kuitumia Simba kama ngazi ya kuipandisha Al Ahly kisoka na kipesa. Wanajua wangeipa Yanga nafasi ingekuwa battle kamili Maana kina Mudathir sio kinyonge wangeikalisha Al Ahly chini!
Facts kabisa
 
Kwasisi wachambuzi Kila tukiitazama hii mechi unaona inabend upande mmoja yaani Ayubu fc watakula nyingi. Possibility ya Simba kushinda ni sawa Taifa stars kuchukua Kombe la AFCON

Al ahly Wana Percy Tau a.k.a goal machine huku Ayubu fc Wana Baleke na Kibu (ambaye kwenye chance 6 anakosa zote imagine Simba Haina Bacca, Mwamnyeto, Job, Max na Yao (Ukuta wa Yericko)

NB: Mnyama Ili kupunguza mvua kubwa ya magoli, inabidi waingie na plan ya kupaki basi coz atake atapigwa heavily asitake atapigwa heavily
Kwa hiyo utopolo wataifunga Al Ahly siyo?
 
Labda kushinda njaa hiyo Simba wanaweza ila kuifunga Al Ahly tena ni mechi mbili tu za mtoano hilo nasema hapana!

Nawaasa wanayanga tukajaze uwanja wa Mkapa kushuhudia kichapo Cha Simba Ili usemi wa kwenye msafara wa Mamba na kenge pia wamo utimie! Tutaenjoy sana siku hiyo Mnyama akikandwa kwao na kelele kutulia mjini!

CAF ni watu wabad sana kuitumia Simba kama ngazi ya kuipandisha Al Ahly kisoka na kipesa. Wanajua wangeipa Yanga nafasi ingekuwa battle kamili Maana kina Mudathir sio kinyonge wangeikalisha Al Ahly chini!
Pale utopolo yanapojifariji

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwasisi wachambuzi Kila tukiitazama hii mechi unaona inabend upande mmoja yaani Ayubu fc watakula nyingi. Possibility ya Simba kushinda ni sawa Taifa stars kuchukua Kombe la AFCON

Al ahly Wana Percy Tau a.k.a goal machine huku Ayubu fc Wana Baleke na Kibu (ambaye kwenye chance 6 anakosa zote imagine Simba Haina Bacca, Mwamnyeto, Job, Max na Yao (Ukuta wa Yericko)

NB: Mnyama Ili kupunguza mvua kubwa ya magoli, inabidi waingie na plan ya kupaki basi coz atake atapigwa heavily asitake atapigwa heavily
Tanzania mpira umekuwa sana. ajabu yake, al ahly alikuwa anagomboa na mwishoni alizidiwa akawa anachezewa nusu uwanja na analinda goli. simba wangekuwa na beki wazuri, wala wasingefungwa hata yale.
 
Tanzania mpira umekuwa sana. ajabu yake, al ahly alikuwa anagomboa na mwishoni alizidiwa akawa anachezewa nusu uwanja na analinda goli. simba wangekuwa na beki wazuri, wala wasingefungwa hata yale.
Pia Al ahly wangekua makini wangeshinda 5
 
Simba itakushangaza itaporudi na ushindi.

Naamini Simba wanashinda.
Haiwezekani.... haiwezekani kama kashindwa Kwa mkapa ...

Simba hana rekodi za kushinda ugenini....Tena Kwa waarabu
 
Kwasisi wachambuzi Kila tukiitazama hii mechi unaona inabend upande mmoja yaani Ayubu fc watakula nyingi. Possibility ya Simba kushinda ni sawa Taifa stars kuchukua Kombe la AFCON

Al ahly Wana Percy Tau a.k.a goal machine huku Ayubu fc Wana Baleke na Kibu (ambaye kwenye chance 6 anakosa zote imagine Simba Haina Bacca, Mwamnyeto, Job, Max na Yao (Ukuta wa Yericko)

NB: Mnyama Ili kupunguza mvua kubwa ya magoli, inabidi waingie na plan ya kupaki basi coz atake atapigwa heavily asitake atapigwa heavily
Sawa Simba atafungwa,haya kamhudumie mumeo sasa naona umekomaa na Simba tu utafikiri Simba ndiyo imekuwowa,mjali mumeo dada.
 
hapana, jana walikamatwa. al ahly tunayoifahamu sio ya kugomboa na kulinda goli kwa simba.
Basi huwajui waarabu......wenyew ugenini wanahitaji sare tu....kuliko ku lose
 
Sawa Simba atafungwa,haya kamhudumie mumeo sasa naona umekomaa na Simba tu utafikiri Simba ndiyo imekuwowa,mjali mumeo dada.
Hawa Al Ahly[emoji1093]siku wakikutana Yanga SC[emoji1241]pale kwa makapa watapasuliwa za kutosha kwa sababu kuna muda wanajisahau kuziba nafasi hasa ukiwashambulia kwa kasi

Na ni moja ya siraha ya Yanga ni kasi wanashambulia kwa speed sana kiasi kwamba ukiwaachia tu nafasi kidogo lazima wakufunge"

[emoji2399]Alex Ngereza
 
Back
Top Bottom