Tuache utani, usione mwenzako ana six packs ukadhani kaziokota barabarani

Tuache utani, usione mwenzako ana six packs ukadhani kaziokota barabarani

Samah
Hakuna kitu kama "mazoezi ya kupunguza tumbo" hii ni myth.
Ukizifanyisha kazi muscle za tumbo haina maana kuwa utapungua mafuta sehemu ye tumbo hii myth inajulikana kama spot reduction unaweza kusoma zaidi hapa Spot reduction - Wikipedia, the free encyclopedia.

Kwa kifupi kama utakuwa unatumia calories nyingi kulizo unazokula utapungua uzito, ila huo uzito utapungua sehemu gani ya mwili itategemea na genetics zako zaidi. Ndo maana wanasema "six-packs are made in the kitchen", angalia diet yako kuliko mazoezi.

Ila mazoezi ni mazuri kwa afya yako kwa ujumla.
Samahani mkuu unaweza kuelezea uzoefu wako kwenye suala la diet. Kipi cha kuacha na kipi cha kula na msoso gani unaeeza kuuepuka kati ya chai, chakula cha mchana au usiku.

Je mtu akiacha kula hizi wanga kama wali na ugali kwa kiwango kikubwa inaweza kusaidia?
 
Wakuu habari ya muda huu,

Kusema kweli nieape tu pongezi wote wenye six packs au flat belly kwa jitihada zao.Usione mtu ana six packs ukamchukulia poa ukadhani zinaokotwa ti barabarani au zinapatikana kwa urahisi.

Nimeanza mazoezi hii wiki ya pili mazoezi ya kipunguza tumbo baada ya kuona linaanza dalili za ukitambi ukitambi, aisee asikwambie mtu hapa natamani hata kuacha mazoezi, misuli yote ya tumbo inauma vibaya sana.

Kwa kweli heshima kwenu wenye six packs, kupata six packs au tumbo flat hasa kama una kitambi sio kazi lele mama, unahitaji kujitoa dhabihu(sacrifice).

Wakuu nitakieni heri nisike ishia njiani na haya mazoezi + kutokula.

Mwendo ni kusaka noti mambo ya six packs hayana maana sana sana utaishia ubaunsa club za starehe.
 
Kitambi kitumbo
1463659538702.jpg
 
hivi vifaa vya kizungu vinakatisha tamaa kuviangalia unavipata watu!
 
Vitambi viko vya aina kuu 3

1. Vitambi Lishe (Lishe/Maisha Mazuri)
2. Vitambi Beer (Tumbo kulegea wingi wa wanga mwilini sabab ya mipombe)
3. Vitambi Minyoo (Wengi uswazi wanavyo sabab ya kula mataputapu/Kula bila mpangilio)


Mi nko na kitambi Lishe. Lol

(Situmii Kilevi chochote kile). Nikijinyima kwa week 1 au 2 kinapotea. All in all kitambi lazima kiwepo kile cha kishkaj....le mbebez hakuoni le kapukuz u kno. Tehe
 
Vitambi viko vya aina kuu 3

1. Vitambi Lishe (Lishe/Maisha Mazuri)
2. Vitambi Beer (Tumbo kulegea wingi wa wanga mwilini sabab ya mipombe)
3. Vitambi Minyoo (Wengi uswazi wanavyo sabab ya kula mataputapu/Kula bila mpangilio)


Mi nko na kitambi Lishe. Lol

(Situmii Kilevi chochote kile). Nikijinyima kwa week 1 au 2 kinapotea. All in all kitambi lazima kiwepo kile cha kishkaj....le mbebez hakuoni le kapukuz u kno. Tehe
Hicho ndio kama cha kwangu. Sema sasa nataka kabisa niweke packs.
 
Back
Top Bottom