Tuache utimu: Kuna nyimbo inayofikia hata "Matatizo" tangu Harmonize aanze kujitegemea

sawa
 
Naombeni mnisamehe
Alli kiba na Lady jay dee ni wasanii wakongwe ila sizani kama wanamzidi Harmonize kwa lolote
swala la kwamba harmonize ajiimalishe kwa mifano ya watu hao utampoteza
 
Naombeni mnisamehe
Alli kiba na Lady jay dee ni wasanii wakongwe ila sizani kama wanamzidi Harmonize kwa lolote
swala la kwamba harmonize ajiimalishe kwa mifano ya watu hao utampoteza
 
Naombeni mnisamehe
Alli kiba na Lady jay dee ni wasanii wakongwe ila sizani kama wanamzidi Harmonize kwa lolote
swala la kwamba harmonize ajiimalishe kwa mifano ya watu hao utampoteza
 
Naombeni mnisamehe
Alli kiba na Lady jay dee ni wasanii wakongwe ila sizani kama wanamzidi Harmonize kwa lolote
swala la kwamba harmonize ajiimalishe kwa mifano ya watu hao utampoteza
 
Harmonize kishayumba.kama muziki ingekuwa kipaji tu basi wasanii wengi wangekuwa mbali
 
daah kipindi harmonise anatoka kimziki sikuwahi muelewa hata kidogo ilifikia hatua mziki wake nilikuwa sisikiliz kabisa maan nilimuon hana kipaji kabisa yani
ila miaka kadha mbele nilikubali ngoma kadhaa ya kwanz ilikuwa fire waist,krizbeat ft yemi alade pia show me what yo got
cha ajabu alipotoka wcb tu hahaha jamaa anatoa nyimbo mbayaaaa utadhani ndio anaanz kuimba kiufupi anaimba ki underground sana
 
Anaimba kwa kushindana tatizo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…