Tuacheni Kujipa Moyo, Ndoa kwa Kizazi cha Sasa ni Gereza la Mateso

Tuacheni Kujipa Moyo, Ndoa kwa Kizazi cha Sasa ni Gereza la Mateso

Wabongo mnaotangaza hii kauli mbiu mna tofauti gani na wanaoueneza ushoga na imani ya LGBTQ?

The world order imetengeneza mfumo mzuri wa ndoa, watoto wazaliwe ndani ya ndoa ili wawe na misingi mizuri pamoja na malezi mazuri kutoka pande zote.


Sasa wewe kama hutaki ndoa baki hivyo na imani yako, kwanini ui project hiyo imani yako kwa watu wengine? Leo mnasema kwanini wazungu wanasambaza ushoga ila nyie pia mnafanya the same thing kusambaza hiyo kataa ndoa inamaana watu wawe mashoga, wawe wazinzi, wazidi kuzaliana single mothers na watoto wanalelewa bila baba.
Jitafakarini
 
Hii ligi tamu sana, wacha iendelee ..

Kutokana na hiki ulichoandika, kama mwanaume atahitaji heshima, basi ahakikishe ataoa mwanamke mwenye kipato kidogo, ili abakie na majukumu yake ya kulea na kutunza familia..

Sasa itakuwaje kipato cha mwanamke kikaongezeka wakiwa ndani ya ndoa, na mwanamke akaanza dharau? hapo ndio balaa hutokea, utaskia mume aua mke kwa kumtumbukiza kwenye tundu la choo nk..

Muhimu ili ndoa idumu, lazima uzamani unaosema uwepo, heshima ya mke kwa mume iendelee kuwepo no matter what, sasa hawa masistaduu wetu wa sasa wataweza hilo hasa wakiwa na kipato?

Mwanamke wa sampuli hii awe tayari kumfulia mume wake ...

Mwanamke wa sampuli hii awe tayari kumpikia mume wake ..

Mwanamke wa sampuli hii awe tayari kudeki nyumba, aache kuingia JF, insta, na FB, wakati pesa ya kumlipa house girl anayo???

Mwanamke amepaki IST hapo nje, unamwambia akaogeshe watoto utoke nao, wakati yeye anataka kuwahi saluni akatengeneze nywele weekend?
 
Robert nakuunga mkono.

Ni kweli NDOA za sasa naziita za New Age au 'NWO' ni majanga, misingi mikuu ya NDOA kwanza zimepitwa na wakati na hakuna wa kuipa promo ili isimamiwe.

Wachungaji wa kizazi kipya wanatumia majukwaa yao (mimbara) kujipatia umaarufu kwa clip za vichekesho, (foolish) ili kujipatia wafuasi, wenye NDOA nao wamemkimbia Muumna wao na kumuona hana jipya ma change in their life.


NDOA imekuwa gereza la mateso, kunyongea mmoja wa wanaNDOA na moja ya hatari ambayo hata mwenyezi Mungu kupitia mitume alisema ni kujikweza kwa mmoja wa wanaNdoa na kusahau majukumu yake muhimu na kutaka kuchukua majukumu yasiyo yake.

Siipingi NDOA ila ni kutokana na mienendo ya binadamu, nowadays wanakimbilia adhabu kabla ya tukio linalopelekea kupewa adhabu.

Mkuu Barikiwa Sana.
Watu wanahamasisha ndoa na kusahau kuhamasisha misingi ya Ndoa ambayo hiyo ndio hujenga na kusimamisha ndoa na Familia
 
Bandiko zuri linaturudisha Eden!

Ndoa zilianza kuharibika KWA ule mkutano wa BEIJING!!

DHANA ya usawa wa kijinsia wakati haupo!

Kam mifumo ikivurugwa automatically kitu halisi kinakuwa kimevurugwa.

Wanaoikubali ndoa wengi wao ndio wavuragaji WA ndoa.
Alafu wale wanaoipinga wengi wao wanaona misingi ya Ndoa imevunjwa hivyo hakuna umuhimu wa Ndoa.
Ukishamdharau Mungu umedharau mifumo ya Asili
 
Unaongea ukiwa kwenye ndoa au umeoa na kuacha, kama hujawahi kuoa usizungumzie mpira...

Mcheza baseball ⚾ akachambuwe mpira wa miguu ⚽
Kweli ?
 
Mimi nadhani ambao watataka kuingia ktk ndoa waowe wanawake form four & six au hata la saba coz hawa wanakuwa hawajakutana na zile pilika pilika za kuchangamana na wenzao vichwa vibovu huko mavyuoni pia hii itapunguza speed ya wao kuzidiwa kipato na wake zao hadi watake huruma ya kutunzwa au kusaidiwa maisha na mwanamke.

Wanawake wanaopita vyuoni huwa na experience kubwa sana ktk mahusiano,ile kuwa wameachiwa bora liende na wazazi wao ndani ya miaka 3 au minne wengine hujiingiza ktk mahusiano ya ndoa zile za chuoni fikiria amekaa miaka 2½ na mwanaume wakamaliza chuo ndoa ikafa then ndani ya hiyo ndoa haramu kukawa na matokeo mabaya kwake arudi mtaani akutane na kijana msamaria mwema asiyejua A wala B ktk ndoa huku kipato hana mke amemzidi kipato au kijana anawaza mke amsaidie maisha unadhani patakalika hapo?

Vijana badilikeni familia anaendesha mwanaume haijawahi kuandikwa popote kwamba mke amsaidie mwanaume kigezo cha kipato cha mwanamke siyo kigezo ktk kuanzisha familia owa asiyekuwa na elimu kubwa pambana wewe umpe shughuli ya kufanya.

NB;sijasema wenye elimu wasiolewe ila unaetaka kuowa mwenye elimu muwe mmeanza wote kabla au mkiwa wote huko vyuoni.
Unaunga mkono UTALIBANISM sio?
 
Mimi nadhani ambao watataka kuingia ktk ndoa waowe wanawake form four & six au hata la saba coz hawa wanakuwa hawajakutana na zile pilika pilika za kuchangamana na wenzao vichwa vibovu huko mavyuoni pia hii itapunguza speed ya wao kuzidiwa kipato na wake zao hadi watake huruma ya kutunzwa au kusaidiwa maisha na mwanamke.

Wanawake wanaopita vyuoni huwa na experience kubwa sana ktk mahusiano,ile kuwa wameachiwa bora liende na wazazi wao ndani ya miaka 3 au minne wengine hujiingiza ktk mahusiano ya ndoa zile za chuoni fikiria amekaa miaka 2½ na mwanaume wakamaliza chuo ndoa ikafa then ndani ya hiyo ndoa haramu kukawa na matokeo mabaya kwake arudi mtaani akutane na kijana msamaria mwema asiyejua A wala B ktk ndoa huku kipato hana mke amemzidi kipato au kijana anawaza mke amsaidie maisha unadhani patakalika hapo?

Vijana badilikeni familia anaendesha mwanaume haijawahi kuandikwa popote kwamba mke amsaidie mwanaume kigezo cha kipato cha mwanamke siyo kigezo ktk kuanzisha familia owa asiyekuwa na elimu kubwa pambana wewe umpe shughuli ya kufanya.

NB;sijasema wenye elimu wasiolewe ila unaetaka kuowa mwenye elimu muwe mmeanza wote kabla au mkiwa wote huko vyuoni.
Ndoa za chuo 98%sikuwqh kuona matokeo positive. Zinavumaga block zote wanajua flan yupo na flan.kupelekana cafteria full kuuza.kukaa kaa tahamak tunaskia ilikufaga kila mtu ana tyime zake.full kushuka town weekend kujifanya kula special caftrieria.wakat wenzen wanapanga folen wal harage buku kukatq virisiti nyie mnajifanya mnakula special elf 7000 wali main roast. Labda labda za education nadhan wana walidumisha had leo
 
Shida inaanzia pale kuoa mwanamke msomi

Katika wanawake wasomi 100 wenda angalau akapatikana wife material 1 na ni bahati kwelikweli (most of them are naturally feminist)

Pili kuoa mwanamke ambae ana kazi hasa kuajiriwa, kidogo angalau awe anafanya biashara ambayo umemuanzishia mwenyewe japo nayo inaweza kuwa sumu pia huko mbeleni itategemea

Kingine kama ulichokisema wanaume wapumbavu nao kuwa na tamaa na vitu vya wanawake


Mimi msimamo wangu ndoa hata kwasasa bado ni muhimu ila ni kwa wanaume wenye akili tu.
Wa chuo mtihan nao.akisoma akaona anakupikia tu anaona unamfuja.naye aanataka awe ofisin.
 
Hivi hawa nao walizaliwa ndani ya ndoa za kisasa? Ukiwaangalia hawa madogo kiumri ni miaka20s bila shaka wamezaliwa katka ndoa za kizamani, sasa Nini kimepelea wao kuishi hivi? Kwa Hali hii ndoa itazidi kuwa gereza kwakweli, anyway me niwaambie tuu vijana, watafute wanawake wa kuzaa nao na siyo kuowa tafuta familia nyonge then mpachike mimba binti yao usubiri kulea mwanao tuu atakae kusaidia uzeeni.
IMG-20230205-WA0003.jpg
 
Back
Top Bottom