Ms Billionaire
JF-Expert Member
- Jul 18, 2020
- 2,452
- 4,955
Naona watu wana chochea kizazi haramu kwa nguvu zote sasa.Watoto wa nje shetani ameamua kuwatumia kupinga ndoa ambao ndio mpango wa Mungu.
Ukipinga ndoa unaunga mkono ushoga, usagaji, uzinzi, punyeto nk
Robert nakuunga mkono.
Ni kweli NDOA za sasa naziita za New Age au 'NWO' ni majanga, misingi mikuu ya NDOA kwanza zimepitwa na wakati na hakuna wa kuipa promo ili isimamiwe.
Wachungaji wa kizazi kipya wanatumia majukwaa yao (mimbara) kujipatia umaarufu kwa clip za vichekesho, (foolish) ili kujipatia wafuasi, wenye NDOA nao wamemkimbia Muumna wao na kumuona hana jipya ma change in their life.
NDOA imekuwa gereza la mateso, kunyongea mmoja wa wanaNDOA na moja ya hatari ambayo hata mwenyezi Mungu kupitia mitume alisema ni kujikweza kwa mmoja wa wanaNdoa na kusahau majukumu yake muhimu na kutaka kuchukua majukumu yasiyo yake.
Siipingi NDOA ila ni kutokana na mienendo ya binadamu, nowadays wanakimbilia adhabu kabla ya tukio linalopelekea kupewa adhabu.
Bandiko zuri linaturudisha Eden!
Ndoa zilianza kuharibika KWA ule mkutano wa BEIJING!!
DHANA ya usawa wa kijinsia wakati haupo!
Unaunga mkono UTALIBANISM sio?Mimi nadhani ambao watataka kuingia ktk ndoa waowe wanawake form four & six au hata la saba coz hawa wanakuwa hawajakutana na zile pilika pilika za kuchangamana na wenzao vichwa vibovu huko mavyuoni pia hii itapunguza speed ya wao kuzidiwa kipato na wake zao hadi watake huruma ya kutunzwa au kusaidiwa maisha na mwanamke.
Wanawake wanaopita vyuoni huwa na experience kubwa sana ktk mahusiano,ile kuwa wameachiwa bora liende na wazazi wao ndani ya miaka 3 au minne wengine hujiingiza ktk mahusiano ya ndoa zile za chuoni fikiria amekaa miaka 2½ na mwanaume wakamaliza chuo ndoa ikafa then ndani ya hiyo ndoa haramu kukawa na matokeo mabaya kwake arudi mtaani akutane na kijana msamaria mwema asiyejua A wala B ktk ndoa huku kipato hana mke amemzidi kipato au kijana anawaza mke amsaidie maisha unadhani patakalika hapo?
Vijana badilikeni familia anaendesha mwanaume haijawahi kuandikwa popote kwamba mke amsaidie mwanaume kigezo cha kipato cha mwanamke siyo kigezo ktk kuanzisha familia owa asiyekuwa na elimu kubwa pambana wewe umpe shughuli ya kufanya.
NB;sijasema wenye elimu wasiolewe ila unaetaka kuowa mwenye elimu muwe mmeanza wote kabla au mkiwa wote huko vyuoni.
Ndoa za chuo 98%sikuwqh kuona matokeo positive. Zinavumaga block zote wanajua flan yupo na flan.kupelekana cafteria full kuuza.kukaa kaa tahamak tunaskia ilikufaga kila mtu ana tyime zake.full kushuka town weekend kujifanya kula special caftrieria.wakat wenzen wanapanga folen wal harage buku kukatq virisiti nyie mnajifanya mnakula special elf 7000 wali main roast. Labda labda za education nadhan wana walidumisha had leoMimi nadhani ambao watataka kuingia ktk ndoa waowe wanawake form four & six au hata la saba coz hawa wanakuwa hawajakutana na zile pilika pilika za kuchangamana na wenzao vichwa vibovu huko mavyuoni pia hii itapunguza speed ya wao kuzidiwa kipato na wake zao hadi watake huruma ya kutunzwa au kusaidiwa maisha na mwanamke.
Wanawake wanaopita vyuoni huwa na experience kubwa sana ktk mahusiano,ile kuwa wameachiwa bora liende na wazazi wao ndani ya miaka 3 au minne wengine hujiingiza ktk mahusiano ya ndoa zile za chuoni fikiria amekaa miaka 2½ na mwanaume wakamaliza chuo ndoa ikafa then ndani ya hiyo ndoa haramu kukawa na matokeo mabaya kwake arudi mtaani akutane na kijana msamaria mwema asiyejua A wala B ktk ndoa huku kipato hana mke amemzidi kipato au kijana anawaza mke amsaidie maisha unadhani patakalika hapo?
Vijana badilikeni familia anaendesha mwanaume haijawahi kuandikwa popote kwamba mke amsaidie mwanaume kigezo cha kipato cha mwanamke siyo kigezo ktk kuanzisha familia owa asiyekuwa na elimu kubwa pambana wewe umpe shughuli ya kufanya.
NB;sijasema wenye elimu wasiolewe ila unaetaka kuowa mwenye elimu muwe mmeanza wote kabla au mkiwa wote huko vyuoni.
Wa chuo mtihan nao.akisoma akaona anakupikia tu anaona unamfuja.naye aanataka awe ofisin.Shida inaanzia pale kuoa mwanamke msomi
Katika wanawake wasomi 100 wenda angalau akapatikana wife material 1 na ni bahati kwelikweli (most of them are naturally feminist)
Pili kuoa mwanamke ambae ana kazi hasa kuajiriwa, kidogo angalau awe anafanya biashara ambayo umemuanzishia mwenyewe japo nayo inaweza kuwa sumu pia huko mbeleni itategemea
Kingine kama ulichokisema wanaume wapumbavu nao kuwa na tamaa na vitu vya wanawake
Mimi msimamo wangu ndoa hata kwasasa bado ni muhimu ila ni kwa wanaume wenye akili tu.
NDOA KWA KIZAZI CHA SASA NI GEREZA LA MATESO.
Kama umeshindwa kuwa Bwana jela basi kuwa ata nyapara
Wewe ni miongoni mwa wapingao au unawakilisha wapingaji ?Watu wanapinga yanayotokea ndani ya Ndoa za siku hizi
Duh 😂Ndoa ni biashara haramu imejificha kwa mgongo wa dini
Hata yesu hakuona umuhimu wowote ndio maana hakuoa
Maria Magdalena kachezea Sana uno la yesu jizasNdoa ni biashara haramu imejificha kwa mgongo wa dini
Hata yesu hakuona umuhimu wowote ndio maana hakuoa
Vijana msikurupukie slayqueens chunguzeni vizuri wenza wenu