Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
Kazi yako unaifanya vizuri kweli kweli, itakuwa unalipwa buku 7 × 3 = 21,000Ni uongo na uzandiki mkubwa kusema au kutaka aminisha watu kuwa January Makamba yup smart kuchwani. Uongo na uongo ni dhambi...
Cc FRANCIS DA DONNi uongo na uzandiki mkubwa kusema au kutaka aminisha watu kuwa January Makamba yup smart kuchwani. Uongo na uongo ni dhambi...
Sukuma gang huyo... kuna haja ya kumwelewa tena?Nimerudia kusoma mara mbili na bado sijamuelewa nini mwandishi anataka niamini!.
Nakubaliana na wewe kabisa mkuu upo sahihi tena jamaa ni lijizi tokea kitambo,Ni uongo na uzandiki mkubwa kusema au kutaka aminisha watu kuwa January Makamba yup smart kuchwani. Uongo na uongo ni dhambi...
Ungenielewa ningekunywa sumuNimerudia kusoma mara mbili na bado sijamuelewa nini mwandishi anataka niamini!.
Mchepuko gang... Huwa mnasifia kila kituSukuma gang huyo... kuna haja ya kumwelewa tena?
Vilaza gang at workPush Gang At Work.
AsprinNakubaliana na wewe kabisa mkuu upo sahihi tena jamaa ni lijizi tokea kitambo,
January Makamba alishiriki wizi wa Mitihani Galanos na kufutiwa matokeo
Hamna kitu hapa...coz ur almost of the same IQ like him...so no wonder u don't know who ur...!! Nimefarijika kuyasoma mazungumzo baina ya Padri Privatus Karugendo na Ndugu January Makamba, mmoja wa viongozi mahiri wa zama za sasa. Nawapongeza kwa kuamua kuyaweka mazungumzo yao katika rekodi...www.jamiiforums.com
Sawa ukweli ni kua, Kipara ngoto ni mwizi kwa ushahidi hata wa wazi, hata huyo Da mange wenu alishathibitisha wizi wa kipara na dada and kwa aliyekua shemeji yake mzungu muitalianoMtoa mada sio jukumu lako kuwapangia watu cha kusema, sio uongo kusema Makamba ni smart kichwani huu ni wakati wa kuambiana ukweli.