Tuacheni kumsingizia January Makamba mambo mazito namna hii

Sawa ukweli ni kua, Kipara ngoto ni mwizi kwa ushahidi hata wa wazi, hata huyo Da mange wenu alishathibitisha wizi wa kipara na dada and kwa aliyekua shemeji yake mzungu muitaliano
hajawahi kukanusha kuhusu ile clip ya audio ya x-shemeji yake muitaliano aliyemtapeli kuwa atamuunganisha na Ikulu ya enzi za mkwere!
 
Bora umeamua kuusema ukweli halisi, Big up mkuu!
 
January ni mpumbavu kwelikweli,huyu anaishia kwa kuwekeza mitandaoni na uchawi uliotukuka
 
Mtoa mada sio jukumu lako kuwapangia watu cha kusema, sio uongo kusema Makamba ni smart kichwani huu ni wakati wa kuambiana ukweli.
Sasa mbona wewe unanipangia cha kusema na kunichagulia kipi unachoona wewe ni kweli na ninachoona uongo? Inawezekana katika watu wako yeye akawa smart. Hilo sikatai ila kwa mimi na watu ninaokuwa nao karibu jamaa ni mtupu kichwani.
 
Januari mtu mmoja wa hovyo kabisa, sema ana chawa wengi mno wanaonufaika kwa kumpamba.
 
Yaani kwamba watu wanampakazia kuwa na akili au kutokuw na akili? Sijakusoma
 

 
Mwenye akili sana ni Dr Kalemani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…