Tuacheni ramli chonganishi: Tusihukumu tusije tukahukumiwa. Karma ndio pekee hutoa hukumu ya haki hapa duniani!


Advocate Pascal Mayala-PPR.
 
Hata walio muua Mzee Mohamed Kibao karma itawafikia na itawashughulikia!.
P
 
Similarly to, any decision you make in life you're responsible for it, yaani uamuzi wowote utakao ufanya maishani mwako utawajibika nao, mfano hai ukichimba mgodi bila kuzingatia mavazi ya usalama ukipata ajali nani alaumiwe, akili za mbayuwayu changanya na za kwako
 
mkuu tuendelee kusubiri karma au tayari
by now where are we
 
Mkuu uliandika vyema sana, Lakini kuiachia Karma ifanye kazi wakati uwezekano wa kuchukua hatua upo ni Matokeo ya kuamini katika misingi isiyofaa...

Karma inalipa pale ambapo wahusika hawajulikani ni wakina nani, Nature hua inawalipa kwa namna yake...

Hawa ndugu zetu wanajulikana kabisa na uwezekano wa kuwachunguza upo, kwanini tuendelee kuisubiria karma?

Mfano Mtu amebakwa na anamjua aliyembaka halafu anaiachia karma ilipe!

Au Mtu umeibiwa na mwizi umemuona halafu unaiachia karma imlipe!!

Au Mtu amenusurika kifo na anawatambua waliotaka kumuua then anaiachia karma iwalipe!!

Pitia hii Pascal Mayalla 👇👇
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…