Tuacheni ramli chonganishi: Tusihukumu tusije tukahukumiwa. Karma ndio pekee hutoa hukumu ya haki hapa duniani!

Mkuu Tujitegemee, majibu ya hili yako kwenye the main thread ya karma.
"The Power of 'Karma'- Ndio Hukumu Pekee ya Haki Kamili Hapa Duniani!, Unahukumiwa kwa Matendo Yako! - JamiiForums

P
 
Duh...!.
Hii ni hatari sana!.
Hata shambulio hili la Mhe. Mbowe, limefanywa na watu wasiojulikana, hivyo nawaomba sana tusihujukumu, kwa kupiga ramli chonganishi ili na sisi tusihukumiwe!.
Pole sana Mhe. Mbowe,
Get well soon.
P
 
Mwanzo wa Mungu ndio ule ule wa shetani, kabla ya kuwa ibilisi shetani, Lucifer was the 2nd in command baada ya Mungu, na hata baada ya usi alitimuliwa peponi na kutupwa Duniani with all the powers zikiwa intact.

Mungu anazungumza na watu wake kwa maono na utabiri, shetani pia does the same. The dividing line between nguvu za Mungu na nguvu za shetani ni very thin!. The only difference ni nguvu za Mungu ni unconditional, zinakuja by grace from the Lord, lakini nguvu za shetani zinaandamana na conditionalities.
P
 
Uko sahihi kabisa. Nguvu za shetani kwa kuanzia unapewa bure uzitumie kwanza, na baada ya kuzitumia ndiyo unapewa bei na masharti yake. Za Mungu ukiona unazitumia, ujue tayari ulishazilipia kwa kufanya kazi kwenye kile ki-portion kidogo mno ambacho Mungu huwa anakitoa kama assignment kwako, kabla hajakuamini na kuchukua uamuzi wa kukutunuku mamlaka hayo. However, over 99.99% ya nguvu za Mungu ambazo huwa anawatunuku wanadamu ili wazitumie, zinatokana na neema ya Mungu tu na si vinginevyo. Huwa nawashangaa mno wale ambao huwa wanapenda kujiingiza kwenye mambo ya hatari ya ku-deal na shetani!
 
Naunga mkono hoja
P
 
Final Update
Tundu Lissu leo amerejea nyumbani Tanzania, hivyo naomba kuthibitisha humu kuwa Tundu Lissu ni Jasiri na Shujaa Kuliko Nelson Mandela.

Hivyo sasa, kufuatia kurejea huku, ule ushauri wangu nilioutoa kwake kabla hajashambuliwa, sasa utekelezwe.

Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha Uwezo Zaidi ya Magufuli!

Shujaa Kamanda Tundu Lissu, karibu nyumbani.
Mungu ni mwema amekutendea muujiza, hivyo endelea kutimiza ndoto yako, Mungu aliyekuponya ni Mungu mwenye uwezo, anaweza kabisa kulifanya "Jiwe Walilolikataa Waashi, Likafanywa Jiwe Kuu la Pembeni"

I wish him all the best.
Paskali
 
Na kwa kesi kama hizi ukiwa kama wakili msomi, mawakili watakutetea bure kabisa ili wapate thawabu.
 
Mkuu Paukwa, Pakawa, with due respect, tuko wote humu jf kwa zaidi ya miaka 10!, hujazijua tuu thumbs up zangu?.
Nakuomba sana, usiwawazie wengine mabaya, ni kama kuwahukumu na kuwanyooshea vidole, ikitokea hawana huo ubaya ulioudhania, karma ya maumivu ya ubaya unaowadhania its upon you!.
Usihukumu usije ukahukumiwa!.
P
 
P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…