Tuacheni utani, Frank Lampard ni bonge la kocha

Tuacheni utani, Frank Lampard ni bonge la kocha

Kweli kabisa.Angalia mchezaji mmoja mmoja wa man u na chelsea ni kwamba hawazidiani sana uwezo lakini chelsea ikicheza inaonekana ina kocha wakati man u ina msimamia mazoezi.
 
Kiongozi top four bado sana hii ligi Ina laana kama sio ladha miaka ya nyuma Manchester ilikuwa ikifika krismas halafu anaongoza hiyo ilikuwa hamna namna zaidi ya nyinyi wengine mtafute nafasi ya pili au nafasi ya tatu lakini baada ya viwango vya timu kufanana,betting,na mambo mengine yaani bingwa sasa inabidi tusubiri mpaka mwezi wa tano,lampard kwa siku chache nilizomuona anaugonjwa wa kushindwa kufanya maamuzi ya kufanya sub,kwenye mbinu naona hapo baadae anaweza kufuata nyayo za Alex,mou,na babu wa Bayern
Unapo elezea Manchester sema ujue ziko.2 tofautishaga mkuu
 
Back
Top Bottom