Tuacheni utani jamani, katiba inayopendekezwa imewajali wasanii!

Tuacheni utani jamani, katiba inayopendekezwa imewajali wasanii!

Aloyce mk

Member
Joined
Nov 10, 2014
Posts
76
Reaction score
33
Katiba Inayopendekezwa inataja kipengele cha kuwajali Wasanii katika Ibara ya 59, ambapo haki hizi muhimu kwa wasanii zinajumuisha Haki-miliki ambazo zitawasaidia kulinda kazi zao za ubunifu, utafiti na hatimaye kukuza sanaa, taaluma, ubunifu na ugunduzi kwa manufaa yao binafsi na taifa kwa jumla. Ifahamike kuwa, kundi hili ni muhimu katika kukuza fursa za ajira kwa vijana na kuiletea sifa na heshima nchi yetu kwa kutumia sanaa na ubunifu wao, hivyo ni kundi ambalo lina uwezo mkubwa wa kuitangaza nchi ya Tanzania katika Nyanja mbalimbali zikiwemo za kiuchumi, kiutamaduni na kijamii.

Kwa kipindi kirefu kumekuwa na kilio kikubwa kwa kundi hili kukosa ulinzi wa kazi zao, hivyo Katiba Inayopendekezwa inajenga mazingira mazuri ya kundi hili kuthaminiwa, kuendelezwa na kulindwa.
Katiba Inayopendekezwa, imeweza kuonyesha ni kwa jinsi gani hakimiliki ya msanii (Intellectual property) itakavyolindwa na Katiba, jambo ambalo litasaidia kwa kiwango kikubwa kuinua maisha wa wasanii wengi nchini na kukuza vipato vyao. Kwa mujibu wa takwimu za Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA) Wasanii wanafikia karibu milioni Sita kati ya Watanzania milioni 45, kwa vyovyote kutambuliwa huku kutawasaidia wasanii.

Wasanii wengi nchini wameonekana kuridhishwa na kitendo cha haki zao kuingizwa kwenye Katiba Inayopendekezwa kwasababu hali hiyo itawasaidia kupambana na watu wanaoiba kazi zao. Ni wazi kuwa kutambuliwa huku kutasaidia nchi kunufaika kutokana na mchango wa sekta hiyo ya sanaa na umma utafaidika kwa kiasi kikubwa. :rain:
 
Toa ushakunaku wako hapa! Kwa taarifa yako sanaa ni zao linalotokana na utu! Sasa msingi wa huo utu umejengwa kitapeli na mkandarasi nyoka wa makengeza unategemea kutakuwa na sanaa ya maana au mtaishia chakula cha makengeza type! Kwa maana mtakuwa manaburudisha kwenye birthday za kina makengeza and the rest!
 
Toa ushakunaku wako hapa! Kwa taarifa yako sanaa ni zao linalotokana na utu! Sasa msingi wa huo utu umejengwa kitapeli na mkandarasi nyoka wa makengeza unategemea kutakuwa na sanaa ya maana au mtaishia chakula cha makengeza type! Kwa maana mtakuwa manaburudisha kwenye birthday za kina makengeza and the rest!

Naona hajasoma vizuri hiyo Katiba ya Chenge,kuwa wamepewa Chakula kwa mkono wa kushoto,na kunyang'anywa na watawala kwa mkono wa kulia.Siku wakija kujua imekula kwao.
 
Naona hajasoma vizuri hiyo Katiba ya Chenge,kuwa wamepewa Chakula kwa mkono wa kushoto,na kunyang'anywa na watawala kwa mkono wa kulia.Siku wakija kujua imekula kwao.

TETTY NA MBURE JASHA NYIE MAMBUMBU NA MNAONEKANA HAMTAKI KUSOMA, HIVI SHULENI ILIKUWAJE PINDI MNASOMA AU NDO WALE WALE WALIOSINHGIZIA UMANDE?? POLENI SANA, MSIPINGE KITU WAKATI HAMKIJUI WALA HAMJAKISOMA, CHENGE HANA KATIBA, SASA WEWE KWA RAHA ZAKO UNASEMA ETI KATIBA YA CHENGE, NA HIYO INAONYESHA JINSI GANI MLIVYOKUWA SHALO KATIKA KUJIBU HOJA. Poleni sana mijibaba nyie.
 
naona hajasoma vizuri hiyo katiba ya chenge,kuwa wamepewa chakula kwa mkono wa kushoto,na kunyang'anywa na watawala kwa mkono wa kulia.siku wakija kujua imekula kwao.
mkuu umekosea kuni quote mimi nadhani hii quatation ilikuwa ya mleta mada
 
Katiba Inayopendekezwa inataja kipengele cha kuwajali Wasanii katika Ibara ya 59, ambapo haki hizi muhimu kwa wasanii zinajumuisha Haki-miliki ambazo zitawasaidia kulinda kazi zao za ubunifu, utafiti na hatimaye kukuza sanaa, taaluma, ubunifu na ugunduzi kwa manufaa yao binafsi na taifa kwa jumla. Ifahamike kuwa, kundi hili ni muhimu katika kukuza fursa za ajira kwa vijana na kuiletea sifa na heshima nchi yetu kwa kutumia sanaa na ubunifu wao, hivyo ni kundi ambalo lina uwezo mkubwa wa kuitangaza nchi ya Tanzania katika Nyanja mbalimbali zikiwemo za kiuchumi, kiutamaduni na kijamii.

Kwa kipindi kirefu kumekuwa na kilio kikubwa kwa kundi hili kukosa ulinzi wa kazi zao, hivyo Katiba Inayopendekezwa inajenga mazingira mazuri ya kundi hili kuthaminiwa, kuendelezwa na kulindwa.
Katiba Inayopendekezwa, imeweza kuonyesha ni kwa jinsi gani hakimiliki ya msanii (Intellectual property) itakavyolindwa na Katiba, jambo ambalo litasaidia kwa kiwango kikubwa kuinua maisha wa wasanii wengi nchini na kukuza vipato vyao. Kwa mujibu wa takwimu za Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA) Wasanii wanafikia karibu milioni Sita kati ya Watanzania milioni 45, kwa vyovyote kutambuliwa huku kutawasaidia wasanii.

Wasanii wengi nchini wameonekana kuridhishwa na kitendo cha haki zao kuingizwa kwenye Katiba Inayopendekezwa kwasababu hali hiyo itawasaidia kupambana na watu wanaoiba kazi zao. Ni wazi kuwa kutambuliwa huku kutasaidia nchi kunufaika kutokana na mchango wa sekta hiyo ya sanaa na umma utafaidika kwa kiasi kikubwa. :rain:
Kwahiyo unatushauri tuipigie kura ya ndio?No man,that's just smokescreen. Whenever you have a corrupt government it's hard for the human rights and other basic rights to be maintained; and this damned constitution create the environment for corrupt regime to prosper. Warudishe TUNU ZA TAIFA kama vile UADILIFU,UWAJIBIKAJI & UWAZI kwenye katiba ijayo ndio tuongee.
 
Naona hajasoma vizuri hiyo Katiba ya Chenge,kuwa wamepewa Chakula kwa mkono wa kushoto,na kunyang'anywa na watawala kwa mkono wa kulia.Siku wakija kujua imekula kwao.

Acha kuwa mvivu wakufikiri, Tanzania hatua "katiba ya Chenge" Tuna Katiba Inayopendekezwa iliyoandaliwa kwa kufuata Mchakato wa kutunga Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania umefikia hatua ya wananchi kuipigia kura Katiba Inayopendekezwa, iliyopitishwa na Bunge Maalum tarehe 4 Oktoba, 2014.

Awali, Tume ya Mabadiliko ya Katiba ilitoa Rasimu ya Kwanza tarehe 3 Juni, 2013 na Rasimu ya Pili ilitolewa tarehe 30 Desemba, 2014 na kuwasilishwa kwenye Bunge Maalum tarehe 21 Februari, 2014. Baada ya Bunge Maalum kukamilisha majukumu kwa mujibu wa Sheria ya Mabadiliko ya Katiba ya mwaka 2011, tunda lililozaliwa ni KATIBA INAYOPENDEKEZWA.

Hatua inayofuata ni ya wananchi kuipigia kura Katiba Inayopendekezwa. Kwa hiyo, kwa mujibu wa sheria, wananchi wa Tanzania ndiyo wenye uamuzi na kauli ya mwisho juu ya upatikanaji wa Katiba Mpya wakati muafaka utakapowadia kama itakavyo ainishwa na mamlaka husika.

Hiyo "katiba ya Chenge"umeitoa wapi? Acha uongo wako usiwadanganye Watanzania kwa maneno yako ya upotoshaji. Koma na acha kabisa!
 
TETTY NA MBURE JASHA NYIE MAMBUMBU NA MNAONEKANA HAMTAKI KUSOMA, HIVI SHULENI ILIKUWAJE PINDI MNASOMA AU NDO WALE WALE WALIOSINHGIZIA UMANDE?? POLENI SANA, MSIPINGE KITU WAKATI HAMKIJUI WALA HAMJAKISOMA, CHENGE HANA KATIBA, SASA WEWE KWA RAHA ZAKO UNASEMA ETI KATIBA YA CHENGE, NA HIYO INAONYESHA JINSI GANI MLIVYOKUWA SHALO KATIKA KUJIBU HOJA. Poleni sana mijibaba nyie.
Mkuu anayestahili kuitwa mjinga niwewe! tena mwehu kabisa! Hivi hiyo katiba inapatikana wapi! maana zilizopo Mtaani wanapewa mabalozi wa CCM na wenyeviti wa vitongoji wa CCM! Kwa hii serikali yenu inavyopenda sifa Kitabu hiki cha Chenge featuring Sitta kingekuwa mtaani cha kutosha. Kuna Mwenyekiti mmoja wa CCM mkoa ni rafiki yangu niliwahi kumuuliza " mbona mnasema na kunadi katiba pendekezwa mnasema ni nzuri embu niambie ni wapi pazuri?;Jibu alilojibu aliniambia wajua sisi ni wanasiasa wa Chama tawala sasa ukikuta umeandaliwa Hadhara kubwa inabidi useme maana ki ukweli hata mimi siijui hiyo katiba oendekezwa" Hayo ndo majibu ya Maccm
 
Kwahiyo unatushauri tuipigie kura ya ndio?No man,that's just smokescreen. Whenever you have a corrupt government it's hard for the human rights and other basic rights to be maintained; and this damned constitution create the environment for corrupt regime to prosper. Warudishe TUNU ZA TAIFA kama vile UADILIFU,UWAJIBIKAJI & UWAZI kwenye katiba ijayo ndio tuongee.

YANI WEWE NDO KILAZA KWELI, HUJAISOMA HIYO KATIBA INAYOPENDEKEZWA HALAFU UNASEMA HAKUNA TUNU ZA TAIFA, KWA TAARIFA YAKO TUNU ZA TAIFA ZIKO KWENYE
SURA YA KWANZA IBARA YA TANO (5) NA ZIMETAJWA KUWA NI LUGHA YA KISWAHILI, MUUNGANO, UTU NA UDUGU, AMANI NA UTULIVU. PIA KATIKA IBARA YA 6 (MISINGI YA UTAWALA BORA) (2) (a) hadi kifungu (j) SASA KUKUHAKIKISHIA HAYA YAPO NENDA USOME HIZO SEHEMU NDO UONE JINSI ULIVYO KILAZA KAZI YA KUONGEA TU BILA KUSOMA KITU UKAKIELEWA. Upooo hapo?
 
mkuu anayestahili kuitwa mjinga niwewe! Tena mwehu kabisa! Hivi hiyo katiba inapatikana wapi! Maana zilizopo mtaani wanapewa mabalozi wa ccm na wenyeviti wa vitongoji wa ccm! Kwa hii serikali yenu inavyopenda sifa kitabu hiki cha chenge featuring sitta kingekuwa mtaani cha kutosha. Kuna mwenyekiti mmoja wa ccm mkoa ni rafiki yangu niliwahi kumuuliza " mbona mnasema na kunadi katiba pendekezwa mnasema ni nzuri embu niambie ni wapi pazuri?;jibu alilojibu aliniambia wajua sisi ni wanasiasa wa chama tawala sasa ukikuta umeandaliwa hadhara kubwa inabidi useme maana ki ukweli hata mimi siijui hiyo katiba oendekezwa" hayo ndo majibu ya maccm

wewe daima unaonekana kuwa ni mjinga na mvivu wa kusoma kabisaaaaa, yani badala uisome ukaielewa we unatafuta nini watu wanaongea ili na wewe uunge tela, sasa kwakuwa umeniuliza katiba iko wapi, nimekuwekea hapo chini idownload ili uisome vizuri ili mwisho wa siku uwaelimishe na wenzio hao waliokutuma ujibu porojo humu ndani.


download katiba hapa chini...

View attachment 238316
 
Mkuu anayestahili kuitwa mjinga niwewe! tena mwehu kabisa! Hivi hiyo katiba inapatikana wapi! maana zilizopo Mtaani wanapewa mabalozi wa CCM na wenyeviti wa vitongoji wa CCM! Kwa hii serikali yenu inavyopenda sifa Kitabu hiki cha Chenge featuring Sitta kingekuwa mtaani cha kutosha. Kuna Mwenyekiti mmoja wa CCM mkoa ni rafiki yangu niliwahi kumuuliza " mbona mnasema na kunadi katiba pendekezwa mnasema ni nzuri embu niambie ni wapi pazuri?;Jibu alilojibu aliniambia wajua sisi ni wanasiasa wa Chama tawala sasa ukikuta umeandaliwa Hadhara kubwa inabidi useme maana ki ukweli hata mimi siijui hiyo katiba oendekezwa" Hayo ndo majibu ya Maccm

Kama wewe ni muungwana suala la muhimu ni kuelimishwa, na kama hujajua uliza. Huo unaosema ni upotoshaji na siyo uungwana wa kujenga nchi yako. Katiba Inayopendekezwa ni ya Watanzania na imefuata utaratibu halali wa kisheria ambao ndiyo msingi wa yote hayo.

Acha kuwa mvivu wakufikiri, Tanzania hatuna "katiba ya Chenge & featuring Sitta" Tuna Katiba Inayopendekezwa iliyoandaliwa kwa kufuata Mchakato wa kutunga Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania umefikia hatua ya wananchi kuipigia kura Katiba Inayopendekezwa, iliyopitishwa na Bunge Maalum tarehe 4 Oktoba, 2014.


Awali, Tume ya Mabadiliko ya Katiba ilitoa Rasimu ya Kwanza tarehe 3 Juni, 2013 na Rasimu ya Pili ilitolewa tarehe 30 Desemba, 2014 na kuwasilishwa kwenye Bunge Maalum tarehe 21 Februari, 2014. Baada ya Bunge Maalum kukamilisha majukumu kwa mujibu wa Sheria ya Mabadiliko ya Katiba ya mwaka 2011, tunda lililozaliwa ni KATIBA INAYOPENDEKEZWA.

Hatua inayofuata ni ya wananchi kuipigia kura Katiba Inayopendekezwa. Kwa hiyo, kwa mujibu wa sheria, wananchi wa Tanzania ndiyo wenye uamuzi na kauli ya mwisho juu ya upatikanaji wa Katiba Mpya wakati muafaka utakapowadia kama itakavyo ainishwa na mamlaka husika.
 
mkuu umekosea kuni quote mimi nadhani hii quatation ilikuwa ya mleta mada

ONA SASA MNAGONGANA WENYEWE KWA WENYEWE UTADHANI NDEGE ANGANI, HOJA ZIMEWACHANGANYA NYIE WOTE WAWILI, JIPANGENI TENA NDO MUINGIE HUMU NDANI. Hahahaha!! mnalo hilo.
 
TETTY NA MBURE JASHA NYIE MAMBUMBU NA MNAONEKANA HAMTAKI KUSOMA, HIVI SHULENI ILIKUWAJE PINDI MNASOMA AU NDO WALE WALE WALIOSINHGIZIA UMANDE?? POLENI SANA, MSIPINGE KITU WAKATI HAMKIJUI WALA HAMJAKISOMA, CHENGE HANA KATIBA, SASA WEWE KWA RAHA ZAKO UNASEMA ETI KATIBA YA CHENGE, NA HIYO INAONYESHA JINSI GANI MLIVYOKUWA SHALO KATIKA KUJIBU HOJA. Poleni sana mijibaba nyie.

Ungenijibu bila kunitusi ningekujibu kwa hoja,ila kwa sababu umenijibu kwa matusi nitakujibu kama ulivyonijibu maana ndivyo unavyostahili.

1.Nikovery Inteligent kuliko wewe kwa asilimia nyingi sana.Yaani kaka nina kuzidi sana sana,ninashindwa hata namna yakukueleza ili wewe mwenye IQ ya NEGATIVE uweze kunielewa.

2.Nilifaulu vizuri mno kuliko wewe uliyepata DIVISION FIVE na bado mnajidai mmefaulu kumbe ni kwamba mmefeli sana kiasi kwamba hata ZERO ni kubwa.

3.Niko very senior to you na UWEZO wangu wa kufikiri,AKILI nilizonazo siwezi katu kujibishana nawe.

4.Wazungu walisema 'Never argue with a fool............."Topic :closed_2:
 
ONA SASA MNAGONGANA WENYEWE KWA WENYEWE UTADHANI NDEGE ANGANI, HOJA ZIMEWACHANGANYA NYIE WOTE WAWILI, JIPANGENI TENA NDO MUINGIE HUMU NDANI. Hahahaha!! mnalo hilo.
naomba kukuuliza swali kama mbili au tatu tu! 1. unashiriki vitendo vya kishoga? 2. Unaingiliwa kwa wiki mara ngapi 3. Una kile kiswahili cha kishambenga cha wanawake mashangingi au mashoga ni miongoni mwao?
 
Ungenijibu bila kunitusi ningekujibu kwa hoja,ila kwa sababu umenijibu kwa matusi nitakujibu kama ulivyonijibu maana ndivyo unavyostahili.

1.Nikovery Inteligent kuliko wewe kwa asilimia nyingi sana.Yaani kaka nina kuzidi sana sana,ninashindwa hata namna yakukueleza ili wewe mwenye IQ ya NEGATIVE uweze kunielewa.

2.Nilifaulu vizuri mno kuliko wewe uliyepata DIVISION FIVE na bado mnajidai mmefaulu kumbe ni kwamba mmefeli sana kiasi kwamba hata ZERO ni kubwa.

3.Niko very senior to you na UWEZO wangu wa kufikiri,AKILI nilizonazo siwezi katu kujibishana nawe.

4.Wazungu walisema 'Never argue with a fool............."Topic :closed_2:

KAMA KIPAJI CHA MAJIGAMBO ETI UMESOIMA SANA UNACHO SANA, UNGESOMA SANA UNGEKUWA UNAUZA CHIPS HAPO KWENU AU UNADHURURA DHURURA TU HAPO KITAA BILA KAZI YA KUFANYA?? WASWAHILI UKIWAPA NAFASI YA KUJISIFU WEWE UNASHIKA NAMBA MOJA LAKINI BEHIND THE SCENE WEWE UNAONEKANA ULISCORE "ZERO" CLASS NDO MANA UNAJISIFU KUPITIA MAJIBU YA RAFIKI ZAKO, YANI RAFIKI ZAKO NDO WALIFAULU WEWE UKACHEMSHA KWAHIYO UNACHUKUA MATOKEO YA RAFIKI ZAKO UNACOPY NA KUPASTE YAONEKANE YAKO, DUH WE MKALI WA KUCOPY NA KUPASTE SANA!! NAKUTUNUKU CHETI KATIKA HILO MBUMBUMBU NAMBA MOJA WEWE HUNA LOLOTE, KUSOMA UTASOMA WEWE? WALIOSOMA WANAJULIKANA NA HAWAJISIFU KAMA WEWE, KIZURI CHAJIUZA KIBAYA CHAJITEMBEZA.

WEWE, AKILI YAKO IMELIWA NA MDUDU WEWE UMECHANGANYIKIWA WALA SIO BURE WEWE!!
Hahaha pole sana :welcome:
 
Kama wewe ni muungwana suala la muhimu ni kuelimishwa, na kama hujajua uliza. Huo unaosema ni upotoshaji na siyo uungwana wa kujenga nchi yako. Katiba Inayopendekezwa ni ya Watanzania na imefuata utaratibu halali wa kisheria ambao ndiyo msingi wa yote hayo.

Acha kuwa mvivu wakufikiri, Tanzania hatuna "katiba ya Chenge & featuring Sitta" Tuna Katiba Inayopendekezwa iliyoandaliwa kwa kufuata Mchakato wa kutunga Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania umefikia hatua ya wananchi kuipigia kura Katiba Inayopendekezwa, iliyopitishwa na Bunge Maalum tarehe 4 Oktoba, 2014.


Awali, Tume ya Mabadiliko ya Katiba ilitoa Rasimu ya Kwanza tarehe 3 Juni, 2013 na Rasimu ya Pili ilitolewa tarehe 30 Desemba, 2014 na kuwasilishwa kwenye Bunge Maalum tarehe 21 Februari, 2014. Baada ya Bunge Maalum kukamilisha majukumu kwa mujibu wa Sheria ya Mabadiliko ya Katiba ya mwaka 2011, tunda lililozaliwa ni KATIBA INAYOPENDEKEZWA.

Hatua inayofuata ni ya wananchi kuipigia kura Katiba Inayopendekezwa. Kwa hiyo, kwa mujibu wa sheria, wananchi wa Tanzania ndiyo wenye uamuzi na kauli ya mwisho juu ya upatikanaji wa Katiba Mpya wakati muafaka utakapowadia kama itakavyo ainishwa na mamlaka husika.
ukumbuke pia miongoni mwa wananchi uanaawataja ni pamoja na mimi so haki yako ya kuitetea haizuii haki yangu ya kuipinga kwa jina lolote ninalotaka ili mradi sivunji sheria! upo mama
 
Acha kuwa mvivu wakufikiri, Tanzania hatua "katiba ya Chenge" Tuna Katiba Inayopendekezwa iliyoandaliwa kwa kufuata Mchakato wa kutunga Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania umefikia hatua ya wananchi kuipigia kura Katiba Inayopendekezwa, iliyopitishwa na Bunge Maalum tarehe 4 Oktoba, 2014.

Awali, Tume ya Mabadiliko ya Katiba ilitoa Rasimu ya Kwanza tarehe 3 Juni, 2013 na Rasimu ya Pili ilitolewa tarehe 30 Desemba, 2014 na kuwasilishwa kwenye Bunge Maalum tarehe 21 Februari, 2014. Baada ya Bunge Maalum kukamilisha majukumu kwa mujibu wa Sheria ya Mabadiliko ya Katiba ya mwaka 2011, tunda lililozaliwa ni KATIBA INAYOPENDEKEZWA.

Hatua inayofuata ni ya wananchi kuipigia kura Katiba Inayopendekezwa. Kwa hiyo, kwa mujibu wa sheria, wananchi wa Tanzania ndiyo wenye uamuzi na kauli ya mwisho juu ya upatikanaji wa Katiba Mpya wakati muafaka utakapowadia kama itakavyo ainishwa na mamlaka husika.

Hiyo "katiba ya Chenge"umeitoa wapi? Acha uongo wako usiwadanganye Watanzania kwa maneno yako ya upotoshaji. Koma na acha kabisa!

Sijampotosha mtu,ila mie ndivyo ninavyoijua inaitwa hivyo.Na hiyo Jina la KATIBA Pendekezwa imependekezwa na NANI?

Simpotoshi mtu ila nausemea moyo wangu KATIBA ya CHENGE aka KATIBA ya MAFISADI.

Kila mtu ana namna ya kufanya maamuzi,siwezi kuyaita maamuzi yako UVIVU wa KUFIKRI.Tukubaliane katika KUTOKUKUBALIANA.Hata kwenye familia watoto hawawezi kuwa na MAAMUZI yanayofanana.

Tunauhuru wa kufikiri,kuamua na kutenda mradi sivunji sheria.HUNA HAKI na HAUWEZI kuwa NA HAKI ya kuniambi ni MVUVI wa KUFIKIRI sababu tu tumetofautiana mawazo.

Heshimu mawazo yangu nitaheshimu mawazo yako sitakudhalilisha,kukutusi,wala kukudharau sababu tu umetofautiana nami.

Tunachotakiwa kila mtu ajibu hoja kwa hoja na sihoja kwa matusi.Sababu umeanza kunitusi basi kwa leo nasema Topic:closed_2:
 
Katiba Inayopendekezwa inataja kipengele cha kuwajali Wasanii katika Ibara ya 59, ambapo haki hizi muhimu kwa wasanii zinajumuisha Haki-miliki ambazo zitawasaidia kulinda kazi zao za ubunifu, utafiti na hatimaye kukuza sanaa, taaluma, ubunifu na ugunduzi kwa manufaa yao binafsi na taifa kwa jumla. Ifahamike kuwa, kundi hili ni muhimu katika kukuza fursa za ajira kwa vijana na kuiletea sifa na heshima nchi yetu kwa kutumia sanaa na ubunifu wao, hivyo ni kundi ambalo lina uwezo mkubwa wa kuitangaza nchi ya Tanzania katika Nyanja mbalimbali zikiwemo za kiuchumi, kiutamaduni na kijamii.

Kwa kipindi kirefu kumekuwa na kilio kikubwa kwa kundi hili kukosa ulinzi wa kazi zao, hivyo Katiba Inayopendekezwa inajenga mazingira mazuri ya kundi hili kuthaminiwa, kuendelezwa na kulindwa.
Katiba Inayopendekezwa, imeweza kuonyesha ni kwa jinsi gani hakimiliki ya msanii (Intellectual property) itakavyolindwa na Katiba, jambo ambalo litasaidia kwa kiwango kikubwa kuinua maisha wa wasanii wengi nchini na kukuza vipato vyao. Kwa mujibu wa takwimu za Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA) Wasanii wanafikia karibu milioni Sita kati ya Watanzania milioni 45, kwa vyovyote kutambuliwa huku kutawasaidia wasanii.

Wasanii wengi nchini wameonekana kuridhishwa na kitendo cha haki zao kuingizwa kwenye Katiba Inayopendekezwa kwasababu hali hiyo itawasaidia kupambana na watu wanaoiba kazi zao. Ni wazi kuwa kutambuliwa huku kutasaidia nchi kunufaika kutokana na mchango wa sekta hiyo ya sanaa na umma utafaidika kwa kiasi kikubwa. :rain:

Kuna copyright and neighbourhood law, je sio ilikuwa ni suala la ku-amend law tu?! Kama ni hivyo mbona katiba haijasema kama wataweka taa kweenye kibarara cha mtaa wetu, hivyo haijatujali na kwa maana hiyo kura ni 'hapana'.
 
kuna copyright and neighbourhood law, je sio ilikuwa ni suala la ku-amend law tu?! Kama ni hivyo mbona katiba haijasema kama wataweka taa kweenye kibarara cha mtaa wetu, hivyo haijatujali na kwa maana hiyo kura ni 'hapana'.

we kweli punga kweli, yani mambo yako binafsi unataka yawekwe kwenye hiYo katiba hivi una akili timamu wewe?? Au umelewa gongo?
 
Back
Top Bottom