Tetty
JF-Expert Member
- Jan 6, 2012
- 26,355
- 21,411
KAMA KIPAJI CHA MAJIGAMBO ETI UMESOIMA SANA UNACHO SANA, UNGESOMA SANA UNGEKUWA UNAUZA CHIPS HAPO KWENU AU UNADHURURA DHURURA TU HAPO KITAA BILA KAZI YA KUFANYA?? WASWAHILI UKIWAPA NAFASI YA KUJISIFU WEWE UNASHIKA NAMBA MOJA LAKINI BEHIND THE SCENE WEWE UNAONEKANA ULISCORE "ZERO" CLASS NDO MANA UNAJISIFU KUPITIA MAJIBU YA RAFIKI ZAKO, YANI RAFIKI ZAKO NDO WALIFAULU WEWE UKACHEMSHA KWAHIYO UNACHUKUA MATOKEO YA RAFIKI ZAKO UNACOPY NA KUPASTE YAONEKANE YAKO, DUH WE MKALI WA KUCOPY NA KUPASTE SANA!! NAKUTUNUKU CHETI KATIKA HILO MBUMBUMBU NAMBA MOJA WEWE HUNA LOLOTE, KUSOMA UTASOMA WEWE? WALIOSOMA WANAJULIKANA NA HAWAJISIFU KAMA WEWE, KIZURI CHAJIUZA KIBAYA CHAJITEMBEZA.
WEWE, AKILI YAKO IMELIWA NA MDUDU WEWE UMECHANGANYIKIWA WALA SIO BURE WEWE!! Hahaha pole sana :welcome:
Usipomjua mtu ni hatari sana.Nimekwambia hivi IQ yako =-ve.in short haisomi.Huwezi hata nukta kujibishana nami.
Wapumbavu kama nyie sababu ya akili za kushikishwa na majibu ya kuandikiwa ukadhani wote wako sawa nawe.
Pole sana ila nakuonea huruma japo ungekuwa mjinga ungeweza japo kupata elimu ndogo unayopewa na watu wenye akili na maamuzi ya binafsi kama sisi,lakini sababu ni MPUMBAVU huwezi kuvuna chochote.
Walimu wangu waliniasa ukiona kichaa kachukua nguo zako basi chutama usimkimbize,hivyo siwezi jibishana nawe.
Na mwisho kila siku kumbuka katika maisha KIBAYA KINAJIEMBEZA hakiuziki kamwe na KIZURI CHAJIUZA,ni sawa basi kati ya KATIBA ya MAFISADI na ya KATIBA ya WARIOBA,Katiba ya WARIOBA inajiuza,lakini ya Chenge pamoja na kujitembeza bado haiuziki.
Kaendelee kuvuta:bange::bange::bange: