Tuacheni utani jamani, katiba inayopendekezwa imewajali wasanii!

Tuacheni utani jamani, katiba inayopendekezwa imewajali wasanii!


Ni kweli TEtty umezeeka akili huna ubavu wa kupambana na mimi, elimu yako ya kuungaunga unakalia kuokota maneno unayaleta Jf jiangalie sana,umesema hupendi kujibiwa na mimi si ukae kimya,wee mbona unaongea utumbo wa bata hapa hilo hulioni, kama una misimamo yako ya chama au una ugomvi na mtu tafadhali usiniletee hapa,na hizo bange unazovuta mwaka huu zitakucost maana dalili zinajionyesha kabisa hauko sawa kichwani kazi kutaja majina ya watu wasiohusiana na hoja unayoitoa kwa nini nisikuite crazy,tena hapo nimekuheshimu sana! Usirudi tena hapa na vibao vyako closed unakalia kuvibrate kwa kuguswa tu je ukitukanwa sawasawa si ndio utakufa?

Nimezeeka sijazeeka mradi sili wala silali kwako basi aikuhusu.Ila nakuelimisha tu kwamba kama MTANZANIA NINA HAKI YA KUPIGA KURABYA NDIYO AU HAPANA.Kwa sasa nimechagua kupiga KURA YA HAPANA KWA KATIBA HII YA MAFISADI.

PILI HUNA HAKI NIRUDIA TENA HUNA HAKI YA KUNITUSI,KUNIDHALILISHA ETI SABABU TU NIMEAMUA KUPIGA KURA YA HAPANA.

Tatu Prof wa Kichina qnajua wazi na with facts kwamba WATANZANIA TUNAHAKINYABKUPIGA KURA YA NDIYO AU HAPANA KWANI NI HAKI YETU KISHRIA NA KIKATIBA.

Uamuzi wangu hata nikiamka usingizini ni HAPANA KWA KATIBA YA MAFISADI.PLEASE FANYA MAMBO YAKO SABABU SITAKUJIBU.SIPENDI WANAWAKE/ MABINTI WAPUMBAVU wasio jua jema na baya.Ni uamuzi wangu,mradi sivunji katiba ya nchi wqla sheria.Jua ni HAKI yangu ya msingi,nipo huru kipiga KURA YA HAPANA.SINA MUDA TENA WA KUBISHANA NA MTOTO WA FISADI..MOO BUSY KUUZQ MADAWA YA KULEVYA.wapumbavu kweli nyie.[/QUOTE]

SASA WEWE MBURURA HUJUI KUWA SUALA LA KURA NI SIRI YA MTU?? SASA UNAYEMTANGAZIA HUMU NDANI KWAMBA UTAPIGA KURA YA HAPANA NANI? UADHANI WATU WASHAMBA WA KUPIGA KURA AU? WE PIGA LAKINI WAKO WATAKAOPIGA KURA YA NDIYO, NA KUPIGA KWAKO HIYO KURA YA HAPANA HAKUTOINYIMA CHANCE YA KATIBA HII KUPITA HILO ULIJUE KABISAAA, MUNGU ATAIBARIKI NA ITAPITA POLE YENU NYIE MNAOPOTEZA MUDA WENU KUTANGAZA TANGAZA OOOH MI NTAPIGA HAPANA, TENA UKIWEZA NENDA KWENYE VYOMBO VYA HABARI UKAWEKE HILO TANGAZO LAKO KUWA WEWE UTAPIGA HAPANA, MAANA UNAONEKANA MSHAMBA WA HAYA MAMBO NA UNAONEKANA NI MTOTO NDO KWANZA UMETIMIZA UMRI WA KUPIGA KURA HIVI MAJUZI TUU, KWAHIYO WALA USIWABABAISHE WATANZANIA WAPENDA NCHI YAO, KAMA UMEICHOKA TANZANIA YETU BASI HUZUIWI KWENDA KUOMBA URAIA NCHI NYINGINE KAMA SOMALIA, BAGHDAD, LIBYA, RAQAAL, N.K STOP bombarding!!
 
mkuu umekosea kuni quote mimi nadhani hii quatation ilikuwa ya mleta mada


Ha ha ha ha MBURE NA TETTY NYIE NI VICHWA MAJI !! HII INAONYESHA NI JINSI GANI MLIVYOKOSA UMAKINI MPAKA MNATUMIANA MAJIBU WENYEWE SIO BURE MMETUMWA NYIE NA KAZI MNAYOIFANYA KUTUPOTEZEA MUDA HUMU TUMEISHTUKIA
 
Tunataka katiba ya watanzania wote sio katiba ya wazee na wasanii tu.
 
NANI KAKWAMBIA KUWA KATIBA HII NI YA WAZEE NA WASANII? Kasome uielewe ili ujue makundi yote yaliyomo ndani ya Katiba hiyo.

Hii katiba ya mwizi chenge nimeamua kuifanya toilet paper ,hii sio katiba bali ni takataka,sehemu muhimu za maadili ya viongozi wamezitoa,mikataba kwenda bungeni wameondoa yani hii katiba ni mavi kabisa
 
NANI KAKWAMBIA KUWA KATIBA HII NI YA WAZEE NA WASANII? Kasome uielewe ili ujue makundi yote yaliyomo ndani ya Katiba hiyo.
Kuna vitu vya msingi 250 havimo vimeondolewa. Wapi tume huru ya uchaguzi, wapi mgombea binafsi, wapi maadili, wapi uwajibishaji viongozi, wapi kupunguzwa madaraka ya rais, wapi kuwajibisha wabunge mizigo, wapi jeshi huru la polisi, wapi takukuru isioteuliwa na rais, wapi mgawanyo wa mamlaka kati ya rais, mahakama na binge, wapi bima ya wakulima na wafugaji, wapi udhibiti wa wizi wa pesa za uma, wapi ukomo wa ubunge, haki ya elimu kwa mtoto wakitanzania ni sahihi au imeandikwa kwa kuzima moto, njia iliyotumika kupata rasimu unazani ni sahihi au hujaona ubabe uliotumika, wapi nchi huru ya ZANZIBAR au unaona raha kuitawala Zanzibar kimabavu, wapi Tanganyika huru, Ni kwa misingi gani raia mzawa wa Zanzibar ikitokea amepewa urais wa muungano atagawa mipaka upande wa bara ilihali Zanzibar in rais wao, ipi maana sahihi ya muungano kwa mujibu wa katiba yenu ya change na sita, na mambo mengine zaidi ya 250 hayapo, ila kwasababu wewe ni mbanapua na umetajwa mahali fulani unaona poa tu bila kujiuliza haki za msingi za makundi mengine. Tanzania haipo kwa ajili ya wasanii tu acheni mahaba niue.
 
ok,pole,nisamehe bure ndugu yangu.


nimeshawaambia nyie mna upungufu wa akili mpelekwe milembemkapewe vitanda ha ha ha ha ha ha check hapa mnaombana msamaha yaani hamjui mnachokifanya mnabaki kugongana humu ndani duuu kweli umakini hamna wee tetty na huyo bure ni magari ya taka ha ha ha ha tokeni zenu na mishuzi yenu ya maharage mnachafua hewa jf.
 
Kuna vitu vya msingi 250 havimo vimeondolewa. Wapi tume huru ya uchaguzi, wapi mgombea binafsi, wapi maadili, wapi uwajibishaji viongozi, wapi kupunguzwa madaraka ya rais, wapi kuwajibisha wabunge mizigo, wapi jeshi huru la polisi, wapi takukuru isioteuliwa na rais, wapi mgawanyo wa mamlaka kati ya rais, mahakama na binge, wapi bima ya wakulima na wafugaji, wapi udhibiti wa wizi wa pesa za uma, wapi ukomo wa ubunge, haki ya elimu kwa mtoto wakitanzania ni sahihi au imeandikwa kwa kuzima moto, njia iliyotumika kupata rasimu unazani ni sahihi au hujaona ubabe uliotumika, wapi nchi huru ya ZANZIBAR au unaona raha kuitawala Zanzibar kimabavu, wapi Tanganyika huru, Ni kwa misingi gani raia mzawa wa Zanzibar ikitokea amepewa urais wa muungano atagawa mipaka upande wa bara ilihali Zanzibar in rais wao, ipi maana sahihi ya muungano kwa mujibu wa katiba yenu ya change na sita, na mambo mengine zaidi ya 250 hayapo, ila kwasababu wewe ni mbanapua na umetajwa mahali fulani unaona poa tu bila kujiuliza haki za msingi za makundi mengine. Tanzania haipo kwa ajili ya wasanii tu acheni mahaba niue.

UNA MATATIZO YA AKILI WEWE, YANI HAYO YOTE ULOYAWEKA HAPO JUU YAPO YOTE TENA UMENIRAHISISHIA KAZI NAKUTAJIA NA IBARA NA VIFUNGU VYAKE ILI UYASOME HAYO YOTE KWA MUDA WAKO UPATE KUYAELEWA, KWANZA KASOME IBARA YA 217-223 UTAONA MAMBO KUHUSU TUME HURU YA UCHAGUZI, SOMA IBARA YA 216 UTAONA SUALA LA MGOMBEA HURU (BINAFSI), SOMA SURA YA NNE IBARA YA 28-31 UTAONA SUALA LA MAADILI NA MIIKO YA UONGOZI, SOMA SURA YA NANE IBARA YA 81 UTAONA MASUALA YA MADARAKA NA MAJUKUMU YA RAIS, SOMA SURA YA NNE IBARA YA 29 UTAONA KANUNI ZA UONGOZI WA UMMA, SOMA SURA YA 17 IBARA YA 266 YOTE UTAONA MAMBO YA JESHI LA POLISI, SOMA SURA 15 IBARA YA 249 UTAONA MAMBO KUHUSU CHOMBO CHA KUZUIA NA KUPAMBANA NA RUSHWA, SOMA IBARA YA 46 UTKUTA MAMBO YA MAKUNDI MADOGO MADOGO, SOMA IBARA YA 53-(1)Kipengele(C) UTAKUTA HAKI ZA MTOTO IKIWEMO YA KUWEKEWA MAZINGIRA BORA YA KUMPATIA ELIMU IMEANDIKWA VEMA KABISAAA, SASA UKISOMA HIZO SEHEMU MAJIBU UNAYAPATA KWA URAHIC NA UFASAHA WA HALI YA JUU, KAZI KWAKO HAPO KAMA HUSOMI USIULIZE TENA MASWALI YENYE MAJIBU RAHISI KAMA HAYO ULIWEKA HAPO JUU. Fanya hivyo ndugu
 
kuna vitu vya msingi 250 havimo vimeondolewa. Wapi tume huru ya uchaguzi, wapi mgombea binafsi, wapi maadili, wapi uwajibishaji viongozi, wapi kupunguzwa madaraka ya rais, wapi kuwajibisha wabunge mizigo, wapi jeshi huru la polisi, wapi takukuru isioteuliwa na rais, wapi mgawanyo wa mamlaka kati ya rais, mahakama na binge, wapi bima ya wakulima na wafugaji, wapi udhibiti wa wizi wa pesa za uma, wapi ukomo wa ubunge, haki ya elimu kwa mtoto wakitanzania ni sahihi au imeandikwa kwa kuzima moto, njia iliyotumika kupata rasimu unazani ni sahihi au hujaona ubabe uliotumika, wapi nchi huru ya zanzibar au unaona raha kuitawala zanzibar kimabavu, wapi tanganyika huru, ni kwa misingi gani raia mzawa wa zanzibar ikitokea amepewa urais wa muungano atagawa mipaka upande wa bara ilihali zanzibar in rais wao, ipi maana sahihi ya muungano kwa mujibu wa katiba yenu ya change na sita, na mambo mengine zaidi ya 250 hayapo, ila kwasababu wewe ni mbanapua na umetajwa mahali fulani unaona poa tu bila kujiuliza haki za msingi za makundi mengine. Tanzania haipo kwa ajili ya wasanii tu acheni mahaba niue.



wewe mtumba kweli husomi, huelewi na unaonekana mzembe tu unakalia kuropoka unauliza wapi mgombea binafsi mwehu wewe kasome sura ya 14 inaeleza wazi ushiriki wa wananchi katika uchaguzi na kura ya maoni ibara ya 215.

afu ukimaliza hiyo soma ibara ya 216 inaweka wazi uwepo wa mgombea huru na tume huru ya uchaguzi,haya yote yatawekwa vizuri na sheria itakayowekwa na bunge kuweka masharti ya mgombea binafsi


hayo ni baadhi tu ya mambo mengi mazuri kwa mustakabali wa taifa ambayo yamo kwenye katiba pendekezwa, usikurupuke na kuanza kuropoka na kujifanya hayawani huelewi kitu omba msaada wewe acha kuchepuka.
 
hii katiba ya mwizi chenge nimeamua kuifanya toilet paper ,hii sio katiba bali ni takataka,sehemu muhimu za maadili ya viongozi wamezitoa,mikataba kwenda bungeni wameondoa yani hii katiba ni mavi kabisa



wala sikushangai kufanya hivyo maana jina lako linaonyesha wazi umezoea kuishi na manyani udzungwa ha ha ha ndio maana huna tabia za kibinadamu, hna sifa ya kuendelea kudebate humu ndani stay back kakae porini humu utaumia na akili zako za tumbili.
 
Kuna vitu vya msingi 250 havimo vimeondolewa. Wapi tume huru ya uchaguzi, wapi mgombea binafsi, wapi maadili, wapi uwajibishaji viongozi, wapi kupunguzwa madaraka ya rais, wapi kuwajibisha wabunge mizigo, wapi jeshi huru la polisi, wapi takukuru isioteuliwa na rais, wapi mgawanyo wa mamlaka kati ya rais, mahakama na binge, wapi bima ya wakulima na wafugaji, wapi udhibiti wa wizi wa pesa za uma, wapi ukomo wa ubunge, haki ya elimu kwa mtoto wakitanzania ni sahihi au imeandikwa kwa kuzima moto, njia iliyotumika kupata rasimu unazani ni sahihi au hujaona ubabe uliotumika, wapi nchi huru ya ZANZIBAR au unaona raha kuitawala Zanzibar kimabavu, wapi Tanganyika huru, Ni kwa misingi gani raia mzawa wa Zanzibar ikitokea amepewa urais wa muungano atagawa mipaka upande wa bara ilihali Zanzibar in rais wao, ipi maana sahihi ya muungano kwa mujibu wa katiba yenu ya change na sita, na mambo mengine zaidi ya 250 hayapo, ila kwasababu wewe ni mbanapua na umetajwa mahali fulani unaona poa tu bila kujiuliza haki za msingi za makundi mengine. Tanzania haipo kwa ajili ya wasanii tu acheni mahaba niue.

Taswira ninayoipata haapa inaogopesha na inatisha, Hivi wewe, unazungumzia vitu ambavyo vyooote vimo kwenye Katiba Inayopendekezwa ukilalamika havimo.

SASA Kasome ibara ya 217-223 utaona mambo kuhusu tume huru ya uchaguzi, soma ibara ya 216 utaona suala la mgombea huru (binafsi), soma sura ya nne ibara ya 28-31 utaona suala la maadili na miiko ya uongozi, soma sura ya nane ibara ya 81 utaona masuala ya madaraka na majukumu ya rais, soma sura ya nne ibara ya 29 utaona kanuni za uongozi wa umma, soma sura ya 17 ibara ya 266 yote utaona mambo ya jeshi la polisi, soma sura 15 ibara ya 249 utaona mambo kuhusu chombo cha kuzuia na kupambana na rushwa, soma ibara ya 46 utkuta mambo ya makundi madogo madogo, soma ibara ya 53-(1)kipengele(c) utakuta haki za mtoto ikiwemo ya kuwekewa mazingira bora ya kumpatia elimu imeandikwa vizuri na kwa lugha rahisi kabisaaa
.
 
Uzuri wa katiba unatokana na ujumla wa vifungu vyote na si kifungu kimoja au sentensi moja.
 
wewe utrabaki kuwa punga tuu kila kukicha huelewi kitu we weka katuni tuu ndo kazi unayoijua hapo. Boya weee

Nadhani najua hili umelewa:bange::bange::bange:na ndiyo maana upo total:A S confused::A S confused😛ole.Nakutakia siku njema.
 
Tunataka katiba ya watanzania wote sio katiba ya wazee na wasanii tu.

We we we we kundi pekee lililosahauliwa kwenye katiba pendekezwa ni kundi lako la wanafiki,waongo,wazandiki,wachumia tumbo,wenye husuda,kijicho na kiburi hilo halimoooooo pekua sura zote mpaka sura ya 19.

KWa kukusaidia SURA YA TANO; Sehemu ya kwanza ya katiba pendekezwa imeorodhesha haki za makundi ambayo kundi lenu haliyajui kasome mwenyewe acha uvivu.
 
Ama kweli tunatofautiana uelewa na kupima mambo. Kwa msanii anayeweza usanii pekee hiyo Katiba pendekezwa inamfaa, LAKINI kwa mtu anayeweza kwa maslahi mapana ya nchi, anaenda zaidi ya matakwa binafsi ya makundi binafsi.

Kwa mtu anayefikiria zaidi, Katiba pendekezwa haifai, ni Bomu, na ndio maana ililazimishwa kupitishwa Bungeni BMLK , Rais naye akaipigia kampeno siku anakabidhiwa na Sitta , ndivyo inavyolazimishwa sasa Watanzania waikubali; na italazimishwa kupitishwa kwenye kura ya maoni.

Vv
 
ama kweli tunatofautiana uelewa na kupima mambo. Kwa msanii anayeweza usanii pekee hiyo katiba pendekezwa inamfaa, lakini kwa mtu anayeweza kwa maslahi mapana ya nchi, anaenda zaidi ya matakwa binafsi ya makundi binafsi.

Kwa mtu anayefikiria zaidi, katiba pendekezwa haifai, ni bomu, na ndio maana ililazimishwa kupitishwa bungeni bmlk , rais naye akaipigia kampeno siku anakabidhiwa na sitta , ndivyo inavyolazimishwa sasa watanzania waikubali; na italazimishwa kupitishwa kwenye kura ya maoni.

Vv


umevurunda tu na hoja yako kipisi,kazi kuchanganya maneno na kuchapia!unakalia kuandika vitu jumla jumla unafikiri hapa tuko sokoni,jenga hoja tukuelewe acha kulipuka!!!
 
Wee Mbure unaishi mapangoni,hujielewi sasa ulitaka iweje???ulifikiri haki za wasanii zisipotajwa kwenye KAtiba inayopendekezwa zitatajwa wapi kwa akili zako fupi,we kenge unayewaza kula mayai usiyojua yanatoka wapi?usipende sana kudandia mada na kuchafua hali ya hewa umetumwa wewe sio bure maana hiyo sio akili yako uko ka shetani vile.

Tetty una mdomo kama bata unaomeza kila kilicho mbele yake, hapa naona unajaribu kumeza moto!! Ha ha ha pole sana ni bora ukalale kuliko kuendelea kuchafua jamvi si muda mrefu utahukumia, aiseee jitambue bhana usiwe mburula wee utakua unakula cha Arusha sio bure aisee.

tetty inabidi jina lako liingizwe kwenye orodha ya wagonjwa milembe haiwezekani kama wewe nimtanzania kweli ushindwe kujua katiba pendekezwa imetokana na bunge maalumu la katiba??????

Ha ha ha ha MBURE NA TETTY NYIE NI VICHWA MAJI !! HII INAONYESHA NI JINSI GANI MLIVYOKOSA UMAKINI MPAKA MNATUMIANA MAJIBU WENYEWE SIO BURE MMETUMWA NYIE NA KAZI MNAYOIFANYA KUTUPOTEZEA MUDA HUMU TUMEISHTUKIA


nimeshawaambia nyie mna upungufu wa akili mpelekwe milembemkapewe vitanda ha ha ha ha ha ha check hapa mnaombana msamaha yaani hamjui mnachokifanya mnabaki kugongana humu ndani duuu kweli umakini hamna wee tetty na huyo bure ni magari ya taka ha ha ha ha tokeni zenu na mishuzi yenu ya maharage mnachafua hewa jf.


wewe mtumba kweli husomi, huelewi na unaonekana mzembe tu unakalia kuropoka unauliza wapi mgombea binafsi mwehu wewe kasome sura ya 14 inaeleza wazi ushiriki wa wananchi katika uchaguzi na kura ya maoni ibara ya 215.

afu ukimaliza hiyo soma ibara ya 216 inaweka wazi uwepo wa mgombea huru na tume huru ya uchaguzi,haya yote yatawekwa vizuri na sheria itakayowekwa na bunge kuweka masharti ya mgombea binafsi


hayo ni baadhi tu ya mambo mengi mazuri kwa mustakabali wa taifa ambayo yamo kwenye katiba pendekezwa, usikurupuke na kuanza kuropoka na kujifanya hayawani huelewi kitu omba msaada wewe acha kuchepuka.

wala sikushangai kufanya hivyo maana jina lako linaonyesha wazi umezoea kuishi na manyani udzungwa ha ha ha ndio maana huna tabia za kibinadamu, hna sifa ya kuendelea kudebate humu ndani stay back kakae porini humu utaumia na akili zako za tumbili.

We we we we kundi pekee lililosahauliwa kwenye katiba pendekezwa ni kundi lako la wanafiki,waongo,wazandiki,wachumia tumbo,wenye husuda,kijicho na kiburi hilo halimoooooo pekua sura zote mpaka sura ya 19.

KWa kukusaidia SURA YA TANO; Sehemu ya kwanza ya katiba pendekezwa imeorodhesha haki za makundi ambayo kundi lenu haliyajui kasome mwenyewe acha uvivu.

usitupotezee muda wewe sio mtanzania,ungekua usingeropoka maana hujui nchi yetu inakwenda wapi?

umevurunda tu na hoja yako kipisi,kazi kuchanganya maneno na kuchapia!unakalia kuandika vitu jumla jumla unafikiri hapa tuko sokoni,jenga hoja tukuelewe acha kulipuka!!!

Hebu tazama comments zako? Sijaona ukijibu hoja yoyote zaidi ya kubeza hoja za wenzio bila kujibu wala kujenga hoja yoyote zaidi ya kuongeza idadi ya posts zajo.

Hata hivyo jihesabu kuwa una bahati sana kwamba nimekunukuu.

Vv
 
Hebu tazama comments zako? Sijaona ukijibu hoja yoyote zaidi ya kubeza hoja za wenzio bila kujibu wala kujenga hoja yoyote zaidi ya kuongeza idadi ya posts zajo.

Hata hivyo jihesabu kuwa una bahati sana kwamba nimekunukuu.

Vv



ACHA UVIVU WA KUFIKIRI MWEHU WEWE WEWE UMEJIBU HOJA GANI HAPA,ULITEGEMEA NIKUJIBU NINI MVIVU WA KUFIKIRI NA KUSOMA,ENDELEA KUWAKILISHA KUNDI LA VICHAA MAANA HUJITAMBUI ENDELEA KUCOPY NA KUPASTE ILI UENDELEE KUNIPA NGUVU!!!!! Haaa KUMBE UNASOMA SAFI SANA.
 
Back
Top Bottom