Dragunov Sniper
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 2,795
- 9
Wewe vyama vingi na jina lako la bandia sio size yangu,unakalia kudandia mjadala usiouweza kikubwa jiheshimu na mimi nitakuheshimu mitusi umeianza mwenyewe sasa unalia tulia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa kuitana mwehu, sijui huna akili vinakujaje hapa.
wewe mtumba kweli husomi, huelewi na unaonekana mzembe tu unakalia kuropoka unauliza wapi mgombea binafsi mwehu wewe kasome sura ya 14 inaeleza wazi ushiriki wa wananchi katika uchaguzi na kura ya maoni ibara ya 215.
afu ukimaliza hiyo soma ibara ya 216 inaweka wazi uwepo wa mgombea huru na tume huru ya uchaguzi,haya yote yatawekwa vizuri na sheria itakayowekwa na bunge kuweka masharti ya mgombea binafsi
hayo ni baadhi tu ya mambo mengi mazuri kwa mustakabali wa taifa ambayo yamo kwenye katiba pendekezwa, usikurupuke na kuanza kuropoka na kujifanya hayawani huelewi kitu omba msaada wewe acha kuchepuka.
Shukuru umeingiza hiyo book7 yaleo lakini sijaona kama ulichoandika kinafanana na nilichochangia. Sio lazima uchangie vingine unasoma alafu unakausha.usitupotezee muda wewe sio mtanzania,ungekua usingeropoka maana hujui nchi yetu inakwenda wapi?
Hivyo vifungu umesoma kama gazeti lakini ungesoma kwa lengo lakuelimika tungekuwa pamoja. Lakini asante kwa mchango wako.Taswira ninayoipata haapa inaogopesha na inatisha, Hivi wewe, unazungumzia vitu ambavyo vyooote vimo kwenye Katiba Inayopendekezwa ukilalamika havimo. [FONT=&]
SASA Kasome ibara ya 217-223 utaona mambo kuhusu tume huru ya uchaguzi, soma ibara ya 216 utaona suala la mgombea huru (binafsi), soma sura ya nne ibara ya 28-31 utaona suala la maadili na miiko ya uongozi, soma sura ya nane ibara ya 81 utaona masuala ya madaraka na majukumu ya rais, soma sura ya nne ibara ya 29 utaona kanuni za uongozi wa umma, soma sura ya 17 ibara ya 266 yote utaona mambo ya jeshi la polisi, soma sura 15 ibara ya 249 utaona mambo kuhusu chombo cha kuzuia na kupambana na rushwa, soma ibara ya 46 utkuta mambo ya makundi madogo madogo, soma ibara ya 53-(1)kipengele(c) utakuta haki za mtoto ikiwemo ya kuwekewa mazingira bora ya kumpatia elimu imeandikwa vizuri na kwa lugha rahisi kabisaaa[/FONT].
Sasa nimeelewa kwanini wengine wanaishia la saba, wengine 4m4, wengine kidato chasita na engine chuo kikuu. Elewa waliondika hiyo rasimu ni wajanja sana kuliko Mimi na wewe, sasa kama wewe msomi tasimu imakunasa kiasi hicho ja mkulima ambae amesomea chini ya mwembe ataelewa kitu kweli. Kwa taarifa yako hivyo vifingu ulivyovitaja vingi ni mitego na wengi mmeshanasa kabla hata yakura ya maoni.UNA MATATIZO YA AKILI WEWE, YANI HAYO YOTE ULOYAWEKA HAPO JUU YAPO YOTE TENA UMENIRAHISISHIA KAZI NAKUTAJIA NA IBARA NA VIFUNGU VYAKE ILI UYASOME HAYO YOTE KWA MUDA WAKO UPATE KUYAELEWA, KWANZA KASOME IBARA YA 217-223 UTAONA MAMBO KUHUSU TUME HURU YA UCHAGUZI, SOMA IBARA YA 216 UTAONA SUALA LA MGOMBEA HURU (BINAFSI), SOMA SURA YA NNE IBARA YA 28-31 UTAONA SUALA LA MAADILI NA MIIKO YA UONGOZI, SOMA SURA YA NANE IBARA YA 81 UTAONA MASUALA YA MADARAKA NA MAJUKUMU YA RAIS, SOMA SURA YA NNE IBARA YA 29 UTAONA KANUNI ZA UONGOZI WA UMMA, SOMA SURA YA 17 IBARA YA 266 YOTE UTAONA MAMBO YA JESHI LA POLISI, SOMA SURA 15 IBARA YA 249
UTAONA MAMBO KUHUSU CHOMBO CHA KUZUIA NA KUPAMBANA NA RUSHWA, SOMA IBARA YA 46 UTKUTA MAMBO YA MAKUNDI MADOGO MADOGO, SOMA IBARA YA 53-(1)Kipengele(C) UTAKUTA HAKI ZA MTOTO IKIWEMO YA KUWEKEWA MAZINGIRA BORA YA KUMPATIA ELIMU IMEANDIKWA VEMA KABISAAA, SASA UKISOMA HIZO SEHEMU MAJIBU UNAYAPATA KWA URAHIC NA UFASAHA WA HALI YA JUU, KAZI KWAKO HAPO KAMA HUSOMI USIULIZE TENA MASWALI YENYE MAJIBU RAHISI KAMA HAYO ULIWEKA HAPO JUU. Fanya hivyo ndugu
Kwahiyo unatushauri tuipigie kura ya ndio?No man,that's just smokescreen. Whenever you have a corrupt government it's hard for the human rights and other basic rights to be maintained; and this damned constitution create the environment for corrupt regime to prosper. Warudishe TUNU ZA TAIFA kama vile UADILIFU,UWAJIBIKAJI & UWAZI kwenye katiba ijayo ndio tuongee.
sasa nimeelewa kwanini wengine wanaishia la saba, wengine 4m4, wengine kidato chasita na engine chuo kikuu. Elewa waliondika hiyo rasimu ni wajanja sana kuliko mimi na wewe, sasa kama wewe msomi tasimu imakunasa kiasi hicho ja mkulima ambae amesomea chini ya mwembe ataelewa kitu kweli. Kwa taarifa yako hivyo vifingu ulivyovitaja vingi ni mitego na wengi mmeshanasa kabla hata yakura ya maoni.
Btw matusi hayana nafasi.
Asante umesaidia kujaza server. Tukutane kura za maoni.wewe mtumba na kundi lako hivi kwa nini mnatumia baadhi ya makundi vibaya ..... Bila aibu eti wakulima ambao wamesomea chini ya mwembe???? Nini unakifanya,kwa nini unatafuta weak point ili uonewe huruma? Kwa taarifa yako wakulima wa tanzania wana akili timamu na wanauwezo mkubwa wa kuamua ndio maana magala yetu yamejaa chakula.
Acha dharau wewe na hoja zako za kuunga unga kama umeshindwa kuvielewa hivyo vifungu omba msaada kuliko kuendelea kupoteza muda humu.
Asante umesaidia kujaza server. Tukutane kura za maoni.
Umefulia wewe huna hoja
sasa kuitana mwehu, sijui huna akili vinakujaje hapa.
Hivyo vifungu ulivyoweka vipo kwakiwango ambacho hakijakidhi mahitaji ya mtanzania.masharti ya mgombea binafsi ni magumu ili kukomoana. Madaraka ya rais yameongezwa badala ya kupunguzwa. Tume huru ya uchaguzi hakuna hicho kilichowekwa ni usanii tu ili kuwalaghai wananchi kwa bahati mbaya hata wewe umenaswa kwenye mtego wa ccm. Maadili kilichoandikwa ni mfumo wakubebana hakuna uwajibikaji. Tatizo munasoma hadithi za chenge na sita, ukitaka kuelewa soma katiba ya 1977, rasimu ya ii ya warioba na hiyo ya change utaona hapo katiba hakuna. Lakini pia jaribu kutafuta katiba za marekani, china, india, brazil ufananishe na huo uchafu wenu. Pamoja na hayo mbona unaogopa kuzungumzia muungano?
Tatizo mumechoma dhahabu mpaka imekuwa majivu. BMK imetuletea majivu badala ya dhahabu. Unaikataa marekani lakini kila kitu munafanya kwa hisani ya watu wa marekani. Kwa akili yako katika yoote ya marekani umeona ndoa ya jinsia moja tu, vitu vya maendeleo hujaviona au kwakuwa unapenda hako kamchezo ndo ukaona ujikite kusomea ndoa za aina hiyo.nimeshakuambia wewe ni punguani huwezi kufananisha tanzania na marekani,china,india na brazil wao wana katiba zinazoendana na mazingira yao wewe mbona unajifanya kichaaa!!!
Marekani sheria inaruhusu ndoa za jinsia moja afu unataka iwe case study mbona hujielwi wewe, katiba ya tz ni ya watz na kama wewe sio mtz haikuhusu tuachie wenyewe na mazingira yetu.
Nimalizie dhahabu ili iwe na thamani unayoiona lazimia ipitishwe kwenye moto, rasimu ya warioba ilishapitishwa kwenye moto through bmk tukapata katiba inayopendekezwa hatuna warioba tena hapa na rasimu yake arleady bured long time ago, jifunze kuelewa bhana aaaaaa!!!!
usitupotezee muda wewe sio mtanzania,ungekua usingeropoka maana hujui nchi yetu inakwenda wapi?
wala sikushangai kufanya hivyo maana jina lako linaonyesha wazi umezoea kuishi na manyani udzungwa ha ha ha ndio maana huna tabia za kibinadamu, hna sifa ya kuendelea kudebate humu ndani stay back kakae porini humu utaumia na akili zako za tumbili.
Wapumbavu kama nyie ndio mnachelewesha sana maendeleo ya nchi hii tatazo kubwa la nchi hii sio haki za wasanii na wazee bali ni wizi ,rushwa,na ubadhilifu wa mali ya umma ,vifungu vyote vya kubana mianya hii mwizi chenge akishirikiana na wezi wenzake wa ccm wameviondoa.hizo story zako peleka kwenye vijiwe vya kahawa kwa wapumbavu wenzako
nimeshawaambia nyie mna upungufu wa akili mpelekwe milembemkapewe vitanda ha ha ha ha ha ha check hapa mnaombana msamaha yaani hamjui mnachokifanya mnabaki kugongana humu ndani duuu kweli umakini hamna wee tetty na huyo bure ni magari ya taka ha ha ha ha tokeni zenu na mishuzi yenu ya maharage mnachafua hewa jf.
Wapumbavu kama nyie ndio mnachelewesha sana maendeleo ya nchi hii tatazo kubwa la nchi hii sio haki za wasanii na wazee bali ni wizi ,rushwa,na ubadhilifu wa mali ya umma ,vifungu vyote vya kubana mianya hii mwizi chenge akishirikiana na wezi wenzake wa ccm wameviondoa.hizo story zako peleka kwenye vijiwe vya kahawa kwa wapumbavu wenzako
Hujielewei umelewa viroba weweKaka utaishia kutikanwa matusi machafu.Huu ni UZI WA WANACHAMA WA CCM na wale tu wanaosupport katiba ya Mafisadi.
Hawapendi kuelimishwa ,kuelezwa ukweli na hatakia hata kusikia KURA YA HAPANA.
Hebu tazama comments zako? Sijaona ukijibu hoja yoyote zaidi ya kubeza hoja za wenzio bila kujibu wala kujenga hoja yoyote zaidi ya kuongeza idadi ya posts zajo.
Hata hivyo jihesabu kuwa una bahati sana kwamba nimekunukuu.
Vv
Hujielewei umelewa viroba wewe