Tuacheni uzinifu, madhara yake ni makubwa sana hata ukitoa magonjwa yaliyopo

Tuacheni uzinifu, madhara yake ni makubwa sana hata ukitoa magonjwa yaliyopo

Ila na ww huwa una kauzinzi fln kalikokubuhu, au unajisahaulisha comrade?

Yale majimama yako yape salamu zangu, na yule mama mwenye nyumba
Hayo yalikuwa maisha yangu ya nyuma. Sasa wewe broh February 2024 still unachase pussy? Save energy broh.

Ukikaa muda mrefu bila kugonga, akili inakuwa active sana. Mipango inapangika, mwili unakuwa safi na asubuhi unaamka na energy ya kutosha. Sasa wewe Kila wiki unakata viuno, lazima usizi.
 
Hayo yalikuwa maisha yangu ya nyuma. Sasa wewe broh February 2024 still unachase pussy? Save energy broh.

Ukikaa muda mrefu bila kugonga, akili inakuwa active sana. Mipango inapangika, mwili unakuwa safi na asubuhi unaamka na energy ya kutosha. Sasa wewe Kila wiki unakata viuno, lazima usizi.
Hapo kwenye akili kuwa active umedanganya.

Huwa siingii kwenye kikao chochote kizito bila game matata kwanza. Nisipofanya hvo huwa meeting zinaenda hovyo
 
Mimi nakwambia from personal experience, pombe ukiunganisha na uzinzi halafu ukawa na pipeline ya hela ambayo ni ngumu kuisha basi huchomoki kamwe.

nina bonds ambazo hata nisipofanya kazi mwaka mzima nina uhakika wa kula kulala na kuhudumia watu wa muhimu,
'pipeline ya hela ambayo ni ngumu kuisha..'

Mshukuru Mungu...acha uzinzi,na kama ulivyosema madhara yake ni makubwa

Utamaliza bucha zote nyama ni ile ile
 
Hapo kwenye akili kuwa active umedanganya.

Huwa siingii kwenye kikao chochote kizito bila game matata kwanza. Nisipofanya hvo huwa meeting zinaenda hovyo
Labda kwa upande wako, ila kwangu it works. Pengine akili Yako ishaathirika na utegemezi wa sex. Ila try my way na utaona ninachokizungumzia. Sex inachosha sana ubongo kuliko hata inavyochosha mwili.
 
Leo ngoja niweke ushahidi wangu binafsi.

Kuna mahala kwenye mijadala yangu humu niliwahi kusema nina mke mmoja na michepuko watatu ila watu wakapinga. Lakini ukiachana na michepuko hao watatu wapo wengine wasio rasmi ambao kila nikikanyaga mikoa husika nachagua mmoja aje kutoa huduma. Hapo haujapigia wale barmaids ambao nikilewa nikamtamani basi analipiwa counter naondoka nae.

Kuna madhara makubwa sana ya kisaikolojia ninayoyapata. Yaani imefikia hatua kiasi kwamba mwanamke hata awe mzuri vipi, nikishalala nae mara moja tu namuona kama katuni, yaan ghafla namchukia tu, na simtamani tena.

Hali hii imefikia hadi kwa mke wangu alionizalia watoto wanaotambulika ni wanangu. Yaan nikiwa nae sina kabisa hamu nae. Hapa pemyewe weekend inaisha nipo mkoa iliopo familia yangu lakini weekend nzima sikuweza kukaa nyumbani, nina lodge hapa mjini nimejifungia na kitoto toka ijumaa jioni kesho ndo nitamtimua, na hapa nimeshaishiwa hamu nae yaan natamani nimfukuze sasahivi.

Wakuu tupunguzeni uzinzi, una madhara sana kisaikolojia ukiachia kiafya, miaka ya zamani sikua hivi kabisa. Uzinzi ukikutana na hela na pombe ujue umeingia jehanam ya duniani, na kuchomoka sio rahisi.
Usitutishe
 
Labda kwa upande wako, ila kwangu it works. Pengine akili Yako ishaathirika na utegemezi wa sex. Ila try my way na utaona ninachokizungumzia. Sex inachosha sana ubongo kuliko hata inavyochosha mwili.
Hapo tukubaliane tu kutokukubaliana, sababu hata ile morning glory ina fans wengi sababu hio, unatoka mwepesi kinoma kiakili na kimwili.
 
Leo ngoja niweke ushahidi wangu binafsi.

Kuna mahala kwenye mijadala yangu humu niliwahi kusema nina mke mmoja na michepuko watatu ila watu wakapinga. Lakini ukiachana na michepuko hao watatu wapo wengine wasio rasmi ambao kila nikikanyaga mikoa husika nachagua mmoja aje kutoa huduma. Hapo haujapigia wale barmaids ambao nikilewa nikamtamani basi analipiwa counter naondoka nae.

Kuna madhara makubwa sana ya kisaikolojia ninayoyapata. Yaani imefikia hatua kiasi kwamba mwanamke hata awe mzuri vipi, nikishalala nae mara moja tu namuona kama katuni, yaan ghafla namchukia tu, na simtamani tena.

Hali hii imefikia hadi kwa mke wangu alionizalia watoto wanaotambulika ni wanangu. Yaan nikiwa nae sina kabisa hamu nae. Hapa pemyewe weekend inaisha nipo mkoa iliopo familia yangu lakini weekend nzima sikuweza kukaa nyumbani, nina lodge hapa mjini nimejifungia na kitoto toka ijumaa jioni kesho ndo nitamtimua, na hapa nimeshaishiwa hamu nae yaan natamani nimfukuze sasahivi.

Wakuu tupunguzeni uzinzi, una madhara sana kisaikolojia ukiachia kiafya, miaka ya zamani sikua hivi kabisa. Uzinzi ukikutana na hela na pombe ujue umeingia jehanam ya duniani, na kuchomoka sio rahisi.

Uzi bila video ni unafiki
 
Leo ngoja niweke ushahidi wangu binafsi.

Kuna mahala kwenye mijadala yangu humu niliwahi kusema nina mke mmoja na michepuko watatu ila watu wakapinga. Lakini ukiachana na michepuko hao watatu wapo wengine wasio rasmi ambao kila nikikanyaga mikoa husika nachagua mmoja aje kutoa huduma. Hapo haujapigia wale barmaids ambao nikilewa nikamtamani basi analipiwa counter naondoka nae.

Kuna madhara makubwa sana ya kisaikolojia ninayoyapata. Yaani imefikia hatua kiasi kwamba mwanamke hata awe mzuri vipi, nikishalala nae mara moja tu namuona kama katuni, yaan ghafla namchukia tu, na simtamani tena.

Hali hii imefikia hadi kwa mke wangu alionizalia watoto wanaotambulika ni wanangu. Yaan nikiwa nae sina kabisa hamu nae. Hapa pemyewe weekend inaisha nipo mkoa iliopo familia yangu lakini weekend nzima sikuweza kukaa nyumbani, nina lodge hapa mjini nimejifungia na kitoto toka ijumaa jioni kesho ndo nitamtimua, na hapa nimeshaishiwa hamu nae yaan natamani nimfukuze sasahivi.

Wakuu tupunguzeni uzinzi, una madhara sana kisaikolojia ukiachia kiafya, miaka ya zamani sikua hivi kabisa. Uzinzi ukikutana na hela na pombe ujue umeingia jehanam ya duniani, na kuchomoka sio rahisi.
Ukiona umepoteza hamu na mkeo safiri muda mrefu ukirudi utakaa sawa. Hawa viumbe tumepewa tuwachakate haswa
 
hii ndio ile mwenye shibe hamjui mwenye njaa, wewe ushakula umeshika na kukinai unawashauri wasile kisa wewe umakini na kuimbiwa!
nikiwango cha juu kabisa cha ubinafsi.
 
Mie ndio niko hivyoo ndio maana nimeona nipumzishe uzinzi nikiwa na mtu leo tu kesho simtaki forever
 
Hii hali ni kawaida sanaa Kwa mwanaume lijari.

"""imefikia hatua kiasi kwamba mwanamke hata awe mzuri vipi, nikishalala nae mara moja tu namuona kama katuni, yaan ghafla namchukia tu, na simtamani tena.""

Kuna wa aina tatu
Type ya kwanza:- Hata mwanamke awe mzuri akishampitia mara moja tu dah basi Kamkinai.

Type ya pili:- Hata mwanamke awe mzuri vipi akimwaga bao moja tu basi hatamani Tena.

Type ya tatu:- Huyu atamla mwanamke hata mara 2 au 3 au 4 halafu ndio anamkinai.

#YNWA
 
Back
Top Bottom