Tuacheni uzinifu, madhara yake ni makubwa sana hata ukitoa magonjwa yaliyopo

Ila na ww huwa una kauzinzi fln kalikokubuhu, au unajisahaulisha comrade?

Yale majimama yako yape salamu zangu, na yule mama mwenye nyumba
Hayo yalikuwa maisha yangu ya nyuma. Sasa wewe broh February 2024 still unachase pussy? Save energy broh.

Ukikaa muda mrefu bila kugonga, akili inakuwa active sana. Mipango inapangika, mwili unakuwa safi na asubuhi unaamka na energy ya kutosha. Sasa wewe Kila wiki unakata viuno, lazima usizi.
 
Hapo kwenye akili kuwa active umedanganya.

Huwa siingii kwenye kikao chochote kizito bila game matata kwanza. Nisipofanya hvo huwa meeting zinaenda hovyo
 
'pipeline ya hela ambayo ni ngumu kuisha..'

Mshukuru Mungu...acha uzinzi,na kama ulivyosema madhara yake ni makubwa

Utamaliza bucha zote nyama ni ile ile
 
Hapo kwenye akili kuwa active umedanganya.

Huwa siingii kwenye kikao chochote kizito bila game matata kwanza. Nisipofanya hvo huwa meeting zinaenda hovyo
Labda kwa upande wako, ila kwangu it works. Pengine akili Yako ishaathirika na utegemezi wa sex. Ila try my way na utaona ninachokizungumzia. Sex inachosha sana ubongo kuliko hata inavyochosha mwili.
 
Usitutishe
 
Labda kwa upande wako, ila kwangu it works. Pengine akili Yako ishaathirika na utegemezi wa sex. Ila try my way na utaona ninachokizungumzia. Sex inachosha sana ubongo kuliko hata inavyochosha mwili.
Hapo tukubaliane tu kutokukubaliana, sababu hata ile morning glory ina fans wengi sababu hio, unatoka mwepesi kinoma kiakili na kimwili.
 

Uzi bila video ni unafiki
 
Ukiona umepoteza hamu na mkeo safiri muda mrefu ukirudi utakaa sawa. Hawa viumbe tumepewa tuwachakate haswa
 
hii ndio ile mwenye shibe hamjui mwenye njaa, wewe ushakula umeshika na kukinai unawashauri wasile kisa wewe umakini na kuimbiwa!
nikiwango cha juu kabisa cha ubinafsi.
 
Mie ndio niko hivyoo ndio maana nimeona nipumzishe uzinzi nikiwa na mtu leo tu kesho simtaki forever
 
Hii hali ni kawaida sanaa Kwa mwanaume lijari.

"""imefikia hatua kiasi kwamba mwanamke hata awe mzuri vipi, nikishalala nae mara moja tu namuona kama katuni, yaan ghafla namchukia tu, na simtamani tena.""

Kuna wa aina tatu
Type ya kwanza:- Hata mwanamke awe mzuri akishampitia mara moja tu dah basi Kamkinai.

Type ya pili:- Hata mwanamke awe mzuri vipi akimwaga bao moja tu basi hatamani Tena.

Type ya tatu:- Huyu atamla mwanamke hata mara 2 au 3 au 4 halafu ndio anamkinai.

#YNWA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…