Tuambiane kuhusu matumizi ya jana!!

Jana nimeamka zangu asubuhi na mapema nikawahi vingunguti nikachukua nyama kilo zangu tatu tsh 25,500/-

Nikachukua kreti la soda kampuni sbc tsh 12,000/- nikawa nimemaliza kesi hapo home, watu wakala wakashiba.
 
Petrol 60,000 kwaajili ya kutoka na familia

Kuwalipia Watoto michezo na refreshments zao 30,000

Chakula &Vinywaji 62,000

Jumla Kuu 152,000/=


Zamani tulikuwa na msemo wa "Ponda Mali Kufa kwaja"
 
Elfu 20 ilitosha kuenjoy na familia yangu, maana hakuna utofauti wa siku zingine mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…