Tuambiane tu ukweli, wanaume wasiopaka mafuta makalioni kwa hiyo wamepauka au?

Tuambiane tu ukweli, wanaume wasiopaka mafuta makalioni kwa hiyo wamepauka au?

Jana Ulirudi Usiku

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2021
Posts
2,360
Reaction score
2,269
Za jioni kwa mliopo Tanzania, hili suala naomba niliongelee leo,mficha uchi hazai najua sote twafahamu hili. Kumekuwa na machapisho mengi humu yanayoelezea upakaji wa mafuta makalioni kwa wanaume. Nimeona wengi wanasema kupaka mafuta makalioni ni uanamke.

Sasa niulize, nyie wanaume wenzangu msiopaka mafuta makalioni kwamba mmepauka huko nyuma au? Mimi ninachojua usipopaka mafuta hata mapajani tu unapauka,kwa wengine wenye ngozi mbaya wanakuwa wanatoa mpaka unga unga.

Tuelezane tu ukweli,so mmepauka siyo? Na mnawaonyeshaje makalio yenu wake zenu na huo unga unga mweupe[emoji23]? Nauliza tu, niwe mkweli mimi binafsi sipaki mafuta makalioni hata iweje.

Tushauriane wenzetu, coz kuna jamaa ana kisa kuwa anagombana na mke wake kisa kapauka mno makalioni yaani kawa MWEUPEEE akikuna anatoa unga unga sometimes.

Haya team NO KUPAKA MAFUTA MAKALIONI tiririkeni, hivi hamjawa weupe kama sembe kweli?

NB: mficha uchi hazai
 
Za jioni kwa mliopo Tanzania, hili suala naomba niliongelee leo,mficha uchi hazai najua sote twafahamu hili. Kumekuwa na machapisho mengi humu yanayoelezea upakaji wa mafuta makalioni kwa wanaume. Nimeona wengi wanasema kupaka mafuta makalioni ni uanamke.
Mdogo mdogo unasogelea eneo la revealance.

Endelea kupaka mafuta makalioni mkuu. Soon wenye ajira ya kupaka mafuta watakufikia kwa huduma hiyo
 
Mdogo mdogo unasogelea eneo la revealance.

Endelea kupaka mafuta makalioni mkuu. Soon wenye ajira ya kupaka mafuta watakufikia kwa huduma hiyo
So wewe umepauka au? Huoni aibu kuvua nguo kwa mkeo?
 
nadhani nitakuwa na miaka zaidi ya 10 sijawahi kupaka mafuta makalio. huwa napaka tu usoni na mikononi nasema. tumboni na sehemu zingine hata miguuni siwezi kupaka, sembuse makalio? kwanza why? hata wakati wa kungonoka tu mwanamke akinishika makalio mchezo unaweza kuishia hapo.
 
nadhani nitakuwa na miaka zaidi ya 10 sijawahi kupaka mafuta makalio. huwa napaka tu usoni na mikononi nasema. tumboni na sehemu zingine hata miguuni siwezi kupaka, sembuse makalio? kwanza why? hata wakati wa kungonoka tu mwanamke akinishika makalio mchezo unaweza kuishia hapo.
Mapajani unapaka? Nyie ndiyo wenye vumbi jeupe makalioni[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom