Jana Ulirudi Usiku
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 2,360
- 2,269
- Thread starter
-
- #21
Hahahaha eti mapele na ukurutu[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]Na kuwa na ukurutu na mapele makalioni sio uanaume pia!
Mimi mpaka sasa sipo upande wowote, nimeuliza nijue tu ili nichague upande[emoji23]Waambie hao
Hapana mkuu, uchafu/ukurutu/mapele hayana cha jinsia. So we' unatoa unga makalioni au? Hupaki mafuta hata kidogo?[emoji23]Uzi wakipuuzi,dume zima kweli unaleta Uzi kama huu
Wanawake wengine hawapendi yale mapele na maukurutu hususani katika makalio yakoyaani kuna ndoa ina migogoro kisa inshu ya kupaka mafuta makalioni? baasi tunapoelekea ni kubaya
Tunapata shida kuwaangalia mkibong'oka. Ma-unga unga๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃMimi mpaka sasa sipo upande wowote, nimeuliza nijue tu ili nichague upande[emoji23]
Usela mavi tu, usafi hauna cha ke wala me. Wanawake wanavumilia... Ile mipele na miukurutu jitu unalala nalo kitanda kimoja *****[emoji23]. Kuna watu ngozi zao kavu halafu mafuta hawapaki [emoji23][emoji23]Mm sijui kunamtu nilimsikia anasema mwanaume hapaki mafuta makalioni unaanzaje kushika tako[emoji23]
Pia ukitembelewa ghetto na rafikyako mda wa kulala mnaangaliana usoni[emoji23][emoji23] hakuna mtu kumuwekea mgongo mwenzie
[emoji23] ukurutu pia[emoji23][emoji23] ila mimi naamini hao ni walala hoi, sidhani kama me mwenye hela anaweza kuwa na maukurutu na maunga unga.Tunapata shida kuwaangalia mkibong'oka. Ma-unga unga[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Man upHapana mkuu, uchafu/ukurutu/mapele hayana cha jinsia. So we' unatoa unga makalioni au? Hupaki mafuta hata kidogo?[emoji23]
Ipo wazi upo upande gani๐[emoji23] ukurutu pia[emoji23][emoji23] ila mimi naamini hao ni walala hoi, sidhani kama me mwenye hela anaweza kuwa na maukurutu na maunga unga.
NB; sipo upande wowote bado[emoji23]
Hygiene up!Man up
Hakuna uhusiano wa kupaka mwili mafuta na ushogaIpo wazi upo upande gani[emoji2]
Hamna! Kwa nini upake mikononi/miguuni/mgongoni/tumboni, ila makalioni usipake? Why?Kwa hiyo mke wako huwa unamuonesha matako yako ? Uwe una muuliza pia yamekua laini na meroro? Ni mazuri ? Yana meremeta?
Binafsi na tambua hilo. Ila nyie wanaume wa Tz mmeamua kubaki na ukurutuHakuna uhusiano wa kupaka mwili mafuta na ushoga
๐๐๐Usela mavi tu, usafi hauna cha ke wala me. Wanawake wanavumilia... Ile mipele na miukurutu jitu unalala nalo kitanda kimoja *****[emoji23]. Kuna watu ngozi zao kavu halafu mafuta hawapaki [emoji23]
Ukiona mtu mpaka anatembelewa ghetto kwake basi tambua huyo bado siyo mwanaume bali ni mvulana, mwanaume anakuwa na familia yake anayoihudumia, na siyo kulala na mwanaume mwenziwe. Huyo ni mvulana!๐Mm sijui kunamtu nilimsikia anasema mwanaume hapaki mafuta makalioni unaanzaje kushika tako๐
Pia ukitembelewa ghetto na rafikyako mda wa kulala mnaangaliana usoni๐๐ hakuna mtu kumuwekea mgongo mwenzie
Kunawengine ndo wanaanza maisha sidhani km nao sio wanaumeUkiona mtu mpaka anatembelewa ghetto kwake basi tambua huyo bado siyo mwanaume bali ni mvulana, mwanaume anakuwa na familia yake anayoihudumia, na siyo kulala na mwanaume mwenziwe. Huyo ni mvulana!
Mimi sipaki, wewe je?
Huyo ni chakulaMwanaume kuleta uzi wa makalio inafikirisha sana