Tuambiane tu ukweli, wanaume wasiopaka mafuta makalioni kwa hiyo wamepauka au?

MWANAUME KAMILI ANAANZA KUVAA NGUO KWANZA NDO APAKE MAFUTA SEHEMU ZILIZO WAZI
 
[emoji23]Mm sijui kunamtu nilimsikia anasema mwanaume hapaki mafuta makalioni unaanzaje kushika tako[emoji23]

Pia ukitembelewa ghetto na rafikyako mda wa kulala mnaangaliana usoni[emoji23][emoji23] hakuna mtu kumuwekea mgongo mwenzie
[emoji23][emoji23] Hawa wenzentu sijawahi jua kuna siri gani kwenye hayo maeneo yao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…