kayaman
JF-Expert Member
- Aug 3, 2013
- 4,516
- 10,423
Nilipanda kwenye nguzo ya simu Nikaunganisha waya tukawa tunapigisha simu ulaya, matokeo yake siku moja likpita gari ya polisi ikakuta watu wamepanga foleni wakisubiria kupiga simu baadhi walidandiwa wakapelekwa jela akiwemo mjomba wangu aliyekuwa akikusanya hela bimkubwa akaamua kunihamisha shule niende boarding kukimbia kesi maana kuna watu walinitaja kuwa ndio ninaeunganisha waya!