Tuambie kitu cha utundu sana ulichofanya utotoni na hutakisahau maisha yako yote

Tuambie kitu cha utundu sana ulichofanya utotoni na hutakisahau maisha yako yote

Na pia kunyonyoa ndege manyoya akiwa bado mzima! I say, Wasiojulikana wakinigundua nilikuwa nafanya haya wanaweza kuomba waniajiri, ngoja nijifiche!
 
Niliwahi kunusulika kuzini na mbuzi.
Tulianza kwa kumuingizia uzi maalumu ukeni mwake. Uzi wa katani. Baada ya ingizatoa ya muda mrefu mnyama Yule alirainika. Dogo mkuu wa kikosi akafanya yake. Mpambe zamu yangu ilipofika bamia ilikuwa imeshakata umeme.
Muasisi wa ujinga huu utotoni mtaani kwetu ni dogo flani mchungaji aliyetokea vijijini.
Hahahaha!

Mkuu, suala la mbuzi mtu yeyote wa kanda ya ziwa aliyechunga mbuzi asikudanganye kitu, alishakula mbuzi sana tu!🙂🙂🙂🙂
 
Nilikuwa na tabia ya kukaa jirani na karai la kuchomea kukaangia chipsi, jamaa akizubaa tu naingiza mkono kwa karai kuzichomoa zikiwa zinachemka kwenye mafuta na kuzitafuna. Nilikuwa nafanya zoezi hili kwa weledi mkubwa sana sikuwahi kustukiwa na mchoma chipsi huyo.
 
Write your reply...utundu niliufanya ..nilimfunikia kaka angu ungo ikiwa ana kigugumizi...basi aliishia kutoa ulimi nje nusura akufwe ...Mimi nacheka uku najigaragaza mwenzangu anaumia...Mama akaona akawahi kufunua ungo ndio nikaona kaka angu anapumua tena ile haraka haraka...doh!!
 
Siku nilipojaribu kwenda kupokea ekaristi takatifu kanisani tupo kwenye folen katekista alinivuta kama umeme
Juzi hapa kwenye Msiba Wa Mama Sugu kuna dada kaenda kupokea wakati si ata mroma et hile ni mikate yesu alisema tuile
 
Back
Top Bottom