Tuambie msosi unaoukubali sana

[emoji23] [emoji23] [emoji23] Nilivyoona tu comment yako nikakumbuka huo wimbo.

Mwambie kaka yako ana kesi, hivyo aandae kabisa wakili [emoji4]
jaman unaninyanyasia huyu my kaka hadi najisikia vibaya
nilivyoachana nae alikuwa mnene mnene lakini nina wasi wasi now yuko mwembamba
pls usininyanyasie kaka angu

Nleterewa Nganengo njoo huku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…