mkuu naona upo makini sana, jina na misosi wapi na wapi. hahaSasa we jamaa hapa tunaongelea misosi au majina mkuu? Ukitaka ufatifi wa hizo mambo anzisha uzi mwingine tafadhali. We umeulizwa kwa nini unajiita katib mkoa ?
Alaf kati ya watu woooote umeona carbamazepine ndio umuulize...kaa kwa tahadhari. Sifikirii utapenda kuchezea BAN ya mwaka
Kho! Kho! Kho! Uduvi ni nini?[emoji848]Bila mtindi ni ubatili mtupu!
Usijali MOTP mwenyewe
Ni lazima nitoke mkoa hadi mkoa kwa ajili io
Kho! Kho! Kho! Uduvi ni nini?[emoji848]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] nimevikumbuka!Hayo mambo yenu ya pwani wapi na wapi na sie wa mkoani? Uduvi sijui ni vitoto vya sanaki flani sivijui jina...
[emoji23] [emoji23] [emoji23] nimevikumbuka!
Natamani ungejua kilichonifanya nivikumbuke [emoji2] [emoji2] [emoji2]
basi bila shaka watakuwa wamfamasia hawa watuSawasawa mfamasia...humu kuna gentamycine,carbamezapine,chloromphenicol,atropine..wote hawa ushawauliza kwanini walijiita hivyo??
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa unataka kuharibu interview.. au nianze kukuweka cc kama signature yangu?
Chakula kimeshakuwa tayari? Nije na maembe, parachichi au tikiti?
carbamazepine
ulivyoanza hapo juu nikazan n mtu wa juice tu[emoji23][emoji23]Yani zinanishinda kabisa ndo maana napenda konyagi tu
Sasa naharibu vipi tena?
Uje na parachichi
Halaf mi nikiwa nakula vitu navyovipenda naanza kujiambia asa tunakufa ili iweje jamani si tubaki hivi hivi niwe najilia hutu tuchakula,yaan huwa naumiaaKitimoto choma na Robertson baridiii....nahisigi namaliza utamu wa dunia yote!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mchanganyiko wa hiki chakula unaitwaje..maana mleta mada kasema chakula unachokipenda
Zamani niliyapenda ,siku hizi yananiumiza tumbo nishayaachaBila maharage kabisa mama mkwe?
Kumbe kimoja tu mi kati ya hivyo nikila nakuwa safi,mfano leo nimejilia bonge la Tilapia na mchicha basi moyo mwororoMchanganyiko wa hiki chakula unaitwaje..maana mleta mada kasema chakula unachokipenda
Sent using Jamii Forums mobile app
Halaf mi nikiwa nakula vitu navyovipenda naanza kujiambia asa tunakufa ili iweje jamani si tubaki hivi hivi niwe najilia hutu tuchakula,yaan huwa naumiaa
Sent using Jamii Forums mobile app