torvic
JF-Expert Member
- Mar 9, 2016
- 3,978
- 9,841
mkuu naona upo makini sana, jina na misosi wapi na wapi. hahaSasa we jamaa hapa tunaongelea misosi au majina mkuu? Ukitaka ufatifi wa hizo mambo anzisha uzi mwingine tafadhali. We umeulizwa kwa nini unajiita katib mkoa ?
Alaf kati ya watu woooote umeona carbamazepine ndio umuulize...kaa kwa tahadhari. Sifikirii utapenda kuchezea BAN ya mwaka