OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Kweli mkuu, ingekuwa enzi za Kikwete isingekuwa tabu. Hii serikali haiaminiki haipendi watu wafurahi. Sasa hii furaha inayoletwa na Simba Sc jiwe anaweza kuamka vibaya akavuruga kila kitu. Kifupi sio rafiki kwa uwekezajiMchakato wa mabadiliko ndiyo hauko vizuri nadhani anaogopa risk hapo badae
Labda tumpe mi5tena
Najua nikienda kwake hali yangu itakuwa mbaya, kiburi changu coz na yeye akija kwangu hatoki ndio maana hanisumbui.Usijidanganye mkuu, Al Ahl haitishi kivipi,ni hiyo game ya Simba Sc tu. tazama mziki saa 4
Tuweni wavumilivu tu ila hao michezo pesa inabidi warisk watuletee hata key players wa3 kwa gharama yao simba sahivi inawalipa sana wasilete ukabila hapakweli mkuu. ingekuw enzi za Kikwete isingekuwa tabu. Hii serikali haiamini haipendi watu wafurahi.Sasa hii furaha inayoletwa na Simba Sc jiwe anaweza kuamka vibaya akavuruga kila kitu. Kifupi sio rafiki kwa uwekezaji
Hii nayo pointi, jamaa au angalau wawe wanalipa mishahara foreigners kama watano hivi, huo mkataba wao ukiisha Simba wakae nao chini vizuri.Tuweni wavumilivu tu ila hao michezopesa inabidi warisk watuletee hata key players wa3 kwa gharama yao simba sahivi inawalipa sana wasilete ukabila hapa
Kombe hamuwezi kuchukua abadan huko mlipokwenda mmevamia pati za watuHii pointi muhimu, Simba tusiridhike kwa kumuweka mfukoni utopolo, au ku draw na Mazembe kwenye friend match, kuna vigingi huko mbele sio mchezo, kuchukua kombe Klabu Bingwa Afrika inatakiwa kufunga mkanda haswa.
Niliona walimgomea Al Ahly kumuuzia mchezaji wao toka Paraguay, jamaa wana viburi haswa na wanaupiga wakutosha.
Espe, zamalek, mamelod, mazembe wote hawaachi kuomba mizimu yao iwasaidie wasikutane na Ahly. Simba kwa hizo timu za kiarabu tunawapiga bila kizuiziHao Ahly sasa hivi hawanitishi kivile, sasa natamani Simba ije kucheza na hao waarabu wengine.
Unazungumzia kuwapa nafasi makocha wazawa kwa uwezo gani, wazawa wa kwao wanapewa nafasi kwa sababu wana uwezo hiyo ya uzawa ni sifa ya ziadaHana ubali kweli maana makocha wazawa anawalipa vizuri...and the gud thing ana promote makocha wazawa. Huyo kweli ndio leader sio sie ata CHAN tunashindwa wapa wazawa chance.
Mtani umezipata salam za Yondani?Kombe hamuwezi kuchukua abadan huko mlipokwenda mmevamia pati za watu
Mmebadili gia angani baada ya kufungwa na Simba, si ndio klabu no 3 kwa ubora dunianiHao Ahly sasa hivi hawanitishi kivile, sasa natamani Simba ije kucheza na hao waarabu wengine.
Msaada.
Hapo kwenye nafasi ya pili na ya tatu, mbona GD inampa nafasi mazembe kuwa namba 2 alafu cha ajabu kawekwa namba 3!!
Nini shida hapo?
Alafu Simba mna kelele na viburi, mechi ya leo mmecheza hovyo mmeshindwa kumfunga kibonde msomali hampo consistency nyinyi na msipo angalia vita wanawapiga hapa home....espe, zamalek, mamelod, mazembe wote hawaachi kuomba mizimu yao iwasaidie wasikutane na ahly. Simba kwa hizo timu za kiarabu tunawapiga bila kizuizi
Jamaa anawaambia pona yao ni kutotia timu haaa haaMtani umezipata salam za Yondani?
Ee wafanye hivyoHii nayo pointi, jamaa au angalau wawe wanalipa mishahara foreigners kama watano hivi, huo mkataba wao ukiisha Simba wakae nao chini vizuri.
Alafu Simba mna kelele na viburi mechi ya leo mmecheza hovyo mmeshindwa kumfunga kibonde msomali hampo consistency nyinyi na msipo angalia vita wanawapiga hapa hme....
Hatariiiii naona kesho kuna timu itavaa sarejamaa anawaambia pona yao ni kutotia timu haaa haa
Mmeshindwa kumfunga huyo kibonde mechi laini vile,!!? mechi inayokuja mnarudiana nae hapa bongo mkilazimishwa droo tu mmebaki nawaambia