Tuambizane ukweli: kauli ya Nchimbi imebeba hofu kubwa iliyopo CCM kwa sasa

Tuambizane ukweli: kauli ya Nchimbi imebeba hofu kubwa iliyopo CCM kwa sasa

Msanii

Platinum Member
Joined
Jul 4, 2007
Posts
25,252
Reaction score
36,513
Katibu Mkuu wa CCM leo tarehe 13 Septemba 2024 aliitisha kukao cha dharura na waandishi (selected) wa habari kuelezea msimamo wa CCM kuelekea maandamano ya amani ya Wananchi kupitia CHADEMA.

Amekutaka chama cha CHADEMA kusitisha maandamano iliyoyaitisha. Pia ikiwataka vyama vikae mezani kuendeleza mazungumzo ya maridhiano. Pia amesisitiza kuwa vyombo vya haki kutenda haki na kutopendelea upande wowote.

Ninawaomba wanajukwaa tuchambue msimamo wa CCM kwa maeneo haya.
  1. Je ilibidi kitokee kifo cha cha namna ya marehemu Kibao ili CCM ijitokeze kukemea? Tangu miaka 3 nyuma watu wanatekwa huku kila dalili inaonesha vyombo vya dola vinahusika lakini wenye dhamana hawakuchukua hatua
  2. Nape na DC wa Longido wamekiri uhusika wa CCM kunajisi demokrasia na usalama wa taifa kupitia kauli zao. Inakuwaje CCM inawastaafisha bila hatua stahiki kuchukuliwa?
  3. Mazungumzo ya maridhiano baina ya vyama yana nafasi gani kwetu wananchi tusioamini hivyo vyama?
  4. Kwa nini leo Nchimbi anaonesha hofu ya waziwazi na asitoe msimamo wa kuungamkono maandamano ya amani ya kukomesha mauaji yanayosababishwa na polisi, TISS, UVCCM?
  5. Nchimbi hajazungumzia uwajibikaji wa wahusika hususan Masauni, IGP, DGIS na DCI? Najua hawezi kuzungumzia SAMIA MUST GO maana ni mfupa mgumu kwake
  6. Sheria ya TISS iliyorekebishwa Bungeni 2025l4 imechangia pakubwa haya mauaji. Alikwepaje hii kasoro kubwa inayolalamikiwa nchi nzima?
 
Katibu Mkuu wa CCM leo tarehe 13 Agosti 2024 aliitisha kukao cha dharura na waandishi (selected) wa habari kuelezea msimamo wa CCM kuelekea maandamano ya amani ya Wananchi kupitia CHADEMA.

Amekutaka chama cha CHADEMA kusitisha maandamano iliyoyaitisha. Pia ikiwataka vyama vikae mezani kuendeleza mazungumzo ya maridhiano. Pia amesisitiza kuwa vyombo vya haki kutenda haki na kutopendelea upande wowote.

Ninawaomba wanajukwaa tuchambue msimamo wa CCM kwa maeneo haya.
  1. Je ilibidi kitokee kifo cha cha namna ya marehemu Kibao ili CCM ijitokeze kukemea? Tangu miaka 3 nyuma watu wanatekwa huku kila dalili inaonesha vyombo vya dola vinahusika lakini wenye dhamana hawakuchukua hatua
  2. Nape na DC wa Longido wamekiri uhusika wa CCM kunajisi demokrasia na usalama wa taifa kupitia kauli zao. Inakuwaje CCM inawastaafisha bila hatua stahiki kuchukuliwa?
  3. Mazungumzo ya maridhiano baina ya vyama yana nafasi gani kwetu wananchi tusioamini hivyo vyama?
  4. Kwa nini leo Nchimbi anaonesha hofu ya waziwazi na asitoe msimamo wa kuungamkono maandamano ya amani ya kukomesha mauaji yanayosababishwa na polisi, TISS, UVCCM?
  5. Nchimbi hajazungumzia uwajibikaji wa wahusika hususan Madauni, IGP, DGIS na DCI? Najua hawezi kuzungumzia SAMIA MUST GO maana ni mfupa mgumu kwake
  6. Sheria ya TISS iliyorekebishwa Bungeni 2025l4 imechangia pakubwa haya mauaji. Alikwepaje hii kasoro kubwa inayolalamikiwa nchi nzima?
Ni dhahiri wanajitabiria mwisho wa chama Chao kikongwe, kutawala nchi hii😳

Hata hivyo niwakumbushe tuu, hakuna kitu haoa Duniani kilichokuwa na mwanzo kikakosa kuwa na mwisho
 
Katibu Mkuu wa CCM leo tarehe 13 Agosti 2024 aliitisha kukao cha dharura na waandishi (selected) wa habari kuelezea msimamo wa CCM kuelekea maandamano ya amani ya Wananchi kupitia CHADEMA.

Amekutaka chama cha CHADEMA kusitisha maandamano iliyoyaitisha. Pia ikiwataka vyama vikae mezani kuendeleza mazungumzo ya maridhiano. Pia amesisitiza kuwa vyombo vya haki kutenda haki na kutopendelea upande wowote.

Ninawaomba wanajukwaa tuchambue msimamo wa CCM kwa maeneo haya.
  1. Je ilibidi kitokee kifo cha cha namna ya marehemu Kibao ili CCM ijitokeze kukemea? Tangu miaka 3 nyuma watu wanatekwa huku kila dalili inaonesha vyombo vya dola vinahusika lakini wenye dhamana hawakuchukua hatua
  2. Nape na DC wa Longido wamekiri uhusika wa CCM kunajisi demokrasia na usalama wa taifa kupitia kauli zao. Inakuwaje CCM inawastaafisha bila hatua stahiki kuchukuliwa?
  3. Mazungumzo ya maridhiano baina ya vyama yana nafasi gani kwetu wananchi tusioamini hivyo vyama?
  4. Kwa nini leo Nchimbi anaonesha hofu ya waziwazi na asitoe msimamo wa kuungamkono maandamano ya amani ya kukomesha mauaji yanayosababishwa na polisi, TISS, UVCCM?
  5. Nchimbi hajazungumzia uwajibikaji wa wahusika hususan Madauni, IGP, DGIS na DCI? Najua hawezi kuzungumzia SAMIA MUST GO maana ni mfupa mgumu kwake
  6. Sheria ya TISS iliyorekebishwa Bungeni 2025l4 imechangia pakubwa haya mauaji. Alikwepaje hii kasoro kubwa inayolalamikiwa nchi nzima?
Mwezi Agosti??kweli umebobea kwenye usanii
 
Katibu Mkuu wa CCM leo tarehe 13 Septemba 2024 aliitisha kukao cha dharura na waandishi (selected) wa habari kuelezea msimamo wa CCM kuelekea maandamano ya amani ya Wananchi kupitia CHADEMA.

Amekutaka chama cha CHADEMA kusitisha maandamano iliyoyaitisha. Pia ikiwataka vyama vikae mezani kuendeleza mazungumzo ya maridhiano. Pia amesisitiza kuwa vyombo vya haki kutenda haki na kutopendelea upande wowote.

Ninawaomba wanajukwaa tuchambue msimamo wa CCM kwa maeneo haya.
  1. Je ilibidi kitokee kifo cha cha namna ya marehemu Kibao ili CCM ijitokeze kukemea? Tangu miaka 3 nyuma watu wanatekwa huku kila dalili inaonesha vyombo vya dola vinahusika lakini wenye dhamana hawakuchukua hatua
  2. Nape na DC wa Longido wamekiri uhusika wa CCM kunajisi demokrasia na usalama wa taifa kupitia kauli zao. Inakuwaje CCM inawastaafisha bila hatua stahiki kuchukuliwa?
  3. Mazungumzo ya maridhiano baina ya vyama yana nafasi gani kwetu wananchi tusioamini hivyo vyama?
  4. Kwa nini leo Nchimbi anaonesha hofu ya waziwazi na asitoe msimamo wa kuungamkono maandamano ya amani ya kukomesha mauaji yanayosababishwa na polisi, TISS, UVCCM?
  5. Nchimbi hajazungumzia uwajibikaji wa wahusika hususan Madauni, IGP, DGIS na DCI? Najua hawezi kuzungumzia SAMIA MUST GO maana ni mfupa mgumu kwake
  6. Sheria ya TISS iliyorekebishwa Bungeni 2025l4 imechangia pakubwa haya mauaji. Alikwepaje hii kasoro kubwa inayolalamikiwa nchi nzima?
ila na wewe artists bana,

yaani nimesoma mara8 kujaribu kuibaini hiyo hofu ya Nchimbi iko wap sioni,

au bandiko bado linaendelea gentleman?🐒
 
Mwezi Agosti??kweli umebobea kwenye usanii
Nchimbi anajua wananchi ambao hawakuwa wanaamini kuwa ccm ni wanufaika wa haya mauji ya vyombo vya dola dhidi ya wapinzani sasa wameujua ukweli wote. Hakuna uwezekano wa wao kuendelea kufaidika na unyama huo dhidi ya wananchi. Sheria ya usalama wa taifa ilikuja kuhalalisha mauji ya wapinzani ambayo yalifanyika sana wakati wa dhalimu Magufuli. Maandamani ya cdm lazima yafanyike bila kuogopa, wamaasai wameweza, kwanini cdm washindwe?
 
Katibu Mkuu wa CCM leo tarehe 13 Agosti 2024 aliitisha kukao cha dharura na waandishi (selected) wa habari kuelezea msimamo wa CCM kuelekea maandamano ya amani ya Wananchi kupitia CHADEMA.

Amekutaka chama cha CHADEMA kusitisha maandamano iliyoyaitisha. Pia ikiwataka vyama vikae mezani kuendeleza mazungumzo ya maridhiano. Pia amesisitiza kuwa vyombo vya haki kutenda haki na kutopendelea upande wowote.

Ninawaomba wanajukwaa tuchambue msimamo wa CCM kwa maeneo haya.
  1. Je ilibidi kitokee kifo cha cha namna ya marehemu Kibao ili CCM ijitokeze kukemea? Tangu miaka 3 nyuma watu wanatekwa huku kila dalili inaonesha vyombo vya dola vinahusika lakini wenye dhamana hawakuchukua hatua
  2. Nape na DC wa Longido wamekiri uhusika wa CCM kunajisi demokrasia na usalama wa taifa kupitia kauli zao. Inakuwaje CCM inawastaafisha bila hatua stahiki kuchukuliwa?
  3. Mazungumzo ya maridhiano baina ya vyama yana nafasi gani kwetu wananchi tusioamini hivyo vyama?
  4. Kwa nini leo Nchimbi anaonesha hofu ya waziwazi na asitoe msimamo wa kuungamkono maandamano ya amani ya kukomesha mauaji yanayosababishwa na polisi, TISS, UVCCM?
  5. Nchimbi hajazungumzia uwajibikaji wa wahusika hususan Madauni, IGP, DGIS na DCI? Najua hawezi kuzungumzia SAMIA MUST GO maana ni mfupa mgumu kwake
  6. Sheria ya TISS iliyorekebishwa Bungeni 2025l4 imechangia pakubwa haya mauaji. Alikwepaje hii kasoro kubwa inayolalamikiwa nchi nzima?
Yaani Katibu Mkuu wa CCM kazungumza logic na umuhimu wa kusimama kama Watanzania bado unakuja na suala la hofu! Hofu ya nini sasa? CCM au nani amwogope nani ktk nchi hii Chadema au ACT? Upuuzi mtupu!

Wewe Dk. Nchimbi kakazia agizo la Mhe. Rais na Amiri Jeshi Mkuu kuomba uchunguzi ufanyike haraka, kazungumza asivyotaka kuamini Mbowe au Mnyika wanahusika na tuache uchunguzi; kazungumzia uchunguzi ufanyike kwa gharama zozote bado unakuja na nadharia ya hofu. Hebu tuache hii tabia inakera sana.🙏🙏🙏
 
ila na wewe artists bana,

yaani nimesoma mara8 kujaribu kuibaini hiyo hofu ya Nchimbi iko wap sioni,

au bandiko bado linaendelea gentleman?🐒
Jifariji mkuu
Nyakati ngumu zipo mlangoni kama mzigo wa hasubuhi.

Amani iwe kwako
 
Nchimbi anajua wananchi ambao hawakuwa wanaamini kuwa ccm ni wanufaika wa haya mauji ya vyombo vya dola dhidi ya wapinzani sasa wameujua ukweli wote. Hakuna uwezekano wa wao kuendelea kufaidika na unyama huo dhidi ya wananchi. Sheria ya usalama wa taifa ilikuja kuhalalisha mauji ya wapinzani ambayo yalifanyika sana wakati wa dhalimu Magufuli. Maandamani ya cdm lazima yafanyike bila kuogopa, wamaasai wameweza, kwanini cdm washindwe?
Nyakati ngumu kwa CCM zinakuja

Watatuua wengi sana lakini ndo wataongeza mkwamo
 
Jifariji mkuu
Nyakati ngumu zipo mlangoni kama mzigo wa hasubuhi.

Amani iwe kwako
Amani iwe na kwako pia,

ila mie siwez kua mtu wa imani potofu wa kujifarijia kwamba ati kuna nyakati ngumu mahali gentleman? 🤣

hivi ukiniangalia mim na waTanzania wengine wa kutishika kweli na siasa rahisi namna hii ya Tanzania na nyepesi sana kama za mbowe mtoto wa mjini?🤣
 
Yaani Katibu Mkuu wa CCM kazungumza logic na umuhimu wa kusimama kama Watanzania bado unakuja na suala la hofu! Hofu ya nini sasa? CCM au nani amwogope nani ktk nchi hii Chadema au ACT? Upuuzi mtupu!

Wewe Dk. Nchimbi kakazia agizo la Mhe. Rais na Amiri Jeshi Mkuu kuomba uchunguzi ufanyike haraka, kazungumza asivyotaka kuamini Mbowe au Mnyika wanahusika na tuache uchunguzi; kazungumzia uchunguzi ufanyike kwa gharama zozote bado unakuja na nadharia ya hofu. Hebu tuache hii tabia inakera sana.🙏🙏🙏
Huna lolote shabiki wa mauaji haya yanayoratibiwa na CCM

Kwa taarifa yako kama hujui. Leo Nchimbi anajitokeza hadharani lakini baada ya tamko la CHADEMA kutolewa, CCM Dar imeshaitisha VIKOSI KAZI kutoka kila Tawi ili kuwaandaa kuwakabili wananchi watakaojitokeza na pia kufanya vurugu kwa raia katikati ya maandamano ili ionekane CHADEMA wanaleta vurugu
 
Katibu Mkuu wa CCM leo tarehe 13 Septemba 2024 aliitisha kukao cha dharura na waandishi (selected) wa habari kuelezea msimamo wa CCM kuelekea maandamano ya amani ya Wananchi kupitia CHADEMA.

Amekutaka chama cha CHADEMA kusitisha maandamano iliyoyaitisha. Pia ikiwataka vyama vikae mezani kuendeleza mazungumzo ya maridhiano. Pia amesisitiza kuwa vyombo vya haki kutenda haki na kutopendelea upande wowote.

Ninawaomba wanajukwaa tuchambue msimamo wa CCM kwa maeneo haya.
  1. Je ilibidi kitokee kifo cha cha namna ya marehemu Kibao ili CCM ijitokeze kukemea? Tangu miaka 3 nyuma watu wanatekwa huku kila dalili inaonesha vyombo vya dola vinahusika lakini wenye dhamana hawakuchukua hatua
  2. Nape na DC wa Longido wamekiri uhusika wa CCM kunajisi demokrasia na usalama wa taifa kupitia kauli zao. Inakuwaje CCM inawastaafisha bila hatua stahiki kuchukuliwa?
  3. Mazungumzo ya maridhiano baina ya vyama yana nafasi gani kwetu wananchi tusioamini hivyo vyama?
  4. Kwa nini leo Nchimbi anaonesha hofu ya waziwazi na asitoe msimamo wa kuungamkono maandamano ya amani ya kukomesha mauaji yanayosababishwa na polisi, TISS, UVCCM?
  5. Nchimbi hajazungumzia uwajibikaji wa wahusika hususan Madauni, IGP, DGIS na DCI? Najua hawezi kuzungumzia SAMIA MUST GO maana ni mfupa mgumu kwake
  6. Sheria ya TISS iliyorekebishwa Bungeni 2025l4 imechangia pakubwa haya mauaji. Alikwepaje hii kasoro kubwa inayolalamikiwa nchi nzima?
Watu wenye akili timamu lazima washtuke.

Machafuko yanapotokea ni hasara kwa Watanzania wote tena wale wanaokula kwa urefu wa ndefu kamba ndio huyachukia kabisa machafuko mana hawatakula bata kwa uhuru tofauti na maskini ambaye hana cha kupoteza, hivyo ni lazima ifikie muda wajitahidi kuimba mapambio ya amani!
 
Katibu Mkuu wa CCM leo tarehe 13 Septemba 2024 aliitisha kukao cha dharura na waandishi (selected) wa habari kuelezea msimamo wa CCM kuelekea maandamano ya amani ya Wananchi kupitia CHADEMA.

Amekutaka chama cha CHADEMA kusitisha maandamano iliyoyaitisha. Pia ikiwataka vyama vikae mezani kuendeleza mazungumzo ya maridhiano. Pia amesisitiza kuwa vyombo vya haki kutenda haki na kutopendelea upande wowote.

Ninawaomba wanajukwaa tuchambue msimamo wa CCM kwa maeneo haya.
  1. Je ilibidi kitokee kifo cha cha namna ya marehemu Kibao ili CCM ijitokeze kukemea? Tangu miaka 3 nyuma watu wanatekwa huku kila dalili inaonesha vyombo vya dola vinahusika lakini wenye dhamana hawakuchukua hatua
  2. Nape na DC wa Longido wamekiri uhusika wa CCM kunajisi demokrasia na usalama wa taifa kupitia kauli zao. Inakuwaje CCM inawastaafisha bila hatua stahiki kuchukuliwa?
  3. Mazungumzo ya maridhiano baina ya vyama yana nafasi gani kwetu wananchi tusioamini hivyo vyama?
  4. Kwa nini leo Nchimbi anaonesha hofu ya waziwazi na asitoe msimamo wa kuungamkono maandamano ya amani ya kukomesha mauaji yanayosababishwa na polisi, TISS, UVCCM?
  5. Nchimbi hajazungumzia uwajibikaji wa wahusika hususan Madauni, IGP, DGIS na DCI? Najua hawezi kuzungumzia SAMIA MUST GO maana ni mfupa mgumu kwake
  6. Sheria ya TISS iliyorekebishwa Bungeni 2025l4 imechangia pakubwa haya mauaji. Alikwepaje hii kasoro kubwa inayolalamikiwa nchi nzima?
Mbowe anapenda sana huu ujinga wa kuona nchi inakuwa kwenye taharuki. Mfumo upo kazini na upo vizuri kuweza kushughulika na vurugu zozote iwapo zitajitokeza.
 
Embu kwanza rekebisha kwanza makosa ya kiuandishi yaliyomo kwenye andiko lako halafu ndio nirejee kushusha NONDO nzito zitakazokububujisha machozi ya furaha na kuanza kutafuta ofisi za CCM ziliko ili Uombe kadi na kujiunga na CCM.
 
walichokifanya ni kwmba kuwapa kama hofu fulani hivi jwtz kwamba ata kama wewe ni mstaafu

bado upo chini yetu tunaweza kukufanya lolote so hii hali inaweza zua taharuki kubwa sana pia hasa kwa jeshi la jwtz


ni maono tu
 
Back
Top Bottom