Baba Wille
JF-Expert Member
- Feb 9, 2014
- 548
- 551
Nje yatopic:
Ni kweli kuna baadhi ya akina baba, hawafai kusifiwa. Ila nnafadhaika sana kwa nini kila mtu tena wasanii wa kiume wanawasifia akina mama tuu? All these sacrifices we men make and work our ass really hard, kutokea kutongoza, kuhonga, kulipia mahari nk, kutunza mimba na kuhangaika hadi mtu anazaliwa na kumtunza mama na mtoto kwa jasho na damu, lakini inaonekana wamama ndo wanafanya kazi kwakweli inatu-discourage.. ndio maana mda mwingine unaweza kuwaza kupitia bar kupunguza mawazo na pombe na nyama choma wakati nyumbai wanakula mboga coz hata kmukipeleka nyama nyumbani bado itaonekana anayepika ndo bora kuliko niliyepeleka. This is the https://jamii.app/JFUserGuide that make we men think we are not appreciated by anyone.
Ni kweli kuna baadhi ya akina baba, hawafai kusifiwa. Ila nnafadhaika sana kwa nini kila mtu tena wasanii wa kiume wanawasifia akina mama tuu? All these sacrifices we men make and work our ass really hard, kutokea kutongoza, kuhonga, kulipia mahari nk, kutunza mimba na kuhangaika hadi mtu anazaliwa na kumtunza mama na mtoto kwa jasho na damu, lakini inaonekana wamama ndo wanafanya kazi kwakweli inatu-discourage.. ndio maana mda mwingine unaweza kuwaza kupitia bar kupunguza mawazo na pombe na nyama choma wakati nyumbai wanakula mboga coz hata kmukipeleka nyama nyumbani bado itaonekana anayepika ndo bora kuliko niliyepeleka. This is the https://jamii.app/JFUserGuide that make we men think we are not appreciated by anyone.