Tuamke, tuwaamshe mizimu wetu, katika nyakati za hatari watusaidie

ujudaisimu, ukiristo na uislamu, vipande vitatu tu,viko vingine vinne kabla ya kufika dini ya kweli, kufikia uungu Yani Saba
 
Endelea
 
ha hahaha
 
mtihani sana madame "" yaani kuna watu akili zao zimejaa boriti "" zinazo sababisha washindwe hata kufikiria kwakina nakuutambua ukweli "" kuwa wanatumika ndivyo sivyo ""
 
haha haha safi sana
 
Walimuondoa kwa kuwa SHE WAS THE POWERFUL ONE!
Ndiyo Maana Roman Catholic wamebaki naye kwa jina la MARIA pamoja na Hinduism LAKSHMI
 
Yaaani wewe ni kama mie Madame " huwa nikiwatizama "" watu wanaonizunguka na imani zao roho huwa inaniuma sana " ila mimi huwa nashindwaga kuwavumilia na waambiaga ukweli "" ajabu huwa wananihesabu kuwa nimepotea "" na kunitupia maneno kibao ya vitisho kuhusu imani ya dini zao " nilichotka wajue wazi kabisaaa kwamba mimi sio mwenzao "" sipo ndani ya karavati la ujinga wao
 
Iyo swafiiii sana
 
Enenda zako Shetani wewe! maana imeandikwa alaaniwe awalaaniye wana wa Israeli. Tena BWANA MUNGU na akukemee Shetani wewe, BWANA aliyeichagua Jerusalemu kuwa mji wa Mfalme MKUU na akukemee!
ddduuhh wewe Jamaa kweli ni msukule " Israel inakuhusu nini sasa "" wewe "!? mbona haurefushi upeo wako vyema iliupate kutambua kuwa umepigwa brain wash "...
 
Walimuondoa kwa kuwa SHE WAS THE POWERFUL ONE!
Ndiyo Maana Roman Catholic wamebaki naye kwa jina la MARIA pamoja na Hinduism LAKSHMI
How she was powerful, give us a clear history, what da hell is going on?? wht are hidding.
 
daaah mbona sizioni tena comments zilizo tangulia ..nilikuwa nafuatilia mjadala nimeishia page ya 5 tu ..."" eti mkuu tatizo nini "". !? Moderator
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…