Ncha ya Mkukina
JF-Expert Member
- Dec 17, 2017
- 561
- 694
ujudaisimu, ukiristo na uislamu, vipande vitatu tu,viko vingine vinne kabla ya kufika dini ya kweli, kufikia uungu Yani Saba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
EndeleaNgoja nikupe simulizi refu la mfano labda utaelewa kupitia hilo kuona kile mnacho maanisha......
Ni sawa na watu ambao wapo safarini lakini kwa bahati Mbaya
Basi walilotumia kusafiria likapata hitilafu katikati ya Mbuga na ni Usiku
Hofu ikatanda kati yao_na wenye hekima kati yao wakatoa ushauri kwa watu wote kutojaribu kutoka nje maana ni usiku
Kwa kuhofia ugumu wa kutoa msaada kwa mtu anayeweza kudhurika na hayawani mwitu hata na watu wabaya kama majangiri.
Halafu wakiwa katikati ya usiku wanaona kama kuna ishara ya taa za gari zikimulika karibu yao.
Wanajawa na shauku.........!!??
Kukawa na mpasuko kati yao wengine wakidhani yawezekana ikawa ni gari inayoweza wapatia msaada..!
Na wengine wakihofu kuwa yawezekana ikawa ni Gari ya watu wabaya..! wenye nia mbaya nao
Lakini wakiwa katikati ya maulizo hayo.! Wanaona kuna baadhi ya watu wakiwakabili wakitokea upande ule ambao walihisi uwepo wa Gari.
Baadhi wakapatwa na hofu kulingana na shuku yao kuhusu watu wabaya na kuanza kijihami
Na wengine wakawa wakiwatuliza wenzao kulingana na muelekeo wao wa kuhisi kuwa yawezekana ni watu wa msaada..
wakasemezana;
"Ngoja na watukaribie na tutajua kama kweli ni watu wenye nia njema nasi ama La"
Lakini wakiwa katikati ya hali hiyo baadhi wakahoji kwamba
"Tuliona kama ishara ya gari..! Lakini mbona hawa wanakuja kwa miguu.!? Kweli wanaweza wakawa ni watu wa msaada".!?
Wakaendelea wakisema "hakikisheni milango ya gari imefungwa barabara na madirisha ya gari pia, na Taa na zizimwe wasije wakatuhesabu na wakatukabili kirahisi..Na kama wakihitaji kuwasiliana nasi tutatumia Upenyo wa dirishani na watakao semezana nao ni wanaume Tu".
Wale watu_kweli wakakaribia lile Gari na kutoa salamu kwa uchangamfu Tu 'za saa izi ndugu wajameni'....watu kimya.
"Hivi ni kweli hamuitaji Msaada.!? Mbona twawasalimu lakini Hamjibu Mna tatizo Gani.!?
Wakaendelea
"Kama manahitaji msaada basi na shukeni Garini Mwenu na Tuongozane Twende Tukapande gari yetu ya Uhakika na imara na Tunawahakikishia mtafika kwa wakati.. kuliko kukaa hapa usiku kucha bila msaada na hatari hizi".
Hapo Mmoja wa kwenye gari akashindwa kujizuia_akahoji. "ikiwa kweli mnataka kutupatia msaada kwanini msingeileta gari yenu karibu nasi ili tuwe na uhakika wa mnayoyasema"..!?
Ngoja niishie hapa usije ukachoka kuisoma na kuimalizia..ila ukitaka niendelee nitaendelea
Mmmmmhh " Fatima ya kweli haya ..."" hebu acha masihara basiiii""...January 27, 1984: Michael Jackson's hair catches fire during Pepsi commercial
hakupona ajali ya moto, alikufa....ndio feki alipoingia
hatari mnooo huyu Dada ...amenifnya nimkumbuke "" umkontho we sizwe "..Fatima binti hemedi is big brain!![emoji28][emoji28][emoji28]
ha hahahaKweli Iko complicated, hasa pale siasa , dini , ubaguzi wa rangi ya ngozi, na uchumi, vinapokinzana, yahitaji jitihada binafsi, na mbinu mbadala kuupata,ndio sababu, Kuna relative, neutral na concrete Ama absolute truth
mbona kisa kizima cha Yesu masia ni hadithi ya kufikirika, lakini haipingiki??
mtihani sana madame "" yaani kuna watu akili zao zimejaa boriti "" zinazo sababisha washindwe hata kufikiria kwakina nakuutambua ukweli "" kuwa wanatumika ndivyo sivyo ""But hii ndio vita ya myahudi, iko kwenye akili, tumepoteza ndugu wengi kwenye mafundisho ya wayahudi, watu hawajipendi tena, hawapendi vya kwao, hawapendani tena wao kwa wao....na shetani ndio amekuwa kiumbe cheusi,Mungu mzungu☺☺☺☺☺☺☺
haha haha safi sanaNa ninakuhakikishia we son of gamba na wenzio wakiristo na waisilamu ni Msukule tu katika gereza la wayahudi...huijui biblia, Wala Yesu, wala shetani, na tuko hapa tutakufunza, ujitambue, uanze upya kujipenda nafsi yako, na vyote vya kwako, hivyo hivyo nchi na bara lako, na ukome kuwatukana muzimu, mababu na wahenga wako
Walimuondoa kwa kuwa SHE WAS THE POWERFUL ONE!idea ya trinity waliiba hapa(isis,osiris and horus) wakaita god father,god son and holy ghost(hapa wakamuondoa goddess isis sababu ya mfumo wao dume)
mkuu pitia the egyptian book of coming forth by day and night(them crackers mis-called it the egyptian book of the dead)
hapa serious copy and paste ya biblia na quran ilipofanyika
supposedly moses alipoiba anazoita amri kumi za mungu na kuacha nyingine 32
- Osiris did the same things. He was born of a virgin, was considered the first true king of the people, and when he died he rose from the grave and went to heaven.
- Osiris's son, Horus, was known as the "light of the world", "The good shepherd", and "the lamb". He was also referred to as, "The way, the truth, and the life." His symbol was a cross.
Yaaani wewe ni kama mie Madame " huwa nikiwatizama "" watu wanaonizunguka na imani zao roho huwa inaniuma sana " ila mimi huwa nashindwaga kuwavumilia na waambiaga ukweli "" ajabu huwa wananihesabu kuwa nimepotea "" na kunitupia maneno kibao ya vitisho kuhusu imani ya dini zao " nilichotka wajue wazi kabisaaa kwamba mimi sio mwenzao "" sipo ndani ya karavati la ujinga waoHivi vitu ni inside out!
Ni nafsi ya mtu ndiyo inayo amka na kutambua vitu kwa uhalisia wake, ni awakening state, watu wengi walio nizunguka, marafiki na ndugu hawa elewi, nami huwa nawaacha mpaka hapo watakapo amka maana imani sio kitu cha mchezo, watu wako tayari kufa ili kulinda imani yao!
Trust me iko siku sio mbali watasoma huu uzi na kuku elewa mwanana, kama vile mimi ninavyo kuelewa!
Yaani "" misukule IPO mingi mnooo kwakweli "..Yani Mimi Mtu akisha sema yesu tu nampa Zero. Zinduka mua Africa mwenzangu.
Yaani "" misukule IPO mingi mnooo kwakweli "..Yani Mimi Mtu akisha sema yesu tu nampa Zero. Zinduka mua Africa mwenzangu.
Iyo swafiiii sanaYaaani wewe ni kama mie Madame " huwa nikiwatizama "" watu wanaonizunguka na imani zao roho huwa inaniuma sana " ila mimi huwa nashindwaga kuwavumilia na waambiaga ukweli "" ajabu huwa wananihesabu kuwa nimepotea "" na kunitupia maneno kibao ya vitisho kuhusu imani ya dini zao " nilichotka wajue wazi kabisaaa kwamba mimi sio mwenzao "" sipo ndani ya karavati la ujinga wao
Ha ha haha hahaSafi sana. Mungu gani anao waambia watupigie makelele usiku Wa manane watu tume lala. Eti yesu nibebe yesu wangu ni bebe
ddduuhh wewe Jamaa kweli ni msukule " Israel inakuhusu nini sasa "" wewe "!? mbona haurefushi upeo wako vyema iliupate kutambua kuwa umepigwa brain wash "...Enenda zako Shetani wewe! maana imeandikwa alaaniwe awalaaniye wana wa Israeli. Tena BWANA MUNGU na akukemee Shetani wewe, BWANA aliyeichagua Jerusalemu kuwa mji wa Mfalme MKUU na akukemee!
How she was powerful, give us a clear history, what da hell is going on?? wht are hidding.Walimuondoa kwa kuwa SHE WAS THE POWERFUL ONE!
Ndiyo Maana Roman Catholic wamebaki naye kwa jina la MARIA pamoja na Hinduism LAKSHMI
Nasubiria mkuu.nyama tele, mpaka uchoke