Tuamke, tuwaamshe mizimu wetu, katika nyakati za hatari watusaidie

Katika hadithi yako, sioni chochote kihusianacho na mada yetu
 
Michael Jackson aliuliwa, mbona inajulikana, huna macho????
mkuu nafahamu hzo tetesi "" kuwa aliuliwa "" lakini sifahamu kwamba aliuliwa kwenye ile ajali aliyoipataga " akiwa stejini baada ya kuangukiwa na Bango LA Pepsi lililolipuka "".... " means yule MJ aliyekufa 2009 siye halisi "" !? hapo ndio Nipo njia panda bado
 
Filamu Za ngono ukiziangalia kama mtafiti utajifunza mengi mno,kwa mfano narejea promotion ya vitendo vya usagaji na usenge, pia sasa kunaongezeka watoto wa kiume, wanaozaliwa na maumbile ya kike,na wakike wenye maumbile ya kiume, ndugu hii siyo bahati mbaya, Wala mapenzi ya mungu, bali mapenzi ya makusudi ya wanadamu
 
Ndio hivyo, MJ alikufa 1984
Yule feki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…