Tuamke, tuwaamshe mizimu wetu, katika nyakati za hatari watusaidie

Kweli kabisa Wa Africa ndiyo wana Wa mungu mashetane ndiyo wazungu. Walio kudanganya. Ushenzi wote upo kwao fikiria kwa makini rafiki yangu. Sisi Wa Africa ndiyo wana Wa Israel.
 
Kweli kabisa Wa Africa ndiyo wana Wa mungu mashetane ndiyo wazungu. Walio kudanganya. Ushenzi wote upo kwao fikiria kwa makini rafiki yangu. Sisi Wa Africa ndiyo wana Wa Israel.
Haswa, na mafundisho yetu wakaiba na kuyapotosha
 
Well said
 
Enenda zako Shetani wewe! maana imeandikwa alaaniwe awalaaniye wana wa Israeli. Tena BWANA MUNGU na akukemee Shetani wewe, BWANA aliyeichagua Jerusalemu kuwa mji wa Mfalme MKUU na akukemee!
Mkuu umesema imeandikwa ,je imeandikwa na nani wewe ni nani mpka umuhukumu mwenzako na kumuita shetani ,yaani kwa sababu ya mitazamo tofauti tu ,nachelea kusema unaamini usichokijua
 
Mkuu umesema imeandikwa ,je imeandikwa na nani wewe ni nani mpka umuhukumu mwenzako na kumuita shetani ,yaani kwa sababu ya mitazamo tofauti tu ,nachelea kusema unaamini usichokijua
Tuta waamsha hadi wata hamka ndugu zetu. Wa Africa wana Wa mungu.
 
Eti eden ilikuwa Asia na majangwa yote Yale ukame ulio pindukia. Eden ilikuwa Africa bwana
 
Kuna mtu/mzee alishawahi niambia kuwa hizi dini mbili zina siri nzito ambazo viongozi wakuu wa hizo dini hawataki kabisa wafuasi wao waujue ukweli uliofichika... Pia ni kwamba endapo ukweli uliofichika ukiwekwa wazi basi hakuna kiongozi wa dini anayeweza kupona mbele ya wafuasi...

Na kwamba jopo la watu(viongozi wa kiislamu na kikristo) lilikaa meza moja, na kuchambua vitabu vyao kisha mengine kuyaficha...

Pia lengo lingine likiwa ni kutengeneza pesa kutokana na imani zao...
 
Point kuntu hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…