Tuamke, tuwaamshe mizimu wetu, katika nyakati za hatari watusaidie

Tuamke, tuwaamshe mizimu wetu, katika nyakati za hatari watusaidie

Mkuu kupitia Israeli, mataifa yote yameokolewa kutoka kwenye dhambi ya mauti. BWANA MUNGU alimleta MESSIAH duniani kupitia kwa Wayahudi ambao ni wana wa Israeli na kila aaminiye anapata WOKOVU. Huo ndiyo UKWELI na hakuna ukweli mwingine wowote ule zaidi ya huo.

Yeyote anayewachukia Wayahudi ni Shetani, sababu shetani mwenyewe anajua wazi kwamba MUNGU amewatumia Wayahudi kuwaokoa Wanadamu kupitia kwa YESU KRISTO ambaye alizaliwa kama Myahudi. Kwa kuwa Shetani alishindwa kufanya vita na YESU KRISTO, sasa anafanya vita na Wayahudi na wale wote wanaoupokea WOKOVU kutoka kwa YESU KRISTO.

Mwenye masikio na asikie!
Kweli kabisa Wa Africa ndiyo wana Wa mungu mashetane ndiyo wazungu. Walio kudanganya. Ushenzi wote upo kwao fikiria kwa makini rafiki yangu. Sisi Wa Africa ndiyo wana Wa Israel.
 
Kweli kabisa Wa Africa ndiyo wana Wa mungu mashetane ndiyo wazungu. Walio kudanganya. Ushenzi wote upo kwao fikiria kwa makini rafiki yangu. Sisi Wa Africa ndiyo wana Wa Israel.
Haswa, na mafundisho yetu wakaiba na kuyapotosha
 
Na ninakuhakikishia we son of gamba na wenzio wakiristo na waisilamu ni Msukule tu katika gereza la wayahudi...huijui biblia, Wala Yesu, wala shetani, na tuko hapa tutakufunza, ujitambue, uanze upya kujipenda nafsi yako, na vyote vya kwako, hivyo hivyo nchi na bara lako, na ukome kuwatukana muzimu, mababu na wahenga wako
Well said
 
Enenda zako Shetani wewe! maana imeandikwa alaaniwe awalaaniye wana wa Israeli. Tena BWANA MUNGU na akukemee Shetani wewe, BWANA aliyeichagua Jerusalemu kuwa mji wa Mfalme MKUU na akukemee!
Mkuu umesema imeandikwa ,je imeandikwa na nani wewe ni nani mpka umuhukumu mwenzako na kumuita shetani ,yaani kwa sababu ya mitazamo tofauti tu ,nachelea kusema unaamini usichokijua
 
Sisi Wa Africa ndiyo tulio tengeneza hii na paka Leo mizimu yetu IPO humo.
1531422229532.jpg
 
Mkuu umesema imeandikwa ,je imeandikwa na nani wewe ni nani mpka umuhukumu mwenzako na kumuita shetani ,yaani kwa sababu ya mitazamo tofauti tu ,nachelea kusema unaamini usichokijua
Tuta waamsha hadi wata hamka ndugu zetu. Wa Africa wana Wa mungu.
 
Eti eden ilikuwa Asia na majangwa yote Yale ukame ulio pindukia. Eden ilikuwa Africa bwana
 
Sometimes hua naangalia hii system ya maisha tunayoishi wanadamu. Naona kuna kitu hakiendi sawa kabisa. Naamini katika Mungu na Yesu kristo lakini naona HUU MUUNDO WA MAISHA TUNAYOISHI WANADAMU WOTE TOKA KUZALIWA HADI KUFA ndio tunatakiwa tuishi hivi? Nadhani kunawatu walikaa chini wakaunda mfumo wotee huu tunaoishi leo kwa manufaa yao binafsi na Sio mpango wa Mungu. Nikifikiria hayo nakua desperated sana sana nawaza kuhusu ulimwengu unavyoendeshwa kwa siri huku adui mkubwa akiwa Black Man. Nabakia tu kumshukuru Mungu kwa kunileta duniani nione Ukuu wake. But real am so Sad kwa yanayoendelea nyuma ya Pazia.
Kuna mtu/mzee alishawahi niambia kuwa hizi dini mbili zina siri nzito ambazo viongozi wakuu wa hizo dini hawataki kabisa wafuasi wao waujue ukweli uliofichika... Pia ni kwamba endapo ukweli uliofichika ukiwekwa wazi basi hakuna kiongozi wa dini anayeweza kupona mbele ya wafuasi...

Na kwamba jopo la watu(viongozi wa kiislamu na kikristo) lilikaa meza moja, na kuchambua vitabu vyao kisha mengine kuyaficha...

Pia lengo lingine likiwa ni kutengeneza pesa kutokana na imani zao...
 
idea ya trinity waliiba hapa(isis,osiris and horus) wakaita god father,god son and holy ghost(hapa wakamuondoa goddess isis sababu ya mfumo wao dume)
mkuu pitia the egyptian book of coming forth by day and night(them crackers mis-called it the egyptian book of the dead)
hapa serious copy and paste ya biblia na quran ilipofanyika
supposedly moses alipoiba anazoita amri kumi za mungu na kuacha nyingine 32

  1. Osiris did the same things. He was born of a virgin, was considered the first true king of the people, and when he died he rose from the grave and went to heaven.
  2. Osiris's son, Horus, was known as the "light of the world", "The good shepherd", and "the lamb". He was also referred to as, "The way, the truth, and the life." His symbol was a cross.
Point kuntu hii
 
Back
Top Bottom