Tuamke, tuwaamshe mizimu wetu, katika nyakati za hatari watusaidie

sasa" mbona hai make " sense "" bill gate " yupo " na njia " alizozitumia kuanzisha hiyo software " ipo ""...,,! yaani ukifanya mahojiano leo " na bill " atakueleza kinaga ubaga " jinsi ambavyo alivyoweza kuanzisha hiyo Microsoft"".. "' pia " hata nakala za njia alizotumia kama Mawazo kuweza kufikia hilo zipo "" yaweza kuwa amezihifadhi kwenye diary yake " katika maktaba zake "" na hata pindi atakapkuwa mfu " atakiwa ameiachia dunia urithi wa uthibisho kuhusu hiyo Nazi yake adhimu ""... mkuu umesahau kwamba "" bila peni na karatasi Mali huisha bila habari "...""
 
Kwa mujibu wa maelezo yako unataka kusema kua Mungu na Shetani wote wanahusika kwenye uumbaji kua Mungu kaumba watu wake na Shetani kaumba watu wake, Watu wa Shetani hawafati amri za Mungu na watu wa Mungu hawafati amri za Shetani.

Unaposema Yesu hakutokana na wanaadam unamaanisha nini wakati alizaliwa na mwanamke kama wanaadamu wengine, alikula, alienda chooni, alitahiriwa, alilia, alicheka, alipitia stages zote za watoto(kukaa, kutambaa, kusimama, kutembea, kukimbia)
Alifanya kazi (alikua fundi seremala),

Tumeambiwa binaadam wa kwanza kuumbwa alikua Adam kisha akaja Hawa, hao waliumbwa hawakua na baba wala mama, imekuaje Yesu ambae ana mama yake ndio apewe utukufu wote?

Me naona huu uzi ungetuachia tunaotaka kujikomboa (waafrika) wewe sijui mzungu sijui myahudi na mafundisho yako yanayojichanganya ungeenda huko kwenye majukwaa ya Dini.
 
Swali la kijinga kabisa kuwahi kuliona maishani... kwan Bill Gates hayupo hai? kazi zake si zinaonekana? kampuni ya Microsoft haipo? kazi zake si zinaonekana sasa unauliza anaamini kwa kusoma kwenye vitabu wakati akiingia Youtube anamuona Bill hata majuzi tu hapa alikua Nigeria kwa Dangote hahaha be serious basi.
 
Katika Uzi za kifalsafa zaid basi ni huu
Lakini ukweli wote anao alietuweka sisi binadamu
Hata waliotoa wazo la kujenga mnara wa babeli ni weusi kabisa
 
Kweli
 
Haswa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…