Fatima binti hemedi
JF-Expert Member
- Dec 31, 2017
- 1,665
- 2,328
- Thread starter
- #841
Kuna mazungumzo ya faragha kidogo, hatujawatenga ndugu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mkuu,naomba unitag ukiwekaHiyo tutazungumza kwenye uzi wake
Naomba na Mimi pia unijumuishe mkuutunajaribu kukukaribisha private hatuwezi, hebu cheki setting zako
Hapana hayo ni mazungumzo ya faragha....usitie shaka nduguNaomba na Mimi pia unijumuishe mkuu
Vikao vya siri Hata dini za kikoloni haziungi mkonoHapana hayo ni mazungumzo ya faragha....usitie shaka ndugu
Kuna mambo ya faragha jamani, mbona hiviVikao vya siri Hata dini za kikoloni haziungi mkono
sawaaaaa""...asante ""...tunajaribu kukukaribisha private hatuwezi, hebu cheki setting zako
sasa" mbona hai make " sense "" bill gate " yupo " na njia " alizozitumia kuanzisha hiyo software " ipo ""...,,! yaani ukifanya mahojiano leo " na bill " atakueleza kinaga ubaga " jinsi ambavyo alivyoweza kuanzisha hiyo Microsoft"".. "' pia " hata nakala za njia alizotumia kama Mawazo kuweza kufikia hilo zipo "" yaweza kuwa amezihifadhi kwenye diary yake " katika maktaba zake "" na hata pindi atakapkuwa mfu " atakiwa ameiachia dunia urithi wa uthibisho kuhusu hiyo Nazi yake adhimu ""... mkuu umesahau kwamba "" bila peni na karatasi Mali huisha bila habari "...""Hebu ngoja nikuulize swali dogo tu, Bill Gates ndiye mbunifu wa MICROSOFT, sasa hebu niambie wakati anaibuni na kuitengeneza hii program wewe hukuwepo wala hukumwona, umesoma tu kwenye vitabu kuwa Bill Gates ndiyo mwanzilishi wa MICROSOFT na unaamini hivyo na kukubali. Sasa iweje unaamini sana kazi za Wanadamu kwa kusoma tu, lakini hutaki kuamini kazi za MUNGU kwa kusoma pia???
Kwanini unahoji uwepo wa MUNGU wakati kazi alizozifanya zinaonekana ikiwamo wewe mwenyewe ni kazi ya mikono yake, kila kitu unachokula ni kazi ya mikono yake, hewa unayovuta ni kazi ya mikono yake, kila kitu ni kazi ya mikono yake??
Habari za MUNGU umesoma kwenye vitabu, lakini unapinga na kuhoji uwepo wake na kazi za mikono yake unazikataa, mbona umesomo uwepo wa akina Bill Gates na kazi za mikono yao unazitumia lakini haupingi uhalali wao?? Kwanini unapinga uhalali MUNGU?
Haina tatizo, najua ni ktk kuboresha zaidiKuna mazungumzo ya faragha kidogo, hatujawatenga ndugu
haha haha safi sana "" ina hamasisha "" kwakweliNa Mimi pia
Kwa mujibu wa maelezo yako unataka kusema kua Mungu na Shetani wote wanahusika kwenye uumbaji kua Mungu kaumba watu wake na Shetani kaumba watu wake, Watu wa Shetani hawafati amri za Mungu na watu wa Mungu hawafati amri za Shetani.YESU KRISTO ni spesho sababu yeye hakutokana na wanadamu bali alikuja duniani kutoka kwa MUNGU na kabla MUNGU hajaiumba dunia au ulimwengu YESU KRISTO alikuwa pamoja na BWANA MUNGU.
Wanadamu ni wana wa MUNGU ndiyo, lakini mwanadamu anakuwa mwana wa MUNGU pale tu anapotenda na kufanya yale yote aliyoagizwa na MUNGU. Ikiwa mwanadamu hatendi wala haishi kwa mujibu wa Amri za MUNGU, mwanadamu huyo anakuwa siyo mwana wa MUNGU bali ni mwana wa shetani.
Wana wa MUNGU ni wale tu wanaozishika Amri za MUNGU na KUITII sauti yake. Na ndiyo maana wale wanaoitii sauti ya MUNGU, atawahifadhi hai na kuwapa uzima wa milele lakini wale wote wanaotenda maovu na kuitii sauti ya shetani watachomwa moto pamoja na shetani wao.
Swali la kijinga kabisa kuwahi kuliona maishani... kwan Bill Gates hayupo hai? kazi zake si zinaonekana? kampuni ya Microsoft haipo? kazi zake si zinaonekana sasa unauliza anaamini kwa kusoma kwenye vitabu wakati akiingia Youtube anamuona Bill hata majuzi tu hapa alikua Nigeria kwa Dangote hahaha be serious basi.Hebu ngoja nikuulize swali dogo tu, Bill Gates ndiye mbunifu wa MICROSOFT, sasa hebu niambie wakati anaibuni na kuitengeneza hii program wewe hukuwepo wala hukumwona, umesoma tu kwenye vitabu kuwa Bill Gates ndiyo mwanzilishi wa MICROSOFT na unaamini hivyo na kukubali. Sasa iweje unaamini sana kazi za Wanadamu kwa kusoma tu, lakini hutaki kuamini kazi za MUNGU kwa kusoma pia???
Kwanini unahoji uwepo wa MUNGU wakati kazi alizozifanya zinaonekana ikiwamo wewe mwenyewe ni kazi ya mikono yake, kila kitu unachokula ni kazi ya mikono yake, hewa unayovuta ni kazi ya mikono yake, kila kitu ni kazi ya mikono yake??
Habari za MUNGU umesoma kwenye vitabu, lakini unapinga na kuhoji uwepo wake na kazi za mikono yake unazikataa, mbona umesomo uwepo wa akina Bill Gates na kazi za mikono yao unazitumia lakini haupingi uhalali wao?? Kwanini unapinga uhalali MUNGU?
asante tuko pamoja kabisaHaina tatizo, najua ni ktk kuboresha zaidi
asante nduguKatika Uzi za kifalsafa zaid basi ni huu
Lakini ukweli wote anao alietuweka sisi binadamu
Hata waliotoa wazo la kujenga mnara wa babeli ni weusi kabisa
KweliSwali la kijinga kabisa kuwahi kuliona maishani... kwan Bill Gates hayupo hai? kazi zake si zinaonekana? kampuni ya Microsoft haipo? kazi zake si zinaonekana sasa unauliza anaamini kwa kusoma kwenye vitabu wakati akiingia Youtube anamuona Bill hata majuzi tu hapa alikua Nigeria kwa Dangote hahaha be serious basi.
HaswaKwa mujibu wa maelezo yako unataka kusema kua Mungu na Shetani wote wanahusika kwenye uumbaji kua Mungu kaumba watu wake na Shetani kaumba watu wake, Watu wa Shetani hawafati amri za Mungu na watu wa Mungu hawafati amri za Shetani.
Unaposema Yesu hakutokana na wanaadam unamaanisha nini wakati alizaliwa na mwanamke kama wanaadamu wengine, alikula, alienda chooni, alitahiriwa, alilia, alicheka, alipitia stages zote za watoto(kukaa, kutambaa, kusimama, kutembea, kukimbia)
Alifanya kazi (alikua fundi seremala),
Tumeambiwa binaadam wa kwanza kuumbwa alikua Adam kisha akaja Hawa, hao waliumbwa hawakua na baba wala mama, imekuaje Yesu ambae ana mama yake ndio apewe utukufu wote?
Me naona huu uzi ungetuachia tunaotaka kujikomboa (waafrika) wewe sijui mzungu sijui myahudi na mafundisho yako yanayojichanganya ungeenda huko kwenye majukwaa ya Dini.
[emoji120] [emoji120]asante tuko pamoja kabisa