Tuamke, tuwaamshe mizimu wetu, katika nyakati za hatari watusaidie

Tuamke, tuwaamshe mizimu wetu, katika nyakati za hatari watusaidie

Mkuu kuna hili andiko ni refu lakini miniwie radhi, nia ni kujifunza tusome kwa umakini then tataona ni taifa gani hivi leo lina ishi kwenye dhiki hii.
13 Bwana atakufanya kuwa kichwa, wala si mkia; nawe utakuwa juu tu, wala huwi chini; utakapoyasikiza maagizo ya Bwana, Mungu wako, nikuagizayo hivi leo, kuyaangalia na kufanya;

14 msipokengeuka katika maneno niwaamuruyo leo kwa lo lote, kwenda mkono wa kuume wala wa kushoto, kwa kuifuata miungu mingine na kuitumikia.

15 Lakini itakuwa usipotaka kuisikiza sauti ya Bwana, Mungu wako, usiyaangalie kufanya maagizo yake yote na amri zake, nikuagizazo hivi leo, ndipo zitakapokujia laana hizi zote na kukupata.

16 Utalaaniwa mjini, utalaaniwa na mashambani.

17 Litalaaniwa kapu lako na chombo chako cha kukandia.

18 Utalaaniwa uzao wa tumbo lako, na uzao wa nchi yako, maongeo ya ng'ombe wako, na wadogo wa kondoo zako.

19 Utalaaniwa uingiapo, utalaaniwa na utokapo,

20 Bwana atakuletea laana na mashaka, na kukemewa, katika yote utakayotia mkono wako kuyafanya, hata uangamie na kupotea kwa upesi; kwa ule uovu wa matendo yako, uliyoniacha kwayo.

21 Bwana atakuambatanisha na tauni, hata atakapokwisha kukuondoa katika nchi uingiayo kwa kuimiliki.

22 Bwana atakupiga kwa kifua kikuu, na kwa homa, na kwa kuwashwa, na kwa hari ya moto, na kwa upanga, na kwa ukaufu, na kwa koga; navyo vitakufukuza hata uangamie.

23 Na mbingu zako zilizo juu ya kichwa chako zitakuwa shaba, na nchi iliyo chini yako itakuwa chuma.

24 Bwana atafanya mvua ya nchi yako iwe vumbi na mchanga; itakujilia juu yako kutoka mbinguni hata uangamie.

25 Bwana atakufanya upigwe mbele ya adui zako; utawatokea juu yao kwa njia moja, lakini utakimbia mbele yao kwa njia saba; nawe utatupwa huko na huko katika falme zote za duniani.

26 Na mzoga wako utakuwa chakula cha ndege wote wa angani, na wanyama wote wa duniani, pasiwe na mtu wa kuwafukuza.

27 Bwana atakupiga kwa majipu ya Misri, na kwa bawasiri, na kwa pele, na kwa kujikuna, ambayo hupati kupoa.

28 Bwana atakupiga kwa wazimu, na kwa upofu, na kwa bumbuazi la moyoni;

29 utakwenda kwa kupapasa-papasa mchana, kama apapasavyo kipofu gizani, wala hufanikiwi katika njia zako; nawe sikuzote utaonewa na kutekwa nyara, wala hapatakuwa na mtu wa kukuokoa.

30 Utaposa mke na mume mwingine atalala naye; utajenga nyumba usiikae; utapanda mizabibu usitumie matunda yake.

31 Ng'ombe wako atachinjwa mbele ya macho yako, usile nyama yake; utanyang'anywa punda wako mbele ya uso wako kwa jeuri, usirudishiwe; kondoo zako watapewa adui zako, usipate mtu wa kukuokoa.

32 Wanao na binti zako litapewa taifa lingine, na macho yako yataangalia, na kuzimia kwa kuwatamani mchana kutwa; wala hapatakuwa na kitu katika uwezo wa mkono wako.

33 Matunda ya nchi yako, na taabu yako yote, vitaliwa na taifa usilolijua; utaonewa tu, na kupondwa chini daima;

34 hata uwe mwenye wazimu kwa yaonwayo na macho yako, utakayoyaona.

35 Bwana atakupiga magoti na miguu kwa jipu lililo zito, usilopata kupozwa, tokea wayo wa mguu mpaka utosi wa kichwa.

36 Bwana atakupeleka wewe, na mfalme wako utakayemweka juu yako, kwa taifa usilolijua wewe wala baba zako; nawe huko utatumikia miungu mingine ya miti na mawe.

37 Nawe utakuwa ushangao, na mithali, na dharau, kati ya mataifa yote huko atakakokuongoza Bwana.

38 Mbegu nyingi utazichukua nje shambani, lakini utavuna haba, kwa kuwa nzige watazila.

39 Utapanda mizabibu na kuitengeza, wala hutakunywa katika divai yake, wala kuichuma kwani italiwa na mabuu.

40 Utakuwa na mizeituni katika mipaka yako yote usijipake mafuta yake; kwa kuwa mzeituni wako utapukutika.

41 Utazaa wana na binti, lakini hawatakuwa wako wewe; kwa sababu watakwenda utumwani.

42 Miti yako yote, na mazao ya nchi yako, nzige watakuwa nayo.

43 Mgeni aliye kati yako atazidi kupaa juu yako; nawe utazidi kushuka chini.

44 Yeye atakukopesha, wala wewe usimkopeshe; yeye atakuwa ni kichwa, wewe utakuwa mkia.

45 Na laana hizi zote zitakujilia juu yako, zitakuandama na kukupata, hata uangamizwe, kwa kuwa hukuisikiza sauti ya Bwana, Mungu wako, kushika maagizo yake na amri zake alizokuagiza;

46 nazo zitakuwa juu yako kwa ishara na ajabu, na juu ya uzao wako milele;

47 kwa kuwa hukumtumikia Bwana, Mungu wako, kwa furaha na moyo wa kushukuru, kwa ajili ya ule wingi wa vitu vyote;

48 kwa hiyo utawatumikia adui zako atakaowaleta Bwana juu yako, kwa njaa, na kwa kiu, na kwa uchi, na kwa uhitaji wa vitu vyote; naye atakuvika kongwa la chuma shingoni mwako, hata atakapokwisha kukuangamiza.

49 Bwana atakuletea taifa juu yako kutoka mbali, kutoka ncha ya dunia, kama arukavyo tai; taifa usiloufahamu ulimi wake;

50 taifa lenye uso mkali, ambalo haliangalii uso wa mzee, wala halipendelei kijana;

51 naye atakula uzao wa ng'ombe wako wa mifugo, na uzao wa nchi yako mpaka utakapokwisha kuangamizwa; wala hatakuachia nafaka, wala divai, wala mafuta, wala maongeo ya ng'ombe wako, wala wana-kondoo wako, hata atakapokwisha kukuangamiza.

52 Naye atakuhusuru katika malango yako yote, hata kuta zako ndefu, zenye maboma, ulizokuwa ukiziamini, zishuke, katika nchi yako yote kila upande; naye atakuhusuru katika malango yako yote kila upande, katika nchi yako yote aliyokupa Bwana, Mungu wako.

53 Nawe utakula uzao wa tumbo lako mwenyewe, nyama ya wana wako na binti zako aliokupa Bwana, Mungu wako; katika mazingirwa na katika mkazo utakaokazwa na adui zako.

54 Mtu mume kati yenu aliye mwororo na laini sana, jicho lake litakuwa ovu juu ya nduguye, na juu ya mke wa kifuani mwake, na juu ya masalio ya wanawe waliosalia naye;

55 hata asitake wao mmojawapo apewe katika nyama ya wanawe atakaowala, kwa kuwa hana kitu kilichomsalia kwake; katika mazingirwa na mkazo utakaokazwa na adui yako katika malango yako yote.

56 Mwanamke kati yenu aliye mwororo na laini, ambaye hangehatirisha kuweka wayo wa mguu wake nchi kwa umalidadi na ulaini, jicho lake huyu litakuwa ovu juu ya mume wa kifuani mwake, na juu ya mwanawe, na juu ya binti yake,

57 na juu ya mchanga wake atokaye katikati ya miguu yake, na juu ya wanawe atakaowazaa; kwa kuwa atawala kwa siri, kwa uhitaji wa vitu vyote; katika mazingirwa na mkazo utakaokazwa na adui yako katika malango yako.

58 Kama hutaki kutunza kufanya maneno yote ya torati hii yaliyoandikwa katika kitabu hiki, upate kulicha jina hili la fahari na utisho, Bwana, MUNGU WAKO;

59 ndipo atakapofanya Bwana mapigo yako yawe ya ajabu, na mapigo ya uzao wako, mapigo makubwa kwa kweli, ya kudumu sana, na magonjwa mazito ya kudumu sana.

60 Naye atakurejezea maradhi yote ya Misri juu yako uliyokuwa ukiyaogopa, nayo yataambatana nawe.

61 Tena kila ugonjwa, na kila pigo yasiyoandikwa katika kitabu cha torati hii, atakutia nayo Bwana juu yako, hata utakapokwisha kuangamizwa.

62 Nanyi mtasalia wachache kwa hesabu, ninyi mliokuwa mfano wa nyota za mbinguni kwa wingi; kwa kuwa hukuisikiza sauti ya Bwana, Mungu wako.

63 Tena itakuwa, kama vile alivyokuwa akifurahi Bwana juu yenu kwa kuwatendea mema na kuwafanya kuwa wengi, ndivyo atakavyofurahi Bwana juu yenu kwa kuwapoteza na kuwaangamiza; nanyi mtanyakuliwa katika hiyo nchi mwingiayo kuimiliki.

64 Bwana atakutawanya katika mataifa yote, tokea ncha hii ya dunia hata ncha hii ya dunia; nawe huko utatumikia miungu mingine usiyoijua wewe wala baba zako, nayo ni miti na mawe.

65 Wala katika mataifa hayo hutapata raha iwayo yote, wala hutakuwa na kituo cha wayo wa mguu wako; lakini Bwana atakupa huko moyo wa kutetema, na macho ya kuzimia, na roho ya kudhoofika;

66 na uzima wako utakuwa na wasiwasi mbele yako; nawe utakuwa na woga usiku na mchana, wala hutaamini kamwe maisha yako;

67 asubuhi utasema, Laiti ingekuwa jioni! Na jioni utasema, Laiti ingekuwa asubuhi! Kwa kicho cha moyo wako utakavyokucha, na kuona kwa macho yako utakavyoona.

68 Bwana atakurudisha tena Misri kwa merikebu, kwa njia ambayo nilikuambia, Hutaiona tena po pote; nanyi huko mtajiuza nafsi zenu kwa adui zenu kuwa watumwa na wajakazi, wala hapana atakayewanunua.
Haya maneno ni ya kitabu gani.
 
Halafu mweusi, yaani mimi as black as charcoal, ukizaa na Mzungu either baba black au mama awe black baba Mzungu, Yule mtoto atazaliwa na melanin yaani anakuwa na vinasaba vya mtu mweusi. Hii inawatisha sana wazungu wanajiona wao ni endangered specie. Ndo maana wanatutafutia kila sababu ya kututenga.
 
Halafu mweusi, yaani mimi as black as charcoal, ukizaa na Mzungu either baba black au mama awe black baba Mzungu, Yule mtoto atazaliwa na melanin yaani anakuwa na vinasaba vya mtu mweusi. Hii inawatisha sana wazungu wanajiona wao ni endangered specie. Ndo maana wanatutafutia kila sababu ya kututenga.
Ni kweli ndugu
 
acha uwongo "" nyinyi ndio mnaotukuza wazungu kwakutojua undani wake " ..muhhamad alipewa mawazo ya kiutawala" nguvu ya siasa na kijeshi toka kwa mfalme Nabash wa Ethiopia..na hilo likowazi kabisaaaaaa""... wakati huo Ethiopia ilikuwa ni miongoni mwa nchi zenye nguvu na ushawishi wa kiutawala na kiuchumi "" ...ila haya yanafichwa hayazungumzwi ipaswavyo "" kwakuwa wanajua waafrica/watu weusi watajitambua na kuanza kudai haki zao
Mkuu hatubisha unajua kama mke wakwanza bi Khadijah alikuwa mtawa wa Roma?
 
Halafu mweusi, yaani mimi as black as charcoal, ukizaa na Mzungu either baba black au mama awe black baba Mzungu, Yule mtoto atazaliwa na melanin yaani anakuwa na vinasaba vya mtu mweusi. Hii inawatisha sana wazungu wanajiona wao ni endangered specie. Ndo maana wanatutafutia kila sababu ya kututenga.
Naaaam "" nikweli " mnooo ..sio wazungu tu "" hata waarabu "" ..
 
Mkuu hatubisha unajua kama mke wakwanza bi Khadijah alikuwa mtawa wa Roma?
kwanza kubali " kile nilichokwambia "".. kisha nipatie uthibitisho wa kile " unachokiongea "". by the way sory kwa Yale maneno makali"" .... najua kuwa wakati wa muhhamad dola ya Roma ndio ilikuwa inatawala chini ya pope Alexander" "" haya hebu leta nondo hizo nisikie "".. maana najua taifa kama taifa huwa halipigi hatua ya kimaendeleo "" kwakuwa na rafiki mmoja tu pekee""...,so huwenda Roma nao walikuwa na mchango wao " but Ethiopia ndio walioanza kwanza
 
Mtukufu Mtume Muhammad alikuwa MWEUSI TII. Machapisho yote ya awali ya Kiislam yalielezea yeye na familia yake kama WEUSI. Kumbuka, wakati huo hapakuwa na ubaguzi dhidi ya kuwa mweusi, na watu ambao huitwa "WEUPE" leo kwa kweli walikuwa wakionekana chini na walikuwa watumwa. Rejea adidu ZIFUATAZO:

Katika kazi yake, Urithi wa Uislamu wa Uislamu: Kielelezo cha Baadhi (1993), Mohammed Abu-Bakr

ni pamoja na miongoni mwa takwimu 62 zilizoongoza za Uislam nabii Muhammad mwenyewe.1 Abu-Bakr hakika

maelezo:

"Kwa mujibu wa mila ya Kiislamu, Muhammad alishuka kwa njia ya moja kwa moja kutoka kwa mwana wa pili wa Ishmaeli Kedar

(Kiarabu: Qaidar), jina lake kwa Kiebrania linamaanisha 'nyeusi' ... Kutoka kwa wana wa Kedari wanaoishi kaskazini

Jangwa la Arabia, lilikuwa na kabila la kwanza kabisa katika Arabia, Wakorishi (Waisrahi), kabila ambalo Muhammad alichimbukia
 
kwanza kubali " kile nilichokwambia "".. kisha nipatie uthibitisho wa kile " unachokiongea "". by the way sory kwa Yale maneno makali"" .... najua kuwa wakati wa muhhamad dola ya Roma ndio ilikuwa inatawala chini ya pope Alexander" "" haya hebu leta nondo hizo nisikie "".. maana najua taifa kama taifa huwa halipigi hatua ya kimaendeleo "" kwakuwa na rafiki mmoja tu pekee""...,so huwenda Roma nao walikuwa na mchango wao " but Ethiopia ndio walioanza kwanza
Response nzuri, hatugombani hapa, tunaelekezana
 
Mtukufu Mtume Muhammad alikuwa MWEUSI TII. Machapisho yote ya awali ya Kiislam yalielezea yeye na familia yake kama WEUSI. Kumbuka, wakati huo hapakuwa na ubaguzi dhidi ya kuwa mweusi, na watu ambao huitwa "WEUPE" leo kwa kweli walikuwa wakionekana chini na walikuwa watumwa. Rejea daisy ZIFUATAZO:

Katika kazi yake, Urithi wa Uislamu wa Uislamu: Kielelezo cha Baadhi (1993), Mohammed Abu-Bakr

ni pamoja na miongoni mwa takwimu 62 zilizoongoza za Uislam nabii Muhammad mwenyewe.1 Abu-Bakr hakika

maelezo:

"Kwa mujibu wa mila ya Kiislamu, Muhammad alishuka kwa njia ya moja kwa moja kutoka kwa mwana wa pili wa Ishmaeli Kedar

(Kiarabu: Qaidar), jina lake kwa Kiebrania linamaanisha 'nyeusi' ... Kutoka kwa wana wa Kedari wanaoishi kaskazini

Jangwa la Arabia, lilikuwa na kabila la kwanza kabisa katika Arabia, Wakorishi (Waisrahi), kabila ambalo Muhammad
endelea """nakufuatilia mkuu""
 
Hatuhitaji kutumia nguvu kusema fulani alikua mweusi sijui weusi ni wana wa Israel hapo bado inaonesha jinsi mawazo yetu yamefungwa na hao hao wazungu... kwann hatusemi Haille selais alikua mtume?... kama kweli tumeamua kujikomboa sisi waafrika kwa kurudisha dini zetu na mifumo yetu basi tufanye pasipo kutaka kupambanisha na hao tunaowaita maadui zetu.

Muhammad alikua mweusi, Yesu alikua mweusi, wana wa israel means waafrika so what? inatuongezea nini au kutupunguzia nini sisi waafrika wa sasa.

AFRICA MUST UNITE na kua ONE BIG COUNTRY, kinyume na hapo tutakua tunapiga porojo tu.
Tuna taka tujitambue kwanza sisi ni wakina nani kwenye huu ulimwengu. Mengine yatakuja harakaharaka. Wana sema Uwezi kutibiwa ugonjwa usio julikana.
 
Aiseeeeeee " dunia kweli " hadaa" wazubgumzia vipi " kuhusu zile kesi "" zilizokuwa zina mkabili "" za udhalilishaji " wa kijinsia "kwa Watoto"".. ina maana ndugu walikuwa wana msupport MJ fake "" . na vipi " !? wazungu wapoteze muda na Pesa zao kumshtaki " mtu ambaye wanamjua kuwa siye halisi "....
Pesa si wanachukuwa Africa wazungu awana shida ya pesa bwana.
 
Kama tulivyo sema hapo juu, Qedari ya Arabia walikuwa kabila jeusi na weusi sawa na wa Nabataeans, ambao ni Wa Ethiopia walioanzisha au chanzo cha mbegu ama shina la waarabu, na hawa wawili walikuwa sawa kuhusiana na Waquraishi, lililokuwa kabila jeusi na kilele kwa ubora wa Makka. Kama Robert F. Spencer anasema: Waquraishi hujibainisha kwa Kimo chao kifupi na ngozi nyeusi "3 Al-Jahiz (d. 869), Afro-Iraq mwanachuoni muhimu
wa karne ya tisa Baghdad, aliyetajwa katika Fakhr al-sådan ala al-bidan, "The Boast of the Blacks over white ": Wana kumi wa kiongozi wa Abd al-Mu'aalb walikuwa wausi mweusi (dalham) katika rangi na kimo / mrefu (Dukhm). Lini Amir b. Al-Tufayl aliwaona wakizunguka (Ka'ba) kama ngamia wa giza, akasema, "Kwa watu kama hawa ni kizuizini cha Ka'ba kilichohifadhiwa. "Abd Allah b. Abbas alikuwa myeusi sana na mrefu. Wale wa Abå Talib familia, ambao ni watu wazuri zaidi, ni weusi (såd). "4 Ripoti hii ni muhimu kwa majadiliano yetu, si tu kwa sababu Abd al-Mu'aalb na wanae kumi weusi walikuwa Waarabu safi, kwamba Abd Allahh b. Abbās, binamu wa kwanza wa Muhammad, na mwanawe, Alī b. Abd Allāh, walikuwa "na rangi ya giza. "6 Alī b. Abu Talib, binamu wa kwanza wa Mtume na Khalifa wa nne wa baadaye, anaelezwa na al-Suyuti na wengine kama mnene kwenye dunno kubwa-ndevu .kama.. na ndege-mweusi (shadīd al-udma)." 7 Mwana wa Alī, Ab'a Jafar Muhammad, kulingana na Ibn Sad (d 845), alieleza Alī hivi: "Alikuwa mtu mwenye ngozi nyeusi mwenye macho makubwa s. "8 Uunganisho huu wa utukufu, utukufu na ukabila wa Waquraishi ni zaidi yaliyoonyeshwa katika mistari hii inasemekana na karne ya saba Mshairi wa Quraysh, al-Fadil b. al-Abbas, aitwaye al-Akhdar al-LahabÊ "Black Flaming". al-Fadil ni binamu wa kwanza wa Mtume Muhammad na akasema: "Mimi ni mweusi mmoja (al-Akhdar). Ninajulikana sana. Ubunifu wangu ni mweusi. Mimi ni kutoka kwa nyumba yenye heshima ya MaBwana Waarabu. "9 Ibn Maníår (d. 1311) anasema maoni kwamba al-Akh ∙ ar hapa ina maana ya al-jilda, 'Blackskinned', na inaashiria kwamba al-Fadil ni kutoka kwa khaliß al-arab, Waarabu safi, "kwa sababu rangi ya wengi Waarabu ni weusi (al-udma). "10 Ibn Barrê (d. 1193) pia alisema:" Yeye (al-Fadil) ina maana ya hii kwamba kizazi chake ni safi na kwamba ni Kiarabu safi (arabÊ mahd) kwa sababu Waarabu huelezea rangi yao kama nyeusi (al-aswad). "Kwa hiyo, mweusi wa al-Fadil (akhdar) ni alama ya wazi ya Waisraa wake safi, nasaba ya kuzaliwa na mama safi na baba wa Kiarabu. Waquraishi walikuwa na makundi kadhaa madogo. Abd al-Mu'aalb na wazazi wake, ikiwa ni pamoja na Muhammad, walikuwa wa Banå Hashim. Henry Lammens anachunguza "Les Haśimites, familia ambapo dominait le sang nègre "(" Hashimites, familia ambapo damu ya Black inaongozwa "). anasema kwamba wao "huwa wanahitimu de ÂÏã = rangi foncée" ("kwa kawaida inaelezwa kama adam = rangi nyeusi "). Lakini Banå Hashim hawakuwa pekee wa jamaa waliojulikana kwa weusi wao. Banå Zuhra, kabila ambayo mama ya nabii, Amīa bt. Wahb, hailed, pia alibainisha kwa wajihi wake mweusi. Ona kwa mfano Saad ibn Abī Waqqās maarufu (dh. 646), binamu wa Amīa na mjomba wa Muhammad. Anaelezewa kuwa mweusi sana, mrefu na pua ilochongoka.13 Muhammad, ni lazima ieleweke, alijivunia sana kwa mjomba wake Saad ambaye michango ya kijeshi tutajadili chini. Tunaambiwa kuwa mara moja Muhammad alikuwa ameketi pamoja na baadhi ya wenzake na Saad akitembea. Nabii alisimama na alilaumu: "Huyu ni mjomba wangu. Hebu mtu yeyote aonyeshe mimi mjomba wake. "14 Uweusi huu wa kabila la Waquraishi hauonekani kwa historia ya kidini ya Uislam. Waquraishi walikuwa walinzi wa ibada ya Ka'ba katika Mecca kabla ya Qur'an na katika sherehe za kidini watasema naënu Ahluyah ("Sisi ni watu wa Uadia") na katika Arabia wote walijulikana kama Athayah, Watu wa Uhindi.15 Kwa maneno mengine, kabila nyeusi kwa ubora pia lilikuwa kwa kabila ya Aïaah ubora na watetezi wa ibada ya Mungu mweusi. Hata hivyo, au tuseme kama matokeo, Mapambano makubwa ya Muhammad alikuwa pamoja na jamaa zake, jamaa hii nyeusi, ya Waisraeli inayoheshimu Waisraeli, mwisho, hata hivyo, itakuwa Waquraishi weusi ambao wakawa watawala wa Uislamu, angalau kwa muda mfupi . Sio tu Makhahalifa wa Sunni waliotoka kwao, lakini Waislamu wa Shiite, wazazi wa rangi nyeusi Alī b. Abå Talib, pia walikuwa wafuasi wa Quraysh'ala Arabu.16
 
kwanza kubali " kile nilichokwambia "".. kisha nipatie uthibitisho wa kile " unachokiongea "". by the way sory kwa Yale maneno makali"" .... najua kuwa wakati wa muhhamad dola ya Roma ndio ilikuwa inatawala chini ya pope Alexander" "" haya hebu leta nondo hizo nisikie "".. maana najua taifa kama taifa huwa halipigi hatua ya kimaendeleo "" kwakuwa na rafiki mmoja tu pekee""...,so huwenda Roma nao walikuwa na mchango wao " but Ethiopia ndio walioanza kwanza
“What I’m going to tell you is what I learned in secret briefings in the Vatican when I was a Jesuit priest, under oath and induction. A Jesuit cardinal named Augustine Bea showed us how desperately the Roman Catholics wanted Jerusalem at the end of the third century. Because of its religious history and its strategic location, the Holy City was considered a priceless treasure. A scheme had to be developed to make Jerusalem a Roman Catholic city.

“The great untapped source of manpower that could do this job was the children of Ishmael. The poor Arabs fell victim to one of the most clever plans ever devised by the powers of darkness. Early Christians went everywhere with the gospel setting up small churches, but they met heavy opposition. Both the Jews and the Roman government persecuted the believers in Christ to stop their spread. But the Jews rebelled against Rome, and in 70 AD, Roman armies under General Titus smashed Jerusalem and destroyed the great Jewish temple which was the heart of Jewish worship…in fulfillment of Christ’s prophecy in Matthew 24:2.

“On this holy placed today where the temple once stood, the Dome of the Rock Mosque stands as Islam’s second most holy place. Sweeping changes were in the wind. Corruption, apathy, greed, cruelty, perversion and rebellion were eating at the Roman Empire, and it was ready to collapse. The persecution against Christians was useless as they continued to lay down their lives for the gospel of Christ.

“The only way Satan could stop this thrust was to create a counterfeit “Christian” religion to destroy the work of God. The solution was in Rome. Their religion had come from ancient Babylon and all it needed was a face-lift. This didn’t happen overnight, but began in the writings of the ‘early church fathers’.
 
Back
Top Bottom