Mgosi Mbena
JF-Expert Member
- Nov 28, 2023
- 499
- 604
Tuma picha ya nyumba kwanza.Wakuu
Nyumba- thaman yake ni milion 12M
vyumba vitatu na kimoja cha nje
Imefanyiwa wiring bado umeme lakin vyote umeme na maji vyote vipo jiran tu nyumba ya pili ni kuvuta ty
Gari nalotaka lenye thaman ya milion8.
Lisiwe bovu.
Mahali mwanza
Tuma picha ya gariTuma picha ya nyumba kwanza.
Unataka kuuziwa mbuzi kwenye gunia au kuuza mbuzi kweny gunia?Tuma picha ya gari
Mambo n kupeana ,,, mwisho wa siku biashara itahamia kitaa hamna biashara inaishia mtandaoniUnataka kuuziwa mbuzi kwenye gunia au kuuza mbuzi kweny gunia?
we gar hunangoja waje
ninazo nyumba nyingi jishikilie😂😂Hakuna baba mwenye gari, kuna baba mwenye nyumba
😂😂😂nnalo ila sio la milioni 8we gar huna
Hapo sawaninazo nyumba nyingi jishikilie😂😂
Yenye Teller😂😂😂nnalo ila sio la milioni 8
kidding 😂😂gari nitoe wapi mie natumia T 11
Moderator nadhan mnajionea wenyeweposition ya senior mnaionaje mbona mi sijui kuangalia
hilo gar au bajaji😂😂Yenye Teller
Sawa ngoja nitume picha ya scooter 🛴 yanguMambo n kupeana ,,, mwisho wa siku biashara itahamia kitaa hamna biashara inaishia mtandaoni