Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Big Nyash T 11hilo gar au bajaji😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Big Nyash T 11hilo gar au bajaji😂😂
Kapromote ka gari kako hata kwa kukapostSawa
Expert ni mdogo, senior mkubwa mkuu mbona jamaa hawaplay fear. Ukitoka kubwa member wa kawaida unakuwa expertKati ya Senior na Expert member nani ni nani
Hapo tumepigwa au michango yetuExpert ni mdogo, senior mkubwa mkuu mbona jamaa hawaplay fear. Ukitoka kubwa member wa kawaida unakuwa expert
Basi fuatilia kazi kubwa ninayoifanya hapa jf utajuaExpert ni mdogo, senior mkubwa mkuu mbona jamaa hawaplay fear. Ukitoka kubwa member wa kawaida unakuwa expert
Sawa njoo tufanye exchangeKapromote ka gari kako hata kwa kukapost
Hilo jembe mkuu.. profile nimefunga man dm za madem haziishi Toka nipewe bandari pale gati namba nnenilitaka kuangalia cheo chako wamesema umezuia watu wasiangalie😂😂😂
sasa mzee ni hilo li baba ubaya uloweka kwene profile ndo unazua tusiview profile😂
Wapi ww unaogopa sana watu wewe!!Hilo jembe mkuu.. profile nimefunga man dm za madem haziishi Toka nipewe bandari pale gati namba nne
labda unanipa hako na pia nakuoa bila mahali hapo sawaSawa njoo tufanye exchangeView attachment 2983691
Hapo tumepigwa au michango yetu
Kazi kubwa wapi mkuu hawa moderator nao wanatutaftia sababu tu.. waweke hadharan vigezo ili wakijishau tuwakumbushe au kukengeuka tuwashitaki tuBasi fuatilia kazi kubwa ninayoifanya hapa jf utajua
Aweke details za kutosha walio interested waone kama anunuliwe ist used au run x apewe akaendeshe.Nyumba ipo Mwanza sehemu gani?
Lipo jukwaa mahususi la malalamiko.Kazi kubwa wapi mkuu hawa moderator nao wanatutaftia sababu tu.. waweke hadharan vigezo ili wakijishau tuwakumbushe au kukengeuka tuwashitaki tu
Mkuu fungua profile tujue huwa unapost nn??Kazi kubwa wapi mkuu hawa moderator nao wanatutaftia sababu tu.. waweke hadharan vigezo ili wakijishau tuwakumbushe au kukengeuka tuwashitaki tu
una gari?? au unamuongelea mwene gari?Aweke details za kutosha tuone kama anunuliwe ist used au run x apewe akaendeshe.
Iko Kishiri center kabisa !!Nyumba IPO maeneo gani mwanza hapo, Nina IST njoo tubadilishane chap
Hakuna gari la Mbwa ila kuna nyumba za mbwa kwa kila anayemfuga.Hakuna baba mwenye gari, kuna baba mwenye nyumba