Mgosi Mbena
JF-Expert Member
- Nov 28, 2023
- 499
- 604
- Thread starter
- #61
kumbe unaogopa kuolewa hivo😂😂😂Hapana nishagahili.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kumbe unaogopa kuolewa hivo😂😂😂Hapana nishagahili.
umeionaHilo litakua Banda sio nyumba
Ndioumeiona
we jamaa ni mbeaExpert ni mdogo, senior mkubwa mkuu mbona jamaa hawaplay fear. Ukitoka kubwa member wa kawaida unakuwa expert
mbona sijaweka pichaNdio
umasikini wako tu ,,, kama mbwa anajengewa hotel,hospital atashindwwa kununuliwa garHakuna gari la Mbwa ila kuna nyumba za mbwa kwa kila anayemfuga.
Naogopa Sana Sana sanakumbe unaogopa kuolewa hivo
Kapata maswali na maombi ya kuweka picha ya nyumba tu mkuuMkuu umepata gari?
Mtakuja kuvaa nyumba zenye mihuri ya majini. Haikaliki...
Kula chuma hichooo!we jamaa ni mbea
Mm nishasababisha vijana watano humu walikuwa wanatafuta kazi yoyote kupata kazi ya ulinzi Zanzibar. Na sasa nawafanyia mpango wakapate training za jikoni kama chef/butchery au bar. Wewe umeifanyia nn jf zaidi ya kuuza vitu vyako?Mkuu fungua profile tujue huwa unapost nn??
maana hii kesi ni ngumu
mimi ni senior wako naomba heshima yangu
Mm sijazungumzia kulipa mkuu.. ulipwe umefanya Kaz gani? Hili la kulipa halifai hapa .. why you pass between my intaviyu?Lipo jukwaa mahususi la malalamiko.
Any way Senior member na expert member wote hawalipwi.
Kuna mwanamke wa ndoto zangu humu FaizaFoxy nampenda sanaWapi ww unaogopa sana watu wewe!!
we ndo wale watu acc zote private
Kwan wakiku dm lazma usome
Hakuna mkuu muhimu kuna wazi tu.. mm mbona nachangiaga vizuri tu hasa kwenye topic za afya ya jamii,ajira na zile za kijinsia.Hapo tumepigwa au michango yetu
Ila we jmaaa !!! Ungeanzisha tu uzi wq kulalamika siyo kuwaharibia wengine!Hakuna mkuu muhimu kuna wazi tu.. mm mbona nachangiaga vizuri tu hasa kwenye topic za afya ya jamii,ajira na zile za kijinsia.
Wakisema wapime quality ya mchango lazima waangalie na mada husika. Haiwezekani mada za kugegeda utoe neno la maana. Although lazima waseme vipimo vyao vikoje in terms of valid, efficiency, effective, relevance na mambo kama hayo kama sio score table. Vigezo wanavijua wao tu
Viuze kanunue sehemu nyingineWakuu,
Nyumba thamani yake ni milion 12, vyumba vitatu na kimoja cha nje. Imefanyiwa wiring bado umeme lakini vyote umeme na maji vyote vipo jiran tu nyumba ya pili ni kuvuta tu.
Gari nalotaka lenye thamani ya milion 8. Lisiwe bovu.
Mahali mwanza.
heeeh mi nataka gariViuze kanunue sehemu nyingine
Mm ndo nilikuwa nataka hivyo mkuu.. it was unfairIla we jmaaa !!! Ungeanzisha tu uzi wq kulalamika siyo kuwaharibia wengine!
umeona nimeshatolewa sasa